chakula

  1. maji ya gundu

    Unawezaje kula chakula ulichopika mwenyewe?

    Mungu ni mwema kwa wote. Najiuliza unawezaje kula chakula ulichopika mwenyewe maana mi chakula nikipika kwa mikono yangu siwezi kukila yaani kinanikinai mapema. Nyie kwenu vipi mnatumia mbinu gani kula chakula ulichopika mwenyewe.
  2. Influenza

    GE2020 SPECIAL THREAD: Taarifa za Kampeni na Sera za Mgombea Urais kupitia CHAUMMA, Hashim Rungwe Sipunda

    SEPTEMBA 5: CHAUMA KUFUNGUA RASMI KAMPENI MANZESE, DAR Mgombea Urais kupitia CHAUMMA, Hashim Rungwe ametangaza kufungua rasmi kampeni za chama chake viwanja vya Bakhresa vilivyopo Manzese Dar es Salaam, Septemba 5 Awali chama hiko kilipanga kufungua kampeni zake mkoani Mara, zoezi ambalo...
  3. uvugizi

    Saikolojia ya chakula na shibe

    Tunavyokula kuna athiri jinsi tunavyojisikia. Inatakiwa unapokula uwe unajisikia vizuri. Kuna wengine wakila wanajisikia tofauti. Ukila sana au kidogo vyote vinaweza kukufanya kusikia vibaya , hata kuleta madhara katika mwili. Kuna vitu vingi sana vinaweza kuathiri ulaji wetu. Aidha inaweza...
  4. Mkogoti

    Ukiambiwa uagize chakula chako cha mwisho duniani kabla ya kunyongwa utaagiza nini?

    Habari za humu Wana JF Ni katika kuleta kitu tofauti tu ila hakina maana halisi na jinsi labda kusema ni itatokea kweli hapana ni kutoa tu mawazo kujiweka katika ile hali ya kuwa kuna kitu unatamani ule au ukipate, Karibuni kwa mchango.
  5. Infantry Soldier

    Hekima, busara na nidhamu ya chakula (Table Manners) mbele ya kadamnasi ya wageni

    MADA YA LEO: NI MUHIMU SANA MTU KUWA NA NIDHAMU YA KULA KWA STAHA MBELE YA WATU (KADAMNASI) Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Sio kila muda tunapaswa kusoma na kujadili makala...
  6. Yoyo Zhou

    Karibu Wakenya milioni moja wakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula

    Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) hivi karibuni ilitoa ripoti kuwa, mamilioni ya Wakenya wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula. Kutokana na ripoti hiyo, tathmini zilizopangwa kufanyika mwezi Julai na Agosti zinatarajiwa kuthibitisha kuongezeka kwa hali mbaya...
  7. CONTROLA

    Biashara ya Chakula (mama wa biashara zote)

    Biashara ya chakula ni moja ya biashara nzuri na yenye faida na inayoweza kukutoa from zero to hero ndani ya mwaka wako mmoja tu ukikomaa ipasavyo kazini kwako, lakini ili ikutoe kama inavyotoa wengine ni lazima biashara yako iguse wateja wote bila kubagua. Biashara nyingi sana hapa mjini...
  8. dvj nasmiletz

    Natafuta jina zuri kwa ajili ya ofisi yangu ya chakula

    Vyakula vinavopatikana ni chips.soda,juisi,mihogo rost, ukwaju, bites mbalimbali, kuku, pweza.. msaada wenu wakuu jiwe liwe simpo linalojumuisha vitu tajwa hapo mfano.. masapta sapta madikodiko
  9. Yoyo Zhou

    UN yaonya janga la Virusi vya Corona litazidisha hali mbaya ya chakula na lishe Duniani

    Hivi karibuni Umoja wa Mataifa UN umetoa ripoti ya mwaka 2020 ambayo inaonesha hali ya chakula na lishe sio ya kuridhisha hata kidogo. Ripoti hiyo ya hali ya usalama wa Chakula na Lishe iliyotolewa kwa pamoja na mashirika ya UN yakiwemo ya Chakula na Kilimo FAO na la Afya Duniani WHO, inaonesha...
  10. Azizi Mussa

    Kwanini Mbunge asijitolee diwani akalipwa mshahara? Kama chakula kidogo anaachiwa mdogo

    Hivi ni kigezo gani kilitumika kuamua Mbunge alipwe maslahi ya uhakika halafu diwani afanye kazi kwa kujitolea? Kama hoja ni kwamba uwezo ni mdogo 'chakula', kwa mila za kitanzania chakula kikiwa kidogo, wakubwa huachia wadogo. Sasa mbona kama kwenye hili liko kinyume nyume? Kama hoja ni...
  11. Chakorii

    Biashara ipi inatoa faida ya haraka zaidi kati ya Genge duka na biashara ya chakula?

