chakula

  1. Azizi Mussa

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mbunge asijitolee diwani akalipwa mshahara? Kama chakula kidogo anaachiwa mdogo

    Hivi ni kigezo gani kilitumika kuamua Mbunge alipwe maslahi ya uhakika halafu diwani afanye kazi kwa kujitolea? Kama hoja ni kwamba uwezo ni mdogo 'chakula', kwa mila za kitanzania chakula kikiwa kidogo, wakubwa huachia wadogo. Sasa mbona kama kwenye hili liko kinyume nyume? Kama hoja ni...
  2. Chakorii

    JamiiForums Tanzania Biashara ipi inatoa faida ya haraka zaidi kati ya Genge duka na biashara ya chakula?

    Habari za mchana kila mmoja wetu. Poleni na majukumu. Naomba usaidizi wenu wakuu najua huku kuna watu wa namna tofauti,wafanyabiashara wakubwa,wadogo,wakati,waajiriwa na kuendelea. Kuna biashara mbili kati ya hizo 👆juu moja wapo naitamani kufanya lkni sina uzoefu nazo kwa upande faida na...
  3. Mukulu wa Bakulu

    JamiiForums Tanzania Wanawake wengi siku hizi hawajui kupika chakula. Wanajaza viungo vingi kwenye mboga inapoteza ladha yake halisi

    Kwa utafiti wangu wanawake wengi wa siku hizi hawajui kupika au mapishi kwa ujumla wake. Wanawake wengi wa siku hizi wanaamini viungo vingi kwenye mboga ndio mapishi mazuri. Mbona inawekewa viungo vingi hadi inapoteza ladha. Hakuna tofauti ya mapishi ya nyumbani ya mboga fresh kabisa na...
  4. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania TMA yatoa tahadhari ya upepo mkali unaoweza kuharibu mazao ya chakula

    Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imewataka wananchi wa mikoa ya Njombe, Songwe, Mbeya na Ruvuma, kuchukua tahadhari kufuatia kuwepo kwa upepo mkali ambao unaweza kusababisha mazao yao ya chakula kuathirika.
  5. mathsjery

    JamiiForums Tanzania Ni chakula kipi unaweza kula mwaka mzima bila kubadili ukiwa peke yako?

    Nauliza kile chenye nguvu, kuhusu matunda n.k inaruhusiwa kukamilisha mlo kamili. Ila ni kipi waweza kula mwaka mzima. Mimi wali na maharage asubuhi mpaka jioni, kiporo n.k mwaka mzima na sasa nimeshasahau radha ya vyakula vingine kama ugali. Mh, nashangaa sana wanaokinaiwa na wali huwa...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kiongozi anapohamasisha ongezeko la bei ya vyakula, anaelewa Madhara yake?

    Badala ya kupigania wananchi wasife njaa, Rais wetu anataka tupate tabu ya chakula na kununua kwa bei ya juu. Kasema,- “Niwaombe wakulima, msiuze chakula kwa bei ya chini, mwaka huu na mwaka unaokuja si mzuri sana, sasa tutunze chakula, na kama tunaamua kuuza basi tuuze kwa bei ya juu sana...
  7. Mukulu wa Bakulu

    JamiiForums Tanzania Kwangu Ugali bila mlenda ni chakula ambacho hakijakamilika

    Mimi nikienda mahala na kupewa ugali na mboga yoyote ila kama kwenye hiyo mboga hakuna mlenda basi kwangu naona kama nimekula chakula ambacho hakijakamilika. Nikiwa nyumbani nimeamua kujipikia lazima nipike mlenda. Mlenda ni my all time favorite mboga. Naweza kula ugali na mlenda peke yake na...
  8. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Dr. Stella Nyanzi, Bajjo and several others arrested over food protest

    Leo katika kupitia pitia katika mitandao ya kijamii nimekuta kuna video inasambaa katika facebook ikionyesha mwanamke mmoja ambaye inasemekana ni muhadhiri katika chuo kimoja nchini Uganda akipambana na polisi huku akipinga agizo la lockdown kwa madai watu wanakufa na njaa. Polisi wametumia...
  9. Nigrastratatract nerve

    JamiiForums Tanzania Kenya waandamana wakitaka chakula

    We want food’: Standoff in Eastleigh as irate residents take to the streets A section of Eastleigh residents demanding for relief food on May 11, 2020 A section of Eastleigh residents are demanding relief food following government restrictions on movement in and out of the ward...
  10. Parabora

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Binti wa Kireno kaondoka na akili zangu kwenye foleni ya chakula cha bure Jijini Geneva (Switzerland)

    Wakuu leo nimeenda kupanga foleni ya kuchukua chakula cha bure kinachotolewa na mamlaka za jijini hapa kwa ajili ya wahamiaji, nimeona haiwezekani na ni ujinga mwarabu na raia wa ulaya akapange foleni ya kupata hiki chakula halafu mimi ninunue wakati ubora ni uleule na hakuna masharti kwenye...
  11. Parabora

    JamiiForums Tanzania Matajiri wa jiji la Geneva(Switzerland) waanza kugawa chakula na mahitaji muhimu bure kwa wahamiaji masikini na waliopoteza ajira

