kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. B

    CHADEMA yapewa saa mbili kuondoa bendera zake kwenye barabara ya Sam Nujoma eneo la Mlimani City. Polisi yafika kushusha bendera hizo

    Mkurugenzi wa manispaa ya Ubungo, Beatrice Dominic amekiandikia barua chama cha Chadema na kukipa saa mbili kuondoa bendera zake zilizowekwa barabara ya Sam Nujoma karibu na ukumbi wa Mlimani City unakofanyika uchaguzi wa viongozi wa chama hicho. Bendera hizo ziliwekwa katika barabara hiyo...
  2. Infantry Soldier

    Wasanii wa Tanzania wanaofanya kazi na "World Class Celebrities" watusaidie kuwashawishi ili tuwatumie katika kuitangaza nchi yetu kwa gharama nafuu??

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa humu jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. PLEASE ANZA KWA KUSOMA HII THREAD YANGU...
  3. Mystery

    Rais Magufuli utaendelea kuiona kazi ya Urais kuwa ngumu, kwa kuwa huruhusu nchi iwe na taasisi imara

    Nimekuwa nikimsikiliza Mara kwa Mara Rais wangu Magufuli, katika hotuba zake mbalimbali, anazotoa kwenye majukwaa ya kisiasa na Mara kwa Mara amekuwa akirudia kauli yake ya kulalamika na kusema kuwa kazi ya Urais ni ngumu sana na kama yeye angelijua hilo kabla, basi hata fomu ya Urais mwaka ule...
  4. scatter

    Uzi kwa tuliowahi na tunaofanya kazi kwa Wahindi tupeane changamoto za mabosi zetu

    Binafsi nimeshawahi kufanya kazi kwa Muhindi kama Bosi wangu. Kipindi naanza kazi nilikutana na ahadi kibao na mambo mazuri mazuri tuliahidiwa kama kazi ikiwa nzuri marupurupu yataongezeka. Pigo la kwanza niliomba mkataba bahati mbaya nilipigwa chenga 😀 palikuwa na sijui sijui nyingi...
  5. Jamii Opportunities

    Nafasi ya kazi ya Finance Director T-MARC

    T-MARC Tanzania is a non-profit Tanzanian organization working to improve public health and promote social development. Our socially marketed products and behavior change communication initiatives address pertinent health issues in family planning and reproductive health, child survival, water...
  6. Pascal Mayalla

    Magufuli, "Kama Unaona Kazi ya Urais ni Ngumu Kwako, Jiuzulu! ".

    Wanabodi, Haya sii maneno yangu bali ni paraphrasing from ushauri wa mwana Jf humu. Angalizo kuhusu paraphrasing. Ni editing tool inayotumiwa na ma editors ku summarize long speeches kwa kufanya brief for brevity na coherent ujumbe ufike kwa urahisi . Huu ni ushauri kwa rais Magufuli...
  7. Pdidy

    Dar Lux Arusha ni kweli basi zilizopo mpaka Jumatatu ni za 40,000? Hamko serious na kazi

    Jana saa mbili usiku nilifika ofisi za Dar Lux kujua tiketi za kupeleka watu Dar leo na kesho. Mdada mmoja bila aibu akasisitiza basi zilizopo ni za 40,000 eti luxury tu.. Aisee nikachoka kabisa nikiwaza yale mabehewa yetu shida tu yako mbali from Arusha Mamanager husika tuambieni ni kweli...
  8. N

    Dodoma kuchele: Serikali ya viwanda inapiga kazi?

    Hatimaye Serikali umeamua kufungua kiwanda kikubwa na cha kisasa cha kusindika mbogamboga maana sasa hivi akina mama wengi wanafunga mboga zao, Serikali imeamua kuboresha na kuandaa kiwanda kitakachoajiri watu 100,000 na kupewa mishahara ya laki 5. Hakika hakuna kiwanda kilichokufa vyote vipo...
  9. masai dada

    Ndugu yangu anatafuta kazi, amesoma Shahada ya Culture Tourism and Heritage

    Ndugu zangu kwa mwenye msaada wa hilo jamani. Nina ndugu yangu kamaliza hiyo shahada na kuna baadhi ya field na sehemu zingine za kazi alishafanya zihisuzo utalii, anatafuta kazi. Msaada jamani
  10. M

