chakula

  1. Miss Zomboko

    Baada ya watu kuugua matumbo kwa chakula cha msibani sasa Serikali yapitisha amri ya watu kuomba kibali cha kukusanyika kwenye misiba

    Wakazi wa Mtumba wakimzika marehemu Edward Mabumba ambaye msiba wake umekuwa wa watu 55 kulazwa hospitali baada ya kudaiwa kula chakula chenye sumu. Picha na Habel Chidawali Dodoma. Serikali imetoa amri ya muda kuzuia mikusanyiko kwenye misiba mtaa wa Mtumba jijini hapa. Amri hiyo inawataka...
  2. kibokomchapaji

    Zitto: Ni Kutumiwa na GMO, Tamaa za Umaarufu au ni Kutosoma Ripoti Mbalimbali

    Zitto kabwe amefilisika sana. Maneno yake kuhusu upungufu wa chakula nchini hayana mashiko. Bodi ya Takwimu (NBS) ndio wa kwanza kusema kuna mfumuko wa bei. Benki ya Dunia (WB) ikasema umasikini umepungua nchini hivyo watu wanamudu gharama za kununua vyakula. Aidha, ripoti ya Utafiti wa kina...
  3. Suley2019

    Watu watatu washitakiwa kwa kuweka sumu kwenye chakula

    Mameneja watatu wa shamba huko Baringo wafikishwa mahakamani wakikabiliwa na shitaka la kuweka sumu kwenye chakula na kusababisha vifo vya watu wanne na wengine kuathirika. Watatu hao, ambao ni wasimamizi wa shamba walitambulika kwa majina ya Paul Kinyua na Evans Oyugi, na Nelson Letite...
  4. Erythrocyte

    Abiria wa mabasi ya mikoani hasa Dar - Iringa - Mbeya wanakula chakula kibovu. Mamlaka ziingilie kati

    Baada ya makala ya uchafu kwenye mabasi ya njia hii iliyofuatiwa na makala ya abiria kusafirishwa kama wafungwa , sasa nimewaletea makala ya vyakula wanavyolishwa abiria hawa wenye uchovu na njaa, na ambao wamepewa dakika 10 tu za kula pamoja na kuchimba dawa. Natambua kwamba zipo makala...
  5. matunduizi

    Napendekeza ugali dagaa kuwa chakula cha taifa

    Katika pitapita na ulizauliza zangu nimegundua hiki ni moja ya chakula kinachopendwa na wengi wa hadhi zote. Mimi binafsi niko tayari kula ugali dagaa mwaka mzima bila kunikifu. Sababu kuu ni unyumbulifu wa Dagaa wakati ugali unabaki vilevile bila kujali ni Dona, Sembe, Udaga au Mtama. Dagaa...
  6. M

    Awareness: Uwapo safarini usikubali kula chakula cha kupewa na msafiri mwenzako

    Siku za hivi karibuni ndugu yetu Dadi Mohamedi (49) na Omary Burian(27) wamekutwa na mkasa wa kuibiwa wakiwa wanasafiri kutoka Dar Mtwara na basi la Zungu. Imeelezwa kuwa waliibiwa vitu vyaombalimbali baada ya kula biscuti zinazoaminika kuchanganywa na madawa ya kulevya. Vijana watatu...
  7. beth

    Taarifa kwa umma kuhusu wakulima kutumia mvua za msimu zilizoanza kunyesha na za vuli kupanda mazao yanayokomaa kwa muda mfupi

    Waziri wa Kilimo Mheshimiwa Japhet Hasunga (Mb) anapenda kuwafahamisha wananchi wote hasa wakulima kutumia mvua za vuli zilizoanza kunyesha katika mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza, Mara, Simiyu, Arusha, Kilimanjaro, Tanga, Pwani na Morogoro ambayo hupata mvua mara mbili (bimodal) kwa mwaka...
  8. Suley2019

    Kiongozi wa chama wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema kupanda kwa bei ya mahindi ni kwa sababu serikali hainunui chakula cha akiba

    Zitto alisema Rais John Magufuli ameongelea bei ya unga kupanda yupo sahihi kwa wakulima wanapaswa kupata bei nzuri ya mazao na serikali haipaswi kuingilia. “Amejifunza makosa ya korosho? Lakini sababu za bei kwa walaji kupanda ni serikali kutonunua chakula cha akiba Zitto aliandika ujumbe huo...
  9. F

