chakula

  1. K

    JamiiForums Tanzania Natengeneza na kuuza chakula cha Samaki

    Habari wadau wa JF, Karibuni mjipatie chakula cha samaki chenye virutubisho vya kutosha. Simu: 0767900396 au 0782391954. KARIBUNI sana.
  2. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini wanyama walao nyama (carnivorous) hawatumiki kama chakula cha mwanadamu?

    Wanyama walao nyama, yaani Carnivorous hawatumiki kama sehemu ya chakula cha mwanadamu karibu sehemu nyingi duniani. Herbivorous, yaani wanyama walao majani, ndiyo hutumika kama sehemu ya chakula katika jamii nyingi. Hii ni kutokana na mafundisho ya dini, mila au kuna madhara ya kisayansi?
  3. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Nzige wakiwa ndani ya eneo la Kilometa ya mraba 1, wanakula chakula cha kuwatosha watu 35,000 kwa siku

    Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa misaada ya kibinadamu na masuala ya dharura OCHA, Bwana Mark Lowcock amesema “wimbi moja la nzige waliozingira ukubwa wa kilometa moja , ambalo linajumuisha nzige milioni 40-milioni 80, wanaweza kula kwa siku moja chakula ambacho kinatosheleza kulisha watu 35000”...
  4. Boniphace Kichonge

    JamiiForums Tanzania Tarime raha sana, chai ya asubuhi ni zaidi ya chakula cha mchana

    Mambo ya Tarime Hayo!
  5. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Huku kwetu Kwamtogole ukiwa na sherehe, "self service" ya chakula inaumiza wengi

    Ni rahisi huku kwetu kuweka chakula kwenye sinia watu wale kwenye majamvi. Kama ni single plates basi zipakuliwe jikoni watu watolewe. Huu utaratibu wa watu kujichikuliia nyama wenyewe, ni watu 10-15 wamwanzo ndiyo watabeba nyama zote. Unakuta mtu amepanga nyama kama mlima Kilimanjaro...
  6. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Ethiopia yahitaji msaada wa chakula

    Ukame mkali wa mara kwa mara unaoikumba nchi ya Ethiopia umepelekea watu takribani milioni 7 kuhitaji msaada wa chakula. Baraza la uratibu wa majanga nchini Ethiopia limearifu kwamba watu milioni 7 katika nchi hiyo wanahitaji msaada utakaogharimu dola bilioni 1. Katika taarifa hiyo iliarifiwa...
  7. babu kassamya

    JamiiForums Tanzania Kutokwa jasho jingi wakati wa kula chakula

    Nima mwanangu ana umri wa miaka 15 akianza kula jasho linamtoka sana kama amemwagiwa maji hata kama kuna baridi kiasi gani na ana mwili mkubwa. Je wana JF huu ni ugonjwa au ni nini naombe msaada mnijuze.
  8. Morning_star

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara kuweka mawe na mchanga kwenye chakula sio uungwana kabisa!

    Wavuvi wa dagaa, uvua dagaa wakiwa wasafi kabisa kwenye maji baharini au kwenye maziwa. Chakushangaza huku wakijua kabisa hao dagaa ni kitoweo cha binadamu ambaye ndiye mteja wao na kwamba binadamu hali mchanga wala mawe, lakini huenda na kuwamwaga mwaloni kwenye mchanga au nchi kavu ili...
  9. beth

    JamiiForums Tanzania Chakula: Kichocheo cha kuimarisha mahusiano mazuri ya familia

    Familia bora ni ile ambayo inayoishi kwa upendo na amani, lakini ili ubora huo utimie wanafamilia wanahitaji muda wa kukaa pamoja na kuzungumza mustakabali wa maisha yao. Familia inayotajwa hapa inajumuisha wazazi yaani baba na mama, pia watoto ambao wamejaariwa kuwa nao. Lakini kutokana na...
  10. F

    JamiiForums Tanzania Zanzibar ilitoa msaada wa chakula kwa Uingereza

  11. B

    JamiiForums Tanzania Tishio la Upungufu wa Mavuno, Usalama wa Chakula baada ya Mafuriko na Mvua kubwa

    December 30, 2019 Tanzania Hali ya upungufu wa mavuno tishio la Usalama wa chakula Tanzania 2020 - 2021 Changamoto kubwa baada ya mafuriko na mvua nzito zisizo koma kukumba maeneo mengi ya Tanzania ni suala la usalama wa chakula kupitia akiba ya mazao kama mahindi, mpunga, mihogo, ulezi na...
  12. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Baada ya watu kuugua matumbo kwa chakula cha msibani sasa Serikali yapitisha amri ya watu kuomba kibali cha kukusanyika kwenye misiba

