IQ_son_daughter
Member
- Dec 24, 2019
- 12
- 2
Habari wana jamvi. Mimi ni muhitimu wa Shahada ya pili katika Takwimu, natafuta kazi sehemu yoyote Tanzania.
Kweli kabisa mkuu, nadhani huwa tunapata uoga wa kupambana na kukimbilia kuongeza elimuBado hali ni tete.. dunia ya sasa ninaamini kusoma degree ya pili kama ya kwanza haijakupa hata chaka la kueleweka.. ni kujiongezea stress
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani ungeongeza nyama katika tangazo lako, incase muajiri akipita ajue why akuchukueHabari wana jamvi. Mimi ni muhitimu wa Shahada ya pili katika Takwimu, natafuta kazi sehemu yoyote Tanzania.
Kabisa Mkuu nadhani tunajiogopa sana.Bado hali ni tete.. dunia ya sasa ninaamini kusoma degree ya pili kama ya kwanza haijakupa hata chaka la kueleweka.. ni kujiongezea stress
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu mkuu tengeneza website kwa hosters wa bure (not secured ) itayouhusu ushauri wa bure wa mifumo ya ofisi bora ya takwimu ,kwa kuwa huna hela anza na ngo ukifanya biashara hii bure ,jitangaze insta,twitter,etc fanyia watu kama 20 kazi hii kwa weredi mkubwa ukiwaachia contact weka posho ndogo kwako kama Tshs 40,000 hata kama utatembelea mara 20 ofisi yake usiombe ombe vihela jenga heshima kisha mambo yataenda yenyewe .
USHUHUDA
Mimi nilitafuta kazi kwa miaka 3 bila mafanikio nimesomea finance and econ ,nilichoka balaa baadae naamia kujiuliza nafeli wapi niligundua haya
1.Mavazi
Hakuna wa kukuamini kama unavaa kihuni ,kishamba au mchafu.nkazama mtumbani nkabeba mishati mieupe kibao na suruali za kuchomekea na tai haikauki na kapafume ka 5000 .
2.Unaokaa nao
Unatafuta kazi halafu unakaa kijiweni unabishania iran na usa ? kaa na watu unaotaka kuwa wao,unataka kunywa soda yako unaweza inywa kwa mchaga kibandani kwa 500 au 1000 sehemu wanakaa watu wenye sio et connection(hilo ni neno la wajinga) bali like mind wanaoweza elewa lugha ya ndoto yako .mfano kwa wanywaji waweza kula konyagi yako na msosi uswazi kisha unaenda hotel kubwa ya bia 4,000 ukajichanganya with purpose mi nilikutana na mzee mmoja anataka mkopo nilikomaa kumsaidia huku simpigi mizinga ndipo i touched my first tshs 1 mil and the rest is story
NB: USIWATUMIE MAOMBI YA KAZI MATAJIRI (WANAOTUMA WENGI) WAONESHE UNGEKUWA
Asante kwa ushauri mzurimkuu mkuu tengeneza website kwa hosters wa bure (not secured ) itayouhusu ushauri wa bure wa mifumo ya ofisi bora ya takwimu ,kwa kuwa huna hela anza na ngo ukifanya biashara hii bure ,jitangaze insta,twitter,etc fanyia watu kama 20 kazi hii kwa weredi mkubwa ukiwaachia contact weka posho ndogo kwako kama Tshs 40,000 hata kama utatembelea mara 20 ofisi yake usiombe ombe vihela jenga heshima kisha mambo yataenda yenyewe .
USHUHUDA
Mimi nilitafuta kazi kwa miaka 3 bila mafanikio nimesomea finance and econ ,nilichoka balaa baadae naamia kujiuliza nafeli wapi niligundua haya
1.Mavazi
Hakuna wa kukuamini kama unavaa kihuni ,kishamba au mchafu.nkazama mtumbani nkabeba mishati mieupe kibao na suruali za kuchomekea na tai haikauki na kapafume ka 5000 .
2.Unaokaa nao
Unatafuta kazi halafu unakaa kijiweni unabishania iran na usa ? kaa na watu unaotaka kuwa wao,unataka kunywa soda yako unaweza inywa kwa mchaga kibandani kwa 500 au 1000 sehemu wanakaa watu wenye sio et connection(hilo ni neno la wajinga) bali like mind wanaoweza elewa lugha ya ndoto yako .mfano kwa wanywaji waweza kula konyagi yako na msosi uswazi kisha unaenda hotel kubwa ya bia 4,000 ukajichanganya with purpose mi nilikutana na mzee mmoja anataka mkopo nilikomaa kumsaidia huku simpigi mizinga ndipo i touched my first tshs 1 mil and the rest is story
NB: USIWATUMIE MAOMBI YA KAZI MATAJIRI (WANAOTUMA WENGI) WAONESHE UNGEKUWA WAO UNGEFANYIA NINI KAMPUNI BURE .
Vizur mkuumkuu mkuu tengeneza website kwa hosters wa bure (not secured ) itayouhusu ushauri wa bure wa mifumo ya ofisi bora ya takwimu ,kwa kuwa huna hela anza na ngo ukifanya biashara hii bure ,jitangaze insta,twitter,etc fanyia watu kama 20 kazi hii kwa weredi mkubwa ukiwaachia contact weka posho ndogo kwako kama Tshs 40,000 hata kama utatembelea mara 20 ofisi yake usiombe ombe vihela jenga heshima kisha mambo yataenda yenyewe .
