Mkurugenzi wa manispaa ya Ubungo, Beatrice Dominic amekiandikia barua chama cha Chadema na kukipa saa mbili kuondoa bendera zake zilizowekwa barabara ya Sam Nujoma karibu na ukumbi wa Mlimani City unakofanyika uchaguzi wa viongozi wa chama hicho.
Bendera hizo ziliwekwa katika barabara hiyo...
Shikamooni wakubwa zangu wote wa humu jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
PLEASE ANZA KWA KUSOMA HII THREAD YANGU...
Nimekuwa nikimsikiliza Mara kwa Mara Rais wangu Magufuli, katika hotuba zake mbalimbali, anazotoa kwenye majukwaa ya kisiasa na Mara kwa Mara amekuwa akirudia kauli yake ya kulalamika na kusema kuwa kazi ya Urais ni ngumu sana na kama yeye angelijua hilo kabla, basi hata fomu ya Urais mwaka ule...
Binafsi nimeshawahi kufanya kazi kwa Muhindi kama Bosi wangu. Kipindi naanza kazi nilikutana na ahadi kibao na mambo mazuri mazuri tuliahidiwa kama kazi ikiwa nzuri marupurupu yataongezeka. Pigo la kwanza niliomba mkataba bahati mbaya nilipigwa chenga 😀 palikuwa na sijui sijui nyingi...
T-MARC Tanzania is a non-profit Tanzanian organization working to improve public health and promote social development. Our socially marketed products and behavior change communication initiatives address pertinent health issues in family planning and reproductive health, child survival, water...
Wanabodi,
Haya sii maneno yangu bali ni paraphrasing from ushauri wa mwana Jf humu.
Angalizo kuhusu paraphrasing.
Ni editing tool inayotumiwa na ma editors ku summarize long speeches kwa kufanya brief for brevity na coherent ujumbe ufike kwa urahisi .
Huu ni ushauri kwa rais Magufuli...
Jana saa mbili usiku nilifika ofisi za Dar Lux kujua tiketi za kupeleka watu Dar leo na kesho. Mdada mmoja bila aibu akasisitiza basi zilizopo ni za 40,000 eti luxury tu..
Aisee nikachoka kabisa nikiwaza yale mabehewa yetu shida tu yako mbali from Arusha
Mamanager husika tuambieni ni kweli...
Hatimaye Serikali umeamua kufungua kiwanda kikubwa na cha kisasa cha kusindika mbogamboga maana sasa hivi akina mama wengi wanafunga mboga zao, Serikali imeamua kuboresha na kuandaa kiwanda kitakachoajiri watu 100,000 na kupewa mishahara ya laki 5.
Hakika hakuna kiwanda kilichokufa vyote vipo...
Ndugu zangu kwa mwenye msaada wa hilo jamani. Nina ndugu yangu kamaliza hiyo shahada na kuna baadhi ya field na sehemu zingine za kazi alishafanya zihisuzo utalii, anatafuta kazi.
Msaada jamani
Huyu DC ndie DC wa hovyo kuzidi hata yule wa Kilolo.
1. Tangu ateuliwe kuwa DC kazi yake ni kujisifu mbele ya watumishi ,madiwani,wana CCM na hata mbele ya mikutano ya wananchi wakawaida.
2. Alianza kugombana na dereva wa DC ambae alimkuta akimuendesha DC Qeen Mulozi ambae ni DC aliekuwa...
Overview
Established in 1915 with Helen Keller as a founding trustee, Helen Keller International (HKI) works to save the sight and lives of the most vulnerable and disadvantaged. Headquartered in New York City, HKI currently conducts programs in 20 countries in Africa and Asia as well as in the...
Ref.No.EA.7/96/01/K/135
VACANCIES ANNOUNCEMENT
Public Service Recruitment Secretariat on behalf of Tanzania Institute of Accountancy (TIA), invites qualified Tanzanians to fill 1 vacant posts as mentioned hereunder.
1.0 TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY (TIA)
Tanzania Institute of...
ABC Primary and Nursery school located at Ukonga Dar es Salaam are hereby advertising the post of school store keeper.
The applicant should have the following ability and qualification.
1. Diploma in Procurement
2. Certificate in advanced level secondary school
3. Competence in tally...
Position Title: Resources Management Officer
Duty Station : Dar es Salaam, Tanzania, United Republic of
Classification: Professional Staff, Grade P3
Type of Appointment : Fixed term, one year with possibility of extension
Estimated Start Date : As soon as possible
Closing Date : 22 December 2019...
1. Nurse Midwife x84
Job Summary
Provide obstetrical care to pregnant women and their babies, doing follow up before, during and after delivery, according to MTI obstetrical and reproductive health protocols, universal hygienic and newborn caring standards and under the supervision of a...
The Al Muntazir Schools are managed under the auspices of KSIJ Central Board of Education, a Non-Profit Organization, providing quality education to students from multicultural backgrounds and comprises several schools spread over many campuses, providing education at Toddlers, Nursery, Primary...
Job Description
Posting ID: SLS-2019-004
Simba Supply Chain Solutions and Simba Logistics are looking for a an astute, mature and reliable Human Resource Professional between the ages of 35 and 40 years. This position will be on a two year fixed contract. The major focus will be to continue...
Ref.No.EA.7/96/01/K/134 11th December, 2019
VACANCIES ANNOUNCEMENT
On behalf of Tanzania Government Flight Agency (TGFA), Public Service Recruitment Secretariat invites qualified Tanzanians to fill 3 vacant posts as mentioned below;-
1.0...
Nimefanya kazi kwa miaka 7, hatimaye kibarua kimefika tamati.
Mwezi uliopita nikaenda ofisi za Mafao - Ubungo Plaza nikaambiwa niwasilishe madai lakini hawajapewa muongozo toka juu kuhusu kulipa watu ambao ni Expert.
Hivyo madai yangu yatapokelewa na kuwekwa pending mpaka pale muongozo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.