    Kilimo cha Konokono

    Nimeona kwenye mitandao na kugundua kuwa kuna kilimo ama ufugaji wa konokono katika nchi mbali mbali hapa duniani na soko lilivyo kubwa la wakonokono duniani. Nimeona Nigeria wao wamefanikiwa sana kuwa shughuli hizo kiasi kwamba wanatoa mafunzo , wanazalisha mbegu na kuwatafutiaq wajasiriamali...
  10. Sky Eclat

    Raha ya chakula mle pamoja ukisusiwa chakula ladha pia hupotea

    Raha ya kula mle pamoja, ikitokea kuna watakaoona mpishi analeta upendeleo, nyama amejaza upande wa wengine hatimae Mdude. Chakula hupoteza ladha.
  11. Sky Eclat

    Kwa wenye biashara ya pombe na chakula, chumba cha mhudumu kwenye sehemu ya biashara ni muhimu

    Kama unajenga mgahawa, bar hata guest house, kumbuka kuweka chumba cha mhudumu pembeni. Ikiwezekana weka viwili cha wanawake na cha wanaume. Hii itakupunguzia stress za wafanyakazi kuchelewa kazini asubuhi kwani wale wapika supu na chapati wataamkia hapo hapo. Kama unaweza, unaweza kuweka...
  12. Equation x

    Uzi wa kukaribishana kupata chakula

    Ni vizuri kama marafiki tuwe tunakaribishana katika kupata chai,mlo wa mchana,mlo wa jioni na mlo wa usiku.Tunaamini mada zingine huwa zinakuja baada ya kushiba....Mwana jf popote pale ulipo tukaribishe kwa aina ya chakula unachokula na pia 'location' kama inawezekana. Naanza kwa kuwakaribisha...
  13. Sky Eclat

    Kifungua kinywa ni chakula muhimu sana. Tamaduni zote huwa na chakula chenye virutubisho

    Kinaitwa kifungua kinywa, kizungu wanaita break a fast. Maana kwa masaa 10 au zaidi uliyokuwa usingizini mwili ni kama ulifunga. Mashariki ya Kati utamaduni wao wa kifungua kinywa ni mikate, matunda ya mzaituni na dengu. Warumi wa kale walifungua kinywa na mkate usio na chachu, tende...
  14. mtima nyongo

    Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

    Mazingira ya maisha hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa Ramadan kwa Wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida. Mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa...
  15. Godfrey Sway

    Kilimo cha Azolla kwaajili ya chakula cha mifugo

    Azolla bado imeonesha kushika kasi hasa katika ufugaji wa kuku, samaki, ng'ombe mbuzi sungura na nguruwe kwan inapunguza kiasi kikubwa cha gharama ya chakula pia inaongeza ukuaji na afya ya wanyama. Azolla ina protein kubwa sana kwa ajili ya ukuaji wa wanyama. Kwa mahitaji ya mbegu ya Azolla na...
  16. M

    Mwenye proposal ya namna ya kutengeneza bidhaa za tambi anitafute

    Tanzania ya viwanda inawezekana, mwenye proposal ya namna ya kutengeneza bidhaa za tambi, namna ya kutengeneza, Ratios, NA rasilimali zingine muhimu za kuzingatiwa wakati was kutengeneza bidhaa hii muhimu. Uweza nicheck via sadickjaphari2@gmail.com
  17. okoyoko

    My principle: huwa silali kwa watu, wala kula chakula kwa watu

    Hello guys, Nlivokuwa shule ya msingi na sekondari i was obsessed likizo ifike ili nikaishi kwa ndugu kwa miezi kadhaa, ila nlivofika 18 yrs and above nkaanza kuona dunia halisi jinsi ilivyo, so nlichukua maamuzi yafuatayo: Nina miaka kama 2 na nusu hivi nimekuwa nikiishi kwa kutumia hizi...
  18. Dr Lizzy

    Chakula gani ukipika watu wengine wanaomba kuongeza chakula tena?

    . . .What are you Great at?!! Nini ukipika watu wengine wanaomba kuongeza chakula kama hawana akili nzuri? Au hawaachi kuomba uwaambie ulichoweka? Au hawaachi kutania kwamba lazima umeweka dawa au 'umepika bila nguo' lolz. . .ama wengine unashangaa wanaishia kupenda chakula ambacho hawakuwahi...
Back
Top Bottom