johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Meya wa Dar es Salaam Mh. Isaya Mwita anaendelea na majukumu yake ya kimeya katika ofisi zake zilizoko Karimjee kama kawaida.
Mtangazaji wa ITV Juma Kapalatu amethibitisha hilo baada ya kufanya ziara ya kushtukiza kwenye ofisi ya Lord Mayor Dar es salaam
Source: ITV Habari
Mtangazaji wa ITV Juma Kapalatu amethibitisha hilo baada ya kufanya ziara ya kushtukiza kwenye ofisi ya Lord Mayor Dar es salaam
Source: ITV Habari