kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. Mung Chris

    Laini nyingi sana za M-Pesa na Tigopesa hazitafanya kazi kuanzia leo

    Hii ni hasara, laini nyingi za MPESA na TIGO pesa zilikuwa zinauzwa mtaani kwa sh 100,000 au zaidi ya hiyo, unakuta mtu kanunua laini yenye majina hata hamjui aliye isajili, wengi walifanya biashara hiyo ya MPESA na TIGO PESA kwa laini zisizo zenye majina yao, leo zimefungwa, watapata wapi laini...
  2. Analogia Malenga

    Mfahamu mfanya usafi aliyefukuzwa kazi na kugeukia kilimo kinachompa mamilioni

    Mkazi wa Njombe, Steven Mlimbila maarufu kwa jina la ‘Nemes’ alipofukuzwa kazi hakudhani kama angeweza kusimama tena. Mlimbila aliamini ndoto zake kiuchumi zimekufa kwa sababu ya kuondolewa kazini alikokuwa ameajiriwa kama mfanya usafi. Elimu yake ya darasa la saba ilimpa msongo wa mawazo...
  3. othiambo

    Hivi vitambulisho vya Askari/ Wanajeshi vina kazi gani kwa raia?

    Hali zenu waungwana. Hili swali huwa najiuliza sana na sipati majibu, hivi hawa watu vitambulisho hivi vimekua ndio kimbilio na nguzo ya utemi kwa wananchi? Sababu ya swali langu ni jana kipindi narudi nyumbani kufika kituoni magari hakuna; ghafla ikaja daladala ikitangaza nauli 500 katikati...
  4. FRANC THE GREAT

    Waziri mkuu wa Urusi Dmitry Medvedev amewasilisha barua yake ya kujiuzulu kwa rais

    Waziri Mkuu wa Urusi Dmitry Medvedev ametangaza kuwa serikali imejiuzulu. Taarifa hiyo inakuja muda mfupi baada ya Rais Vladimir Putin kutoa hotuba yake ya kila mwaka ya kitaifa. Kukubaliana na kujiuzulu huko, Putin aliwaomba mawaziri kuendelea kufanya kazi hadi pale serikali mpya itakapoundwa...
  5. Hosea Ben

    Nafasi za kazi

    nafasi za kazi ya kufundisha masomo ya sekondari sayansi; physics, biology & chemistry. unaweza kufanya kazi kwa muda wako wa ziada popote ulipo bila kuathiri ratiba zako za kawaida...? tuma jina lako na masomo unayofundisha kupitia namba hii 0624226549...!!!!!
  6. FRANCIS DA DON

    Nimekuta mkia wa nguruwe umefungashwa na kinda la ndege, kazi yake nini?

    Na vitu vya aina hii huwa nakutana navyo kwenye kila site mpya ya ujenzi ninayoenda, huwa vinakazi gani hivi vidude? Nimeambatanisha picha na video.
  7. K

    Naomba kubadilishana kituo cha kazi

    Mimi Mwalimu wa Shule ya Msingi Wilaya ya Momba Mkoa wa Songwe. Natafuta Mwalimu wa kubadilishana nae yeye aje Momba mimi niende Mkoa wa Lindi, Manispaaa, kwa taarifa njoo PM
  8. J

    Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es salaam Isaya Mwita anaendelea na kazi zake kama kawaida

    Meya wa Dar es Salaam Mh. Isaya Mwita anaendelea na majukumu yake ya kimeya katika ofisi zake zilizoko Karimjee kama kawaida. Mtangazaji wa ITV Juma Kapalatu amethibitisha hilo baada ya kufanya ziara ya kushtukiza kwenye ofisi ya Lord Mayor Dar es salaam Source: ITV Habari
  9. Jamii Opportunities

    Nafasi ya kazi ya Tutor or Instructor Chuo cha NIT

    Post: Tutor/ Instructor II in Welding Technology 1 post Post Category (s) Engineering and Construction EMPLOYER: National Institute of Transport (NIT) Duties and Responsibilities i. Teaches up to NTA level 6 (Ordinary Diploma) and may assist teaching in higher NTA Levels; ii. Conduct...
  10. Jamii Opportunities

    Nafasi ya kazi ya Uuguzi Mwiba Holdings Limited

    Mwiba Holdings Limited is registered Tanzanian Company under Companies Ordinance (Cap. 212) and a leading Hospitality company with its Operations in Arusha, Meatu-Simiyu and Mara Regions. We are currently looking for a Nurse to be part of our Team providing medical assistance to internal and...
  11. H