    Mkuu wa Wilaya ya Tabora ndugu Erick Komanya Kitwala hana maelewano na mtumishi yeyote ndani ya wilaya anayoiongoza

    Huyu DC ndie DC wa hovyo kuzidi hata yule wa Kilolo. 1. Tangu ateuliwe kuwa DC kazi yake ni kujisifu mbele ya watumishi ,madiwani,wana CCM na hata mbele ya mikutano ya wananchi wakawaida. 2. Alianza kugombana na dereva wa DC ambae alimkuta akimuendesha DC Qeen Mulozi ambae ni DC aliekuwa...
  11. Zero IQ

    Andika kazi ya mme/mke wako ambayo unataka awe nayo

    Ni simple tu: Andika kazi ya mme/mke wako ambayo unataka awe nayo? Cc Zero iq Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi, Program manager, Helen Keller International (HKI)

    Overview Established in 1915 with Helen Keller as a founding trustee, Helen Keller International (HKI) works to save the sight and lives of the most vulnerable and disadvantaged. Headquartered in New York City, HKI currently conducts programs in 20 countries in Africa and Asia as well as in the...
  13. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi, Rector of Tanzania Institute of Accountant, TIA

    Ref.No.EA.7/96/01/K/135 VACANCIES ANNOUNCEMENT Public Service Recruitment Secretariat on behalf of Tanzania Institute of Accountancy (TIA), invites qualified Tanzanians to fill 1 vacant posts as mentioned hereunder. 1.0 TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY (TIA) Tanzania Institute of...
  14. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi, Mtunza stoo(School Store keeper), ABC primary and Nursery school

    ABC Primary and Nursery school located at Ukonga Dar es Salaam are hereby advertising the post of school store keeper. The applicant should have the following ability and qualification. 1. Diploma in Procurement 2. Certificate in advanced level secondary school 3. Competence in tally...
  15. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi, Resources Management Office at International Organization for Migration (IOM)

    Position Title: Resources Management Officer Duty Station : Dar es Salaam, Tanzania, United Republic of Classification: Professional Staff, Grade P3 Type of Appointment : Fixed term, one year with possibility of extension Estimated Start Date : As soon as possible Closing Date : 22 December 2019...
  16. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi(108) Medical Teams International

    1. Nurse Midwife x84 Job Summary Provide obstetrical care to pregnant women and their babies, doing follow up before, during and after delivery, according to MTI obstetrical and reproductive health protocols, universal hygienic and newborn caring standards and under the supervision of a...
  17. Jamii Opportunities

    Nafasi za Kazi Al Muntazir schools

    The Al Muntazir Schools are managed under the auspices of KSIJ Central Board of Education, a Non-Profit Organization, providing quality education to students from multicultural backgrounds and comprises several schools spread over many campuses, providing education at Toddlers, Nursery, Primary...
  18. Jamii Opportunities

    Nafasi ya kazi, Human Resource Manager at Simba Logistics Limited

    Job Description Posting ID: SLS-2019-004 Simba Supply Chain Solutions and Simba Logistics are looking for a an astute, mature and reliable Human Resource Professional between the ages of 35 and 40 years. This position will be on a two year fixed contract. The major focus will be to continue...
  19. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi, Tanzania Government Flight Agency (TGFA)

    Ref.No.EA.7/96/01/K/134 11th December, 2019 VACANCIES ANNOUNCEMENT On behalf of Tanzania Government Flight Agency (TGFA), Public Service Recruitment Secretariat invites qualified Tanzanians to fill 3 vacant posts as mentioned below;- 1.0...
  20. Heater

    Msaada aliyepata mafao baada ya miaka 7 ya kazi 2019

    Nimefanya kazi kwa miaka 7, hatimaye kibarua kimefika tamati. Mwezi uliopita nikaenda ofisi za Mafao - Ubungo Plaza nikaambiwa niwasilishe madai lakini hawajapewa muongozo toka juu kuhusu kulipa watu ambao ni Expert. Hivyo madai yangu yatapokelewa na kuwekwa pending mpaka pale muongozo...
Back
Top Bottom