Ashampoo burning
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 421
- 1,583
Boss ashampoo hatimae nimenunua gari baada ya kuteseka sana baada ya kuuza gari yangu nimebahatisha crown ya mkononi nimeteseka sana jamani miezi sita bila gari boss kama mimi
Tuachane na hayo nikiwa narudi home jioni hii nikasema hebu tuweka mambo sawa bandari ile muelewe yaani hiyo ndo imetoka hakuna wa kuiokoa trust me
Hata mama samia hawezi kujitoa chezea kina madevu wa kiarabu wakiamua lao
Hiyo bandari kwa hela walizonazo dp world hiyo bandari ndo kwa heri Haya twende kimahesabu msije sema naleta habari za vijiweni
Kwa mwaka dp word wanatengeneza pato la tsh trilllion 21 za kitanzania katika madili yao dunia nzima ukibisha ingia mitandaoni andika dp world income per year Sitak ubishi google hapo hata angali profile zao ..
So ukipika hesabu wanatengeneza faida faida nusu ya bajeti yetu kwa mwaka ..yaani wanaweze kutupa bajet yetu nusu
Kampuni hii ina uchumi mkubwa kuliko nchi ya burundi malawi ...rwanda yaani wameziwazidi uchumi hizo nchi hapo juuu kwa mwaka serious GDP ..sema unaweza weza kama nimewapiga chai aka kamba hapa ila ndo ukweli huo nayo google shenzi wewe hii ni fact...
Sasa basi hii company ni kubwa sana kwa hela zilizomwaga nchini na ukiangalia ukubwa wa company no way hiyo bandari itarudi ndo imeenda
Hawa majamaaa mbinu ya kubwa ni RUSHWA kuanzia juu mpaka chini so hiyo bandari kurudi haiwekani viongozi wote washAwekwa mfukoni hadi tasnia ya habari nayo mfukoni kiukweli kuna mzigo umeshuka sio wa mchezo ndo maana wateteaji wengi wakijua fika huu mkataba wa kihuni hawana jinsi mwarabu ana lipa vizuri
Huwezi shindani na company linalotengezea trillion 21 kwa mwaka wana hela za kuhonga mara nyingi makampuni makubwa kama haya yakishindwa huwa yanamua kufinance civili wars sema kwa hawa hawezi kufanya hivyo because wapi mambo ya logistics ukifanya civil war logistic inakufa kibiashara
Ila DP world ni company kubwa sana
Wanajua fika kuwa ccm ndani imegawanyika juu ya hili swala na mwaka 2025 watatumia nguvu kubwa kufinance uchaguzi mama samia abaki madarakani maana ndo alio waleta pia ana wasupport wanajua akitoka nao wametoka
tusipoangali DP world ndo miaka 30 ijayo dp world na dubai wanaweza wakawa wanaamua nani awe raisi nchini tanzania maana wanajua hawapendwi ..na watanzania wanaona ni kampuni la kifisadi na kikoloni la kiarabu
hata hapa jamiiforum sijui dp haijafika kweli maana mamoderator wanafuta uzi sio mchezo juzi niliandika wakafuta hebu nitest huu
Tuachane na hayo nikiwa narudi home jioni hii nikasema hebu tuweka mambo sawa bandari ile muelewe yaani hiyo ndo imetoka hakuna wa kuiokoa trust me
Hata mama samia hawezi kujitoa chezea kina madevu wa kiarabu wakiamua lao
Hiyo bandari kwa hela walizonazo dp world hiyo bandari ndo kwa heri Haya twende kimahesabu msije sema naleta habari za vijiweni
Kwa mwaka dp word wanatengeneza pato la tsh trilllion 21 za kitanzania katika madili yao dunia nzima ukibisha ingia mitandaoni andika dp world income per year Sitak ubishi google hapo hata angali profile zao ..
So ukipika hesabu wanatengeneza faida faida nusu ya bajeti yetu kwa mwaka ..yaani wanaweze kutupa bajet yetu nusu
Kampuni hii ina uchumi mkubwa kuliko nchi ya burundi malawi ...rwanda yaani wameziwazidi uchumi hizo nchi hapo juuu kwa mwaka serious GDP ..sema unaweza weza kama nimewapiga chai aka kamba hapa ila ndo ukweli huo nayo google shenzi wewe hii ni fact...
Sasa basi hii company ni kubwa sana kwa hela zilizomwaga nchini na ukiangalia ukubwa wa company no way hiyo bandari itarudi ndo imeenda
Hawa majamaaa mbinu ya kubwa ni RUSHWA kuanzia juu mpaka chini so hiyo bandari kurudi haiwekani viongozi wote washAwekwa mfukoni hadi tasnia ya habari nayo mfukoni kiukweli kuna mzigo umeshuka sio wa mchezo ndo maana wateteaji wengi wakijua fika huu mkataba wa kihuni hawana jinsi mwarabu ana lipa vizuri
Huwezi shindani na company linalotengezea trillion 21 kwa mwaka wana hela za kuhonga mara nyingi makampuni makubwa kama haya yakishindwa huwa yanamua kufinance civili wars sema kwa hawa hawezi kufanya hivyo because wapi mambo ya logistics ukifanya civil war logistic inakufa kibiashara
Ila DP world ni company kubwa sana
Wanajua fika kuwa ccm ndani imegawanyika juu ya hili swala na mwaka 2025 watatumia nguvu kubwa kufinance uchaguzi mama samia abaki madarakani maana ndo alio waleta pia ana wasupport wanajua akitoka nao wametoka
tusipoangali DP world ndo miaka 30 ijayo dp world na dubai wanaweza wakawa wanaamua nani awe raisi nchini tanzania maana wanajua hawapendwi ..na watanzania wanaona ni kampuni la kifisadi na kikoloni la kiarabu
hata hapa jamiiforum sijui dp haijafika kweli maana mamoderator wanafuta uzi sio mchezo juzi niliandika wakafuta hebu nitest huu