chakula

  1. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Raha ya chakula mle pamoja ukisusiwa chakula ladha pia hupotea

    Raha ya kula mle pamoja, ikitokea kuna watakaoona mpishi analeta upendeleo, nyama amejaza upande wa wengine hatimae Mdude. Chakula hupoteza ladha.
  2. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kwa wenye biashara ya pombe na chakula, chumba cha mhudumu kwenye sehemu ya biashara ni muhimu

    Kama unajenga mgahawa, bar hata guest house, kumbuka kuweka chumba cha mhudumu pembeni. Ikiwezekana weka viwili cha wanawake na cha wanaume. Hii itakupunguzia stress za wafanyakazi kuchelewa kazini asubuhi kwani wale wapika supu na chapati wataamkia hapo hapo. Kama unaweza, unaweza kuweka...
  3. Equation x

    JamiiForums Tanzania Uzi wa kukaribishana kupata chakula

    Ni vizuri kama marafiki tuwe tunakaribishana katika kupata chai,mlo wa mchana,mlo wa jioni na mlo wa usiku.Tunaamini mada zingine huwa zinakuja baada ya kushiba....Mwana jf popote pale ulipo tukaribishe kwa aina ya chakula unachokula na pia 'location' kama inawezekana. Naanza kwa kuwakaribisha...
  4. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kifungua kinywa ni chakula muhimu sana. Tamaduni zote huwa na chakula chenye virutubisho

    Kinaitwa kifungua kinywa, kizungu wanaita break a fast. Maana kwa masaa 10 au zaidi uliyokuwa usingizini mwili ni kama ulifunga. Mashariki ya Kati utamaduni wao wa kifungua kinywa ni mikate, matunda ya mzaituni na dengu. Warumi wa kale walifungua kinywa na mkate usio na chachu, tende...
  5. mtima nyongo

    JamiiForums Tanzania Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

    Mazingira ya maisha hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa Ramadan kwa Wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida. Mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa...
  6. Godfrey Sway

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha Azolla kwaajili ya chakula cha mifugo

    Azolla bado imeonesha kushika kasi hasa katika ufugaji wa kuku, samaki, ng'ombe mbuzi sungura na nguruwe kwan inapunguza kiasi kikubwa cha gharama ya chakula pia inaongeza ukuaji na afya ya wanyama. Azolla ina protein kubwa sana kwa ajili ya ukuaji wa wanyama. Kwa mahitaji ya mbegu ya Azolla na...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mwenye proposal ya namna ya kutengeneza bidhaa za tambi anitafute

    Tanzania ya viwanda inawezekana, mwenye proposal ya namna ya kutengeneza bidhaa za tambi, namna ya kutengeneza, Ratios, NA rasilimali zingine muhimu za kuzingatiwa wakati was kutengeneza bidhaa hii muhimu. Uweza nicheck via sadickjaphari2@gmail.com
  8. okoyoko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania My principle: huwa silali kwa watu, wala kula chakula kwa watu

    Hello guys, Nlivokuwa shule ya msingi na sekondari i was obsessed likizo ifike ili nikaishi kwa ndugu kwa miezi kadhaa, ila nlivofika 18 yrs and above nkaanza kuona dunia halisi jinsi ilivyo, so nlichukua maamuzi yafuatayo: Nina miaka kama 2 na nusu hivi nimekuwa nikiishi kwa kutumia hizi...
  9. Dr Lizzy

    JamiiForums Tanzania Chakula gani ukipika watu wengine wanaomba kuongeza chakula tena?

    . . .What are you Great at?!! Nini ukipika watu wengine wanaomba kuongeza chakula kama hawana akili nzuri? Au hawaachi kuomba uwaambie ulichoweka? Au hawaachi kutania kwamba lazima umeweka dawa au 'umepika bila nguo' lolz. . .ama wengine unashangaa wanaishia kupenda chakula ambacho hawakuwahi...
Back
Top Bottom