    Lockdown bado inaendelea hapa Uswisi japo serikali imedhibiti sana maambukizi mapya mpaka leo asubuhi kwa mujibu wa takwimu za serikali kuna jumla ya wagonjwa 43,000+ na waliokufa zaidi ya 19,000+ ni idadi ndogo sana kulinganisha na nchi zilizotuzunguka Matajiri wa hapa jijini GENEVA...
  12. The Mongolian Savage

    JamiiForums Tanzania MSHANGAO: Hadi Uswizi watu wanapanga foleni ndefu kupokea chakula cha bure Corona imeleta maajabu

    Mzuka wanajamvi Kamwe usingewaza tukio kama hili kutokea Uswizi. Korona (pathetic virus) imeleta shida kwa kipindi kifupi sana. Yani watu Uswizi wanapanga foleni ndefu tena ya zaidi kilometre moja kupewa chakula cha bure tena wanawahi kupanga mstari kwaanzia saa kumi na moja asubuhi. Kwa...
  13. shakur kimboka

    JamiiForums Tanzania Kupoteza uwezo wa kunusa yaweza kuwa/ni dalili za mwazo za COVID19

    Kama kichwa kinavyojieleza hapo zaidi ya 70% ya confirmed cases za corona virus wagonjwa walipoteza uwezo wao wakunusa na kutest ladha kabla hata ya kuanza kuumwa === UFAFANUZI KUTOKA KWA WATAALAMU KUHUSU DALILI HII Je kupoteza ladha na harufu ni dalili ya coronavirus...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Mbowe tafadhali tembelea kituo cha Karantini Horohoro Tanga na ikikupendeza wachangie chakula

    Kupitia kituo cha luninga cha ITV wameonyeshwa wananchi walio katika kituo cha Karantini katika mpaka wa Horohoro wakilia njaa. Wananchi hao wamedai wanatakiwa kulipa sh 140,000 kila mmoja ili waweze kutunzwa mahali hapo kwa siku 14. Wananchi hao wamedai kuwa wao ni maskini hawana uwezo wa...
  15. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Janga la njaa lazidi kuwa baya nchini Zimbabwe. Watu milioni 7.7 hawana chakula

    Shirika la Mpango wa Chakula Duniani WFP limetoa wito wa kuchangisha kiasi cha dola milioni 130 za kimarekani ili kuwasaidia watu wanaokumbwa na njaa nchini Zimbabwe kwenye kipindi hiki maalumu cha mlipuko wa virusi vya Corona. Shirika hilo limesema Zimbabwe imekumbwa na msukosuko wa ukosefu wa...
  16. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Kuna haja ya kununua chakula kingi kujiandaa na marufuku ya kutotoka nje?

    Coronavirus: Kuna haja ya kununua chakula kingi kujiandaa na marufuku ya kutotoka nje? Tangu nchi mbalimbali duniani kuweka sharti la kutotoka nje kumekuwa na changamoto ya upatikanaji wa vyakula kwa urahisi. Dunia ikiwa na makatazo mengi katika maeneo mbalimbali kutokana na mlipuko wa...
  17. Papaa Mobimba

    JamiiForums Tanzania Serikali: Wagonjwa watano wathibitika kuwa na Virusi vya Corona na kupelekea kuwa na idadi ya wagonjwa 19 (Machi 30, 2020)

    Waziri Ummy Mwalimu akitoa taarifa juu ya mwenendo wa Virusi vya Corona nchini amesema leo asubuhi wamepokea vipimo vya wagonjwa watano kutoka maabara ya taifa, watatu wanatoka Tanzania Bara na wawili wakitokea Zanzibar. Idadi imefikia 19 akiwepo mgonjwa mmoja aliyetangazwa na Waziri wa Afya wa...
  18. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Jana McDonald’s waligawa chakula bure kwa health care workers

    Kuonyesha shukran yao katika kupigana na covid-19. McDonald’s zilitoa chakula bure ukionyesha tu budge ya kazini.
  19. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Mzee wa miaka 85 afungiwa mahubusu siku 3 bila chakula

    MZEE wa miaka 85, Masanja Mahubi, anadaiwa kufungiwa kwa siku tatu katika ofisi ya serikali ya mtaa bila kupewa chakula na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa, Msoba Mligo. Akizungumza kwa shida baada ya Jeshi la Polisi likiongozwa na Mkuu wa Jeshi hilo wilayani Igunga, Ally Mkalipa, kuuvunja mlango...
  20. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Kiafya haishauriwi kufanya vitu vifuatavyo mara baada ya kula chakula hasa namba nne ni hatari zaidi kwa maisha yako

    1.Kuvuta sigara Kiafya mara baada ya kula chakula hairuhusiwi kuvuta sigara japo kuwa mvutaji wa siagara hupatwa na hamu kubwa ya kuvuta mara baada ya kula tabia hii huhatarisha afya, hivyo inashauriwa kusubiri angalau kwa masaa kadhaa ndipo uvute endapo ni lazima sana kwani sigara ina miliki...
Back
Top Bottom