Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,990
- 13,646
Niliwahi kusoma kwenye gazeti la RAI kuwa tuliagiza udongo toka Misri kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Morogoro enzi za Serikali ya mzee Mwinyi.
Inadaiwa ni kipande cha kutoka Fire kwenda Kimara.
Kuna ukweli kwenye hili?
Inadaiwa ni kipande cha kutoka Fire kwenda Kimara.
Kuna ukweli kwenye hili?