Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,232
Mwenyekiti wa BAWACHA , jumuiya ya wanawake inayosemekana kuwa na nguvu kuliko jumuiya yoyote ya aina hiyo barani Africa , Mh Halima Mdee atazungumza na Waandishi wa habari Makao Makuu ya Chadema Jumatano hii.
Wote mnakaribishwa