    Mr. Nice: Harmonize usirudie tena kuiba kazi yangu bila ridhaa yangu

    Msanii legend wa music wa bongofleva Mr Nice ameshangazwa na msanii Harmonize kuchukua vionjo wa wimbo wake kin'gasti Kwenye wimbo "Hainistui" bila kuniomba wala makubaliano. Wakati Mr Nice akihojiwa amefunguka unajua kuchukua vionjo au beat au mistari ya msanii mwingine kwa kumuomba au kuingia...
  12. Miss Zomboko

    Samsung yatengeneza binadamu wasio halisi wenye uwezo wa kufanya kazi kama binadamu wa kawaida

    Kampuni ya Samsung kushirikiana na Advanced Research Lab (Star Lab) wamefanikiwa kutengeneza watu wasioasilia ambao watakuwa wanafanana na binadamu katika maeneo mbalimbali ya miili yao kama sura na muonekano, kuonyesha hisia, tabia na akili na pia wana uwezo wa kuzungumza na kubadilishana nae...
  13. Erythrocyte

    Mkurugenzi wa NIDA atakiwa kujieleza kwanini asifutwe kazi

    Waziri wa Mambo ya Ndani Mh Kangi Lugola amemwagiza Mkurugenzi wa NIDA kukutana naye kwenye ofisi za NIDA Lindi tarehe 11 January, huku akiwa na maelezo ya kutosha kuhusiana na ucheleweshaji wa vitambulisho ili asifutwe kazi. Chanzo: Watetezi TV
  14. I

    Natafuta kazi nina Shahada ya pili ya Takwimu

    Habari wana jamvi. Mimi ni muhitimu wa Shahada ya pili katika Takwimu, natafuta kazi sehemu yoyote Tanzania.
  15. Erythrocyte

    Kazi imeanza: Halima Mdee kuongea na Waandishi wa Habari

    Mwenyekiti wa BAWACHA , jumuiya ya wanawake inayosemekana kuwa na nguvu kuliko jumuiya yoyote ya aina hiyo barani Africa , Mh Halima Mdee atazungumza na Waandishi wa habari Makao Makuu ya Chadema Jumatano hii. Wote mnakaribishwa
  16. beth

    Finland: Waziri Mkuu Sanna Marin apendekeza siku nne za kufanya kazi

    Waziri Mkuu mpya wa Finland Sanna Marin amependekeza nchi hiyo iwe na siku nne tu za kufanya kazi ili wananchi wawe na fursa kuwa na familia zao kwa muda mrefu zaidi na kufanya mambo mengine ya jamii ikiwemo michezo na utamaduni. Marin, akiwa kiongozi mkuu wa serikali mdogo kuliko wote duniani...
  17. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

    Utangulizi Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki, pamoja na kazi zingine kimepewa jukumu...
  18. K

    Athumani Kazi, jitathmini katika uchambuzi wako wa soka

    Nimeshangaa sana anadai penati ya Simba ilikuwa halali hata mtoto wa darasa la Kwanza asingesema kuwa ile ni penati. Kama una unazi achana na unazi binafsi, nakukuheshimu sikuheshimu tena kwenye uchambuzi lakini jitathimini kama ulikuwa unaficha uovu/ makosa ya huyo mama Jenesia, acha kabisa...
  19. Erythrocyte

    CHADEMA yaanza kazi Mbeya Mjini. Mbunge wake aanza kumimina semina elekezi ngazi zote kwenye kata zote

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Mbeya Mjini kimeanza amsha amsha kwa kumwaga semina elekezi kwa viongozi wa Kata zote , Vijiji na vitongoji kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kiutendaji . Ikumbukwe kwamba siasa za kishirikina za kutembea mitaani na majeneza kama...
  20. K

    Je, kipi bora kati ya kufanya kazi kwenye kampuni inayoanza (mpya) au yenye muda kidogo?

    Wakuu ushauri wenu muhimu. Kuna jamaa kamaliza shahada ya uhandisi. Kwa bahati nzuri kapata kazi kakita kampuni mbili, kampuni ya kwanza ameahidiwa mshahara wa million moja na laki mbili baada ya makato yote, kampuni nyingine nimpya ndio inaanza inamwaka mmoja, ameambiwa na wamiliki wa kampuni...
Back
Top Bottom