Kama unafahamu namna watu wanaweza kupata kazi/ vibarua mradi wa bwawa la umeme mto rufiji kwenye hifadhi ya selous ,weka taarifa tafadhali wazee wa fursa waruke nayo.
Habar za Jumatatu
Kuna fursa kwa vijana wenye moyo wa utafutaji na weny uwezo wa kujituma.
Wanahitajika vijana kweny kampuni ya Zantel kwa ajili kufanya Mauzo
Sifa
Uwe na Smartphone inayofanya kazi vizuri
Uwezo wa kuongea na wateja na nguvu ya ushawishi
Vigezo
Barua ya uthibitisho kutoka...
Sio siri hii kitu iko wazi na nimeshawahi kushuhudia watu wangu kadhaa wakikumbwa na hii kadhia! Unakuta mtu yupo na mpenzi wake katikati ya mahusiano mambo yanakuwa tight ghafla labda mchizi kapoteza kazi hela imekata, approach ambayo ataitumia mpenzi wake ni kuhama tawi yani kuhamishia mapenzi...
Jobs facilitators ni Organization inayowaunganisha waajiriwa kwa waajiri. Kwa yeyeto mwenye hitaji la kazi yoyote tafadhali tutumie ujumbe kupitia Email Address hapo chini...
Jobsfacilitators@gmail.com
Na kwa muajiri anaehitaji muajiriwa pia anaweza kuwasiliana na sisi.kupitia Email Address...
Habari zenu wakuu. Nilikuwa nauliza kama mfanyakazi wa tanesco akiwa anaumwa mwezi mzima kiasi cha kushindwa kufanya kazi na huku akiwa na ruhusa ya ofisi, je mshahara wake utakuwepo pale pale au inakuaje?
Habari...
Anahitajika kijana kwa ajili ya kazi ya utengenezaji na uuzaji juice ya miwa .. eneo kigamboni ferry .. awe msafi,mzoefu,muaminifu na mchapakazi.
Mshahara mzuri .. malipo ya kila siku. Garama za chakula na usafiri atapata.
Kwa muhitaji wa kazi hii aniPM au atume ujumbe kupitia...
Madereva wenye uzoefu na kazi na wanaoijua kazi wanapatikana kwa wakazi wa Dar es salaam ,Dodoma na Mwanza.
SIFA ZAO
★Wanajua ufundi wa magari
★Wamepitia mafunzo ya udereva
★Hawana rekodi mbaya ya kutokamilisha hesabu
★wastaarabu
★Wasafi
Wasiliana na sisi tunguunganishe moja kwa moja na dereva...
Mfumo wa usafiri wa kimtandao wa Taxify sasa wawafikia wakazi wa dodoma.
Kwa yeyote anaehitaji madereva wa hesabu au mkataba usisite kuwasiliana na jobsfacilitators@gmail.com
Madereva wanapatikana, wastaarabu na waaminifu na wenye uzoefu na kazi.
Gari...
Sifa za waombaji,
1. Awe msichana kuanzia miaka 18 hadi 30.
2. Awe ana ujuzi wa massage na urembo (beauty therapy)
3. Awe mkazi wa dar es salaam, ikiwa anaishi ilala atapewa kipaumbele.
4. Awe tayari kufanya kazi bila msukumo.
Mshahara kwa mwezi ni tsh 360,000/=
Chakula cha asubuhi na...
Kidani Stars, Ni Televisheni Ya Mtandaoni (Online Tv) Inahitaji Kijana Mwenye Kipaji Cha Utangazaji Wa Habari Za Burudani (Entertainment) Na Uchambuzi Wa Habari Za Kila Siku (Current Affairs) Waishio Dar Es Salaam.
WENYE SIFA ZIFUATAZO:
UWEZO WA KUTANGAZA HABARI ZA BURUDANI NA KUFANYA MAHOJIANO...
Lablife tunajihusisha na uuzaji wa bidhaa za maabara/vitenganishi tiba (Lab supplies and Reagents)
Tunatafuta mfanyakazi kwa ajili ya kuuza dukani pia na kufanya utambulisho wa bidhaa (marketing) katika vituo vya afya na Hospital.
Sifa za muombaji za lazima
-Awe mkaazi wa Morogoro
Umri miaka 18...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.