USHUHUDA
Mimi nilitafuta kazi kwa miaka 3 bila mafanikio nimesomea finance and econ ,nilichoka balaa baadae naamia kujiuliza nafeli wapi niligundua haya
1.Mavazi
Hakuna wa kukuamini kama unavaa kihuni ,kishamba au mchafu.nkazama mtumbani nkabeba mishati mieupe kibao na suruali za kuchomekea na tai haikauki na kapafume ka 5000 .
2.Unaokaa nao
Unatafuta kazi halafu unakaa kijiweni unabishania iran na usa ? kaa na watu unaotaka kuwa wao,unataka kunywa soda yako unaweza inywa kwa mchaga kibandani kwa 500 au 1000 sehemu wanakaa watu wenye sio et connection(hilo ni neno la wajinga) bali like mind wanaoweza elewa lugha ya ndoto yako .mfano kwa wanywaji waweza kula konyagi yako na msosi uswazi kisha unaenda hotel kubwa ya bia 4,000 ukajichanganya with purpose mi nilikutana na mzee mmoja anataka mkopo nilikomaa kumsaidia huku simpigi mizinga ndipo i touched my first tshs 1 mil and the rest is story
NB: USIWATUMIE MAOMBI YA KAZI MATAJIRI (WANAOTUMA WENGI) WAONESHE UNGEKUWA WAO UNGEFANYIA NINI KAMPUNI BURE .
Goodmkuu mkuu tengeneza website kwa hosters wa bure (not secured ) itayouhusu ushauri wa bure wa mifumo ya ofisi bora ya takwimu ,kwa kuwa huna hela anza na ngo ukifanya biashara hii bure ,jitangaze insta,twitter,etc fanyia watu kama 20 kazi hii kwa weredi mkubwa ukiwaachia contact weka posho ndogo kwako kama Tshs 40,000 hata kama utatembelea mara 20 ofisi yake usiombe ombe vihela jenga heshima kisha mambo yataenda yenyewe .
Nimeanza kuifanyia kazimkuu mkuu tengeneza website kwa hosters wa bure (not secured ) itayouhusu ushauri wa bure wa mifumo ya ofisi bora ya takwimu ,kwa kuwa huna hela anza na ngo ukifanya biashara hii bure ,jitangaze insta,twitter,etc fanyia watu kama 20 kazi hii kwa weredi mkubwa ukiwaachia contact weka posho ndogo kwako kama Tshs 40,000 hata kama utatembelea mara 20 ofisi yake usiombe ombe vihela jenga heshima kisha mambo yataenda yenyewe .
USHUHUDA
Mimi nilitafuta kazi kwa miaka 3 bila mafanikio nimesomea finance and econ ,nilichoka balaa baadae naamia kujiuliza nafeli wapi niligundua haya
1.Mavazi
Hakuna wa kukuamini kama unavaa kihuni ,kishamba au mchafu.nkazama mtumbani nkabeba mishati mieupe kibao na suruali za kuchomekea na tai haikauki na kapafume ka 5000 .
2.Unaokaa nao
Unatafuta kazi halafu unakaa kijiweni unabishania iran na usa ? kaa na watu unaotaka kuwa wao,unataka kunywa soda yako unaweza inywa kwa mchaga kibandani kwa 500 au 1000 sehemu wanakaa watu wenye sio et connection(hilo ni neno la wajinga) bali like mind wanaoweza elewa lugha ya ndoto yako .mfano kwa wanywaji waweza kula konyagi yako na msosi uswazi kisha unaenda hotel kubwa ya bia 4,000 ukajichanganya with purpose mi nilikutana na mzee mmoja anataka mkopo nilikomaa kumsaidia huku simpigi mizinga ndipo i touched my first tshs 1 mil and the rest is story
NB: USIWATUMIE MAOMBI YA KAZI MATAJIRI (WANAOTUMA WENGI) WAONESHE UNGEKUWA WAO UNGEFANYIA NINI KAMPUNI BURE .
Habari wana jamvi. Mimi ni muhitimu wa Shahada ya pili katika Takwimu, natafuta kazi sehemu yoyote Tanzania.
hali ni ngumu 2022 jiandae kujitolea kuhesabu sensaHabari wana jamvi. Mimi ni muhitimu wa Shahada ya pili katika Takwimu, natafuta kazi sehemu yoyote Tanzania.
Degree inatafutwa sana Wall Street hii. From personal career experience.Habari wana jamvi. Mimi ni muhitimu wa Shahada ya pili katika Takwimu, natafuta kazi sehemu yoyote Tanzania.
Bado hali ni tete.. dunia ya sasa ninaamini kusoma degree ya pili kama ya kwanza haijakupa hata chaka la kueleweka.. ni kujiongezea stress
Sent using Jamii Forums mobile app
.. . Huku hata madaktari hawathaniwi; wamejazana kibao tu mtaani nowdays.Degree inatafutwa sana Wall Street hii. From personal career experience.
Huko kwetu sijui hata kama inathaminiwa, au hata kama ya huko ni sawa na ya kimataifa.
Sent using Jamii Forums mobile app