Hadhari: Baadhi ya Barabara Morogoro zimefurika maji

mwanamwana

JF-Expert Member
Aug 1, 2011
1,076
4,113
Mvua zinazoendelea kunyesha nchini zimezidi kuleta athari kubwa kwa wananchi, uchumi na miundombinu. Mamlaka ya hali ya hewa imetangaza uwepo wa mvua mikoa ya Morogoro Iringa, Ruvuma, Songwe, Mbeya na Njombe nk, hivyo kama raia wema ni vyema kupeana taarifa barabara korofi ambazo zimekumbwa na mafuriko ili kuepusha madhara yanayoweza kujitokeza.

Taarifa nilizonazo, maeneo ya Mikese, Kwa Mangwair, Makunganya, Silwa na Mtanana, kote maji yanakatisha barabarani. Hivyo kama una safari itakayokuta kupita njia hizo vizuri ukaenda kwa tahadhari. Usidharau kabisa maji yanayokatisha barabarani.


 
Mvua zinazoendelea kunyesha nchini zimezidi kuleta athari kubwa kwa wananchi, uchumi na miundombinu. Mamlaka ya hali ya hewa imetangaza uwepo wa mvua mikoa ya Morogoro Iringa, Ruvuma, Songwe, Mbeya na Njombe nk, hivyo kama raia wema ni vyema kupeana taarifa barabara korofi ambazo zimekumbwa na mafuriko ili kuepusha madhara yanayoweza kujitokeza.

Taarifa nilizonazo, maeneo ya Mikese, Kwa Mangwair, Makunganya, Silwa na Mtanana, kote maji yanakatisha barabarani. Hivyo kama una safari itakayokuta kupita njia hizo vizuri ukaenda kwa tahadhari. Usidharau kabisa maji yanayokatisha barabarani.

View attachment 2888020
View attachment 2888021
Ubarikiwe
 
Back
Top Bottom