Habari,
Mimi ni kijana umri24 natafuta kazi yoyote
Hususani katika makampuni,viwanda,majumbani, madukani,mashambani
NB: sihitaji mshahara mkubwa
Nichek PM
Nina ujuzi computer application na ufundi umeme.
Hawa watumishi wa umma wanataka kushindana na serikali.
Kumekuwa na wimbi kubwa la kada ya watumishi wa umma kuacha kazi kutokana na hofu, hawa wamepewa mafunzo kazini kwa gharama kubwa na wengi ni wa kada za juu ambao wana nia ya kuvuruga succession plan ambayo kama nchi, gharama kubwa...
TEMESA inapenda kukanusha uvumi unaoenea mitandaoni kupitia video pamoja na picha zikielezea kusimama kwa huduma za vivuko katika kivuko cha Kigongo Busisi mkoani Mwanza kutokana na kuwepo kwa magugu maji.
Tukio la magugu maji lilitokea siku ya tarehe 24 Desemba 2019 na magugu maji hayo...
Ninahitaji vijana wachache ndani ya Wilaya ya Mbogwe kwa ajili ya kuanzisha nao miradi wa kuozesha taka za sokoni kuwa mbolea nzuri ya shambani kwa muda mfupi kwa kutumia njia ya kibaiolojia ya kutumia nzi aina ya "Blacksoldier fly " BSF.
Nimeshafanya piloting juu ya namna ya kuwapata hawa nzi...
Rais wa Urusi, Vladmir Putin amewafuta kazi majenerali 5 waliokuwa wakifanya kazi katika wizara na mashirika mbalimbali.
Kwa mujibu wa uamuzi wa Rais uliosambazwa katika mfumo wa sheria za serikali, Majenerali 5 waliokuwa wakitumika katika sehemu mbalimbli nchini humo kama vile wizara ya mambo...
Kichwa kinajieleza.
Mimi ni mtumishi wa umma, niliajiriwa 2015 June. Katika kipindi hiki cha Magufuli nimekopa fedha bank mara 3 kwa malengo tofauti.
- Nilikopa 5m. Kwaajili ya ada
- Nilikopa 3 kwaajili ya biashara ambayo ilifeli. Ilifeli kwaajili ya mzunguko mdogo (wateja hakuna). Biashara...
Pamoja na maendeleo ya vitu yanayoendelea TANZANIA, wananchi wake wapo hoi, hawana furaha, hawana amani, tunakuomba Bwana Membe uje utuokoe Watanzania tunateseka ndani ya nchi yetu.
Wakuu nafahamu hapa JamiiForums kuna watu wenye connection mbalimbali, tafadhali sana kama mnaweza kunisaidia kwenye jambo hili maana nahisi kama sijaitendea haki field yangu.
Mbogwe haikuwa ilivyo licha ya Wananchi wengi kuendelea kuonesha kana kwamba hakuna kilichofanyika katika uongozi wako.
Umekuwa mfuatiliaji mzuri wa miradi mingi ya maendeleo katika Wilaya ya Mbogwe ndiyo maana Mbogwe ya leo hususani mji Mdogo mtarajiwa wa Masumbwe ulionekana kuonesha kukua...
Je kufutwa kazi kwa Mkuu wa Boeing ndio suluhu ya matatizo ya 737?
Boeing imemfuta kazi Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa kampuni hiyo, Dennis Muilenburg, katika hatua ya kurejesha imani ya kampuni hiyo baada ya ajali mbili mbaya zilizohusisha ndege yake ya 737 Max.
Zaidi ya watu 340 walikufa...
Tito ambaye ni Mfanyakazi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) inadaiwa ametekwa maeneo ya Mwenge, Jijini Dar
Yaelezwa amechukuliwa na watu 5 waliovalia kiraia ambao walimfunga pingu kabla ya kuondoka naye
Watu hao walikuwa kwenye gari aina ya Harrier.
Taarifa za awali kuhusu...
Waziri wa TAMISEMI Mh. Jaffo amesema hatashangaa endapo mkuu wa wilaya ya Kisarawe mh Joketi atapandishwa cheo kwa sababu ndiye DC anayeongoza kwa kuchapa kazi kuliko wakuu wa wilaya wote Tanzania.
Mh Jaffo amesema ameamua kuyasema hayo kwa sababu yeye siyo mnafiki kwani wanafiki wana tabia ya...
Habari,
Tuna kazi ya Finance, Admin and Procurement Officer kwenye kampuni mpya ya distribution.
Kama una interest naomba unitumie CV yako na Certificates kwenye email andrew@erncon.co.tz
Educational Qualifications
University degree in Finance /Accounting
Diploma in accounting (CPA /CMA or...
Husika na kichwa cha habari hapo juu mimi ni raia wa kawaida hapa kisarawe kwa Sasa naomba msaada wa kusoma kozi za muda mfupi kwa jiji la Dar es salaam,hivyo kama kuna mdau yeyote anayefahamu eneo wanalofundisha hizo kozi za muda mfupi aje hapa jukwaani anisaidie,iwe miezi mitatu, miezi sita...
Nimetoka kuzungumza na mpwa wangu sasa hivi anaomba msaada wa cherehani akajifunze kushona nguo, ndio mradi aliobuni baada ya kusota miaka 2 bila ajira. Amesoma ana degree Bachelor of Arts in Community and Development Studies.
Kaniambia ameshapata mtu wa kumfundisha na mahali pa kujifunzia...
Responsibilities:
Cash Management
• Ensure weekly cash forecast/requirements are compiled for all DRC field offices
• Ensure that Nyarugusu Program has sufficient cash flow for implementation by Requesting Funding from to HQ on time
• Check and record the bank balance on Weekly basis
• Follow...
Tuna vijana wengi wamemaliza darasa la saba, kidato cha nne, kidato cha tano, chuo, n.k. wana moto na hali ya kufanyakazi lakini kazi za kufanya za kujenga jamii au taifa huku wakijipatia kipato ziko wapi? Kisayansi: kazi (Work) = Force (kani) X Distance ( Umbali).
Ikiwa na maana ukiburuza...
Purpose of Position:
To Manage & coordinate human resources strategy for VisionFund, Tanzania (VFT) – Microfinance Business (MFB) including manpower planning, recruitment & selection, orientation, placement, performance management, compensation package, staff development and talent management...
Mkurugenzi wa manispaa ya Ubungo, Beatrice Dominic amekiandikia barua chama cha Chadema na kukipa saa mbili kuondoa bendera zake zilizowekwa barabara ya Sam Nujoma karibu na ukumbi wa Mlimani City unakofanyika uchaguzi wa viongozi wa chama hicho.
Bendera hizo ziliwekwa katika barabara hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.