Ni kweli barabara ya Morogoro iliwahi kujengwa kwa kutumia udongo ulioagizwa toka misri?

Ziroseventytwo

JF-Expert Member
Mar 27, 2011
7,990
13,646
Niliwahi kusoma kwenye gazeti la RAI kuwa tuliagiza udongo toka Misri kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Morogoro enzi za Serikali ya mzee Mwinyi.

Inadaiwa ni kipande cha kutoka Fire kwenda Kimara.

Kuna ukweli kwenye hili?
 
Back
Top Bottom