arusha