    Habari za mchana kila mmoja wetu. Poleni na majukumu. Naomba usaidizi wenu wakuu najua huku kuna watu wa namna tofauti,wafanyabiashara wakubwa,wadogo,wakati,waajiriwa na kuendelea. Kuna biashara mbili kati ya hizo 👆juu moja wapo naitamani kufanya lkni sina uzoefu nazo kwa upande faida na...
  12. Mukulu wa Bakulu

    Wanawake wengi siku hizi hawajui kupika chakula. Wanajaza viungo vingi kwenye mboga inapoteza ladha yake halisi

    Kwa utafiti wangu wanawake wengi wa siku hizi hawajui kupika au mapishi kwa ujumla wake. Wanawake wengi wa siku hizi wanaamini viungo vingi kwenye mboga ndio mapishi mazuri. Mbona inawekewa viungo vingi hadi inapoteza ladha. Hakuna tofauti ya mapishi ya nyumbani ya mboga fresh kabisa na...
  13. Miss Zomboko

    TMA yatoa tahadhari ya upepo mkali unaoweza kuharibu mazao ya chakula

    Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imewataka wananchi wa mikoa ya Njombe, Songwe, Mbeya na Ruvuma, kuchukua tahadhari kufuatia kuwepo kwa upepo mkali ambao unaweza kusababisha mazao yao ya chakula kuathirika.
  14. mathsjery

    Ni chakula kipi unaweza kula mwaka mzima bila kubadili ukiwa peke yako?

    Nauliza kile chenye nguvu, kuhusu matunda n.k inaruhusiwa kukamilisha mlo kamili. Ila ni kipi waweza kula mwaka mzima. Mimi wali na maharage asubuhi mpaka jioni, kiporo n.k mwaka mzima na sasa nimeshasahau radha ya vyakula vingine kama ugali. Mh, nashangaa sana wanaokinaiwa na wali huwa...
  15. M

    Kiongozi anapohamasisha ongezeko la bei ya vyakula, anaelewa Madhara yake?

    Badala ya kupigania wananchi wasife njaa, Rais wetu anataka tupate tabu ya chakula na kununua kwa bei ya juu. Kasema,- “Niwaombe wakulima, msiuze chakula kwa bei ya chini, mwaka huu na mwaka unaokuja si mzuri sana, sasa tutunze chakula, na kama tunaamua kuuza basi tuuze kwa bei ya juu sana...
  16. Mukulu wa Bakulu

    Kwangu Ugali bila mlenda ni chakula ambacho hakijakamilika

    Mimi nikienda mahala na kupewa ugali na mboga yoyote ila kama kwenye hiyo mboga hakuna mlenda basi kwangu naona kama nimekula chakula ambacho hakijakamilika. Nikiwa nyumbani nimeamua kujipikia lazima nipike mlenda. Mlenda ni my all time favorite mboga. Naweza kula ugali na mlenda peke yake na...
  17. CARIFONIA

    Dr. Stella Nyanzi, Bajjo and several others arrested over food protest

    Leo katika kupitia pitia katika mitandao ya kijamii nimekuta kuna video inasambaa katika facebook ikionyesha mwanamke mmoja ambaye inasemekana ni muhadhiri katika chuo kimoja nchini Uganda akipambana na polisi huku akipinga agizo la lockdown kwa madai watu wanakufa na njaa. Polisi wametumia...
  18. Nigrastratatract nerve

    Kenya waandamana wakitaka chakula

    We want food’: Standoff in Eastleigh as irate residents take to the streets A section of Eastleigh residents demanding for relief food on May 11, 2020 A section of Eastleigh residents are demanding relief food following government restrictions on movement in and out of the ward...
  19. Parabora

    Binti wa Kireno kaondoka na akili zangu kwenye foleni ya chakula cha bure Jijini Geneva (Switzerland)

    Wakuu leo nimeenda kupanga foleni ya kuchukua chakula cha bure kinachotolewa na mamlaka za jijini hapa kwa ajili ya wahamiaji, nimeona haiwezekani na ni ujinga mwarabu na raia wa ulaya akapange foleni ya kupata hiki chakula halafu mimi ninunue wakati ubora ni uleule na hakuna masharti kwenye...
  20. Parabora

    Matajiri wa jiji la Geneva(Switzerland) waanza kugawa chakula na mahitaji muhimu bure kwa wahamiaji masikini na waliopoteza ajira

    Lockdown bado inaendelea hapa Uswisi japo serikali imedhibiti sana maambukizi mapya mpaka leo asubuhi kwa mujibu wa takwimu za serikali kuna jumla ya wagonjwa 43,000+ na waliokufa zaidi ya 19,000+ ni idadi ndogo sana kulinganisha na nchi zilizotuzunguka Matajiri wa hapa jijini GENEVA...
Back
Top Bottom