CHADEMA yaanza kazi Mbeya Mjini. Mbunge wake aanza kumimina semina elekezi ngazi zote kwenye kata zote

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,690
218,194
Subpost 1 - MBUNGE akizungumza na VIONGOZI wa CHADEMA wa NGAZI ya KATA kutoka ka ( 480 X 640 ).jpg

Subpost 2 - MBUNGE akizungumza na VIONGOZI wa CHADEMA wa NGAZI ya KATA kutoka ka ( 480 X 640 ).jpg


Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Mbeya Mjini kimeanza amsha amsha kwa kumwaga semina elekezi kwa viongozi wa Kata zote , Vijiji na vitongoji kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kiutendaji .

Ikumbukwe kwamba siasa za kishirikina za kutembea mitaani na majeneza kama zinavyofanywa na ccm , hazina nafasi kwa jamii iliyostaarabika na ndio maana Chadema imeamua kutumia mbinu za kisomi .

Wanaoonekana pichani ni viongozi wetu wa ngazi zote kutoka bonde la Uyole , wakichukua ujuzi kutoka kwa viongozi wao
 
View attachment 1311567
View attachment 1311568

Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema ) Jimbo la Mbeya Mjini kimeanza amsha amsha kwa kumwaga semina elekezi kwa viongozi wa Kata zote , Vijiji na vitongoji kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kiutendaji .

Ikumbukwe kwamba siasa za kishirikina za kutembea mitaani na majeneza kama zinavyofanywa na ccm , hazina nafasi kwa jamii iliyostaarabika na ndio maana Chadema imeamua kutumia mbinu za kisomi .

Shida kura hazitapigwa .....atapewa tu "Tulia" jimbo
 
Wala sisi hatuko huko , sisi tuko kwenye semina elekezi tu

Kwa sasa hatuhitaji wabunge wahuni, tunataka viongozi wasomi na wenye Vision, Mji wa mbeya kwa sasa ni mji wa hovyo kwa kila kitu, Bajaji zimejaa hadi mjini, Ujenzi holela na pollution, Once called a green city now a filthy city, no one cares.
 
Kwa sasa hatuhitaji wabunge wahuni, tunataka viongozi wasomi na wenye Vision, Mji wa mbeya kwa sasa ni mji wa hovyo kwa kila kitu, Bajaji zimejaa hadi mjini, Ujenzi holela na pollution, Once called a green city now a filthy city, no one cares.
Una hoja za kijinga sana ! huku ukijua mikakati ya magufuli kwenye majimbo ya upinzani lakini wajifanya kipofu , hata hivyo unatakiwa uangalie jimbo la Kyela ambalo hakujawahi kuwa na mbunge wa upinzani tangu dunia iumbwe , mbona hakuna maendeleo , au Mwakyembe naye hamfikii mfadhili wa ngoma na mbeba ushirikina wa majeneza Tulia Ackson ?
 
Una hoja za kijinga sana ! huku ukijua mikakati ya magufuli kwenye majimbo ya upinzani lakini wajifanya kipofu , hata hivyo unatakiwa uangalie jimbo la Kyela ambalo hakujawahi kuwa na mbunge wa upinzani tangu dunia iumbwe , mbona hakuna maendeleo , au Mwakyembe naye hamfikii mfadhili wa ngoma na mbeba ushirikina wa majeneza Tulia Ackson ?
😄😄😄😄 mkuu Erythro taratibu
 
Una hoja za kijinga sana ! huku ukijua mikakati ya magufuli kwenye majimbo ya upinzani lakini wajifanya kipofu , hata hivyo unatakiwa uangalie jimbo la Kyela ambalo hakujawahi kuwa na mbunge wa upinzani tangu dunia iumbwe , mbona hakuna maendeleo , au Mwakyembe naye hamfikii mfadhili wa ngoma na mbeba ushirikina wa majeneza Tulia Ackson ?

Arusha na Iringa pia ni Majimbo yaliyo chini ya upinzani ila walau hayapo Hovyo kama Mbeya. Then unaijua Kyela? Unaposema hakuna maendeleo unakuwa umelinganisha na wapi? au unatumia kipimo gani?
Nasema hatutaki mbunge mhuni na kiburi, tunataka kiongozi anaejua kusoma nyakati na kusogeza gurudumu la maendeleo Mbeya, Hatuwezi kuwa na jiji lina wakazi zaidi laki 5 na hatuwezi kuwa hata na mfumo mzuri wa usafiri wa umma, au hili nalo linahitaji serikali ya ccm??
Kiongozi mzuri anaweza toka chama chochote iwe ccm au cuf.
Ubunge sio kwenda bungeni Dodoma na kupiga mayowe pekee, ni lazima mtu aweze kutambua watu wake wanahitaji nini na ajue namna ya kufanya nao kazi kumaliza changamoto zao.
 
Back
Top Bottom