Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Hii ni hasara, laini nyingi za MPESA na TIGO pesa zilikuwa zinauzwa mtaani kwa sh 100,000 au zaidi ya hiyo, unakuta mtu kanunua laini yenye majina hata hamjui aliye isajili, wengi walifanya biashara hiyo ya MPESA na TIGO PESA kwa laini zisizo zenye majina yao, leo zimefungwa, watapata wapi laini za biashara ukizingatia lazima uwe na lesseni ya Biashara ndio upewe laini, wengi hawana.
Je huu uzimaji utaongeza kasi ya maombi ya lesseni za Biashara? tuone huduma itakuwaje ila Vodacom Tanzania na Tigo njoni mtupe tathmini ya hasara huenda serikali itawasikiliza na mwenye kuhitaji Mpesa au Tigo pesa labda wanaweza wakapunguza masharti.
Je huu uzimaji utaongeza kasi ya maombi ya lesseni za Biashara? tuone huduma itakuwaje ila Vodacom Tanzania na Tigo njoni mtupe tathmini ya hasara huenda serikali itawasikiliza na mwenye kuhitaji Mpesa au Tigo pesa labda wanaweza wakapunguza masharti.