    Wakazi wa Mtumba wakimzika marehemu Edward Mabumba ambaye msiba wake umekuwa wa watu 55 kulazwa hospitali baada ya kudaiwa kula chakula chenye sumu. Picha na Habel Chidawali Dodoma. Serikali imetoa amri ya muda kuzuia mikusanyiko kwenye misiba mtaa wa Mtumba jijini hapa. Amri hiyo inawataka...
  13. kibokomchapaji

    JamiiForums Tanzania Zitto: Ni Kutumiwa na GMO, Tamaa za Umaarufu au ni Kutosoma Ripoti Mbalimbali

    Zitto kabwe amefilisika sana. Maneno yake kuhusu upungufu wa chakula nchini hayana mashiko. Bodi ya Takwimu (NBS) ndio wa kwanza kusema kuna mfumuko wa bei. Benki ya Dunia (WB) ikasema umasikini umepungua nchini hivyo watu wanamudu gharama za kununua vyakula. Aidha, ripoti ya Utafiti wa kina...
  14. Suley2019

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watu watatu washitakiwa kwa kuweka sumu kwenye chakula

    Mameneja watatu wa shamba huko Baringo wafikishwa mahakamani wakikabiliwa na shitaka la kuweka sumu kwenye chakula na kusababisha vifo vya watu wanne na wengine kuathirika. Watatu hao, ambao ni wasimamizi wa shamba walitambulika kwa majina ya Paul Kinyua na Evans Oyugi, na Nelson Letite...
  15. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Abiria wa mabasi ya mikoani hasa Dar - Iringa - Mbeya wanakula chakula kibovu. Mamlaka ziingilie kati

    Baada ya makala ya uchafu kwenye mabasi ya njia hii iliyofuatiwa na makala ya abiria kusafirishwa kama wafungwa , sasa nimewaletea makala ya vyakula wanavyolishwa abiria hawa wenye uchovu na njaa, na ambao wamepewa dakika 10 tu za kula pamoja na kuchimba dawa. Natambua kwamba zipo makala...
  16. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Napendekeza ugali dagaa kuwa chakula cha taifa

    Katika pitapita na ulizauliza zangu nimegundua hiki ni moja ya chakula kinachopendwa na wengi wa hadhi zote. Mimi binafsi niko tayari kula ugali dagaa mwaka mzima bila kunikifu. Sababu kuu ni unyumbulifu wa Dagaa wakati ugali unabaki vilevile bila kujali ni Dona, Sembe, Udaga au Mtama. Dagaa...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Awareness: Uwapo safarini usikubali kula chakula cha kupewa na msafiri mwenzako

    Siku za hivi karibuni ndugu yetu Dadi Mohamedi (49) na Omary Burian(27) wamekutwa na mkasa wa kuibiwa wakiwa wanasafiri kutoka Dar Mtwara na basi la Zungu. Imeelezwa kuwa waliibiwa vitu vyaombalimbali baada ya kula biscuti zinazoaminika kuchanganywa na madawa ya kulevya. Vijana watatu...
  18. beth

    JamiiForums Tanzania Taarifa kwa umma kuhusu wakulima kutumia mvua za msimu zilizoanza kunyesha na za vuli kupanda mazao yanayokomaa kwa muda mfupi

    Waziri wa Kilimo Mheshimiwa Japhet Hasunga (Mb) anapenda kuwafahamisha wananchi wote hasa wakulima kutumia mvua za vuli zilizoanza kunyesha katika mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza, Mara, Simiyu, Arusha, Kilimanjaro, Tanga, Pwani na Morogoro ambayo hupata mvua mara mbili (bimodal) kwa mwaka...
  19. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Kiongozi wa chama wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema kupanda kwa bei ya mahindi ni kwa sababu serikali hainunui chakula cha akiba

    Zitto alisema Rais John Magufuli ameongelea bei ya unga kupanda yupo sahihi kwa wakulima wanapaswa kupata bei nzuri ya mazao na serikali haipaswi kuingilia. “Amejifunza makosa ya korosho? Lakini sababu za bei kwa walaji kupanda ni serikali kutonunua chakula cha akiba Zitto aliandika ujumbe huo...
  20. F

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha Konokono

    Nimeona kwenye mitandao na kugundua kuwa kuna kilimo ama ufugaji wa konokono katika nchi mbali mbali hapa duniani na soko lilivyo kubwa la wakonokono duniani. Nimeona Nigeria wao wamefanikiwa sana kuwa shughuli hizo kiasi kwamba wanatoa mafunzo , wanazalisha mbegu na kuwatafutiaq wajasiriamali...
Back
Top Bottom