mjadala dp world

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MUSHEKY

    Sakata la Bandari: Muungwana akivuliwa nguo huchutama

    Bila salamu nijielekeze moja kwa moja kwenye mada Kama binadamu (sio robot) leo nimeona nitimize wajibu wangu kuongea machache yanayohusiana na sakata la hizi bandari zetu Kwanza kabisa niwakumbushe watawala wote (hasa wale wa ngazi zinazonyenyekewa) akiwemo Rais wa jamhuri ya muungano wa...
  2. Sildenafil Citrate

    Dkt. Slaa: Tunapinga uwekezaji wa DP World sababu Mkataba wake una sura ya wizi na ufisadi

    Fuatilia yatakayojiri kwenye mkutano na waandishi wa habari ambapo Dkt. Salaa, Askofu Mwamakula pamoja na Mawakili Mwabukusi na Madeleka watakuwa wazungumzaji wakuu, leo Julai 12, 2023 saa 4:00 asubuhi. Ni kuhusu suala la DP World. === === MKUTANO UMEANZA Askofu Mwamakula anazungumza...
  3. Baraka Mina

    CCM yatoa Baraka zote kwa DP World kufanya uwekezaji wa Bandari

    Hamashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) iliyokutana katika kikao chake cha kawaida makao makuu ya chama hicho jijini Dodoma leo Jumapili, Julai 9, 2023, chini ya Uenyekiti wa Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na mambo mengine imejadili mkabata wa makubaliano ya uwekezaji na uendelezaji wa...
  4. F

    Andika hapa ndoto zako za usiku ili kukicha uweze kutafsiriwa

    Habari wana jamvi? Kama kichwa kinavyojieleza nimeanzisha thread hii ili itusaidie sisi kujua je hizi ndoto zinatofautiana au sawa kwa watu sawa au wanaoishi maeneo tofauti lakini zinakuwa na maana moja au ni tofauti? Andika ndoto yako ya usiku wa leo hata siku zijazo utakazoota hii...
  5. Ashampoo burning

    Kilichoenda kwa mganga hakirudi, bandari ndio kwaheri

    Boss ashampoo hatimae nimenunua gari baada ya kuteseka sana baada ya kuuza gari yangu nimebahatisha crown ya mkononi nimeteseka sana jamani miezi sita bila gari boss kama mimi Tuachane na hayo nikiwa narudi home jioni hii nikasema hebu tuweka mambo sawa bandari ile muelewe yaani hiyo...
  6. N

    Baada ya kufuatilia Bunge kwa kina, nimejiridhisha kuwa wabunge hawajui majukumu yao kama wawakilishi wa wananchi

    Kwanza na_declaire interest, Mimi sio msomi sana lakini nimeona haya na nimejiridhisha yafuatayo: -Nimejiridhisha wabunge HAWAJUI wanachojadili mezani ni MOU na sio mkataba. -Matumizi mabaya ya "taarifaaa" wakati mbunge akiwa anatoa hoja ama kufunguka. -Spika anaingilia sana mbunge...
Back
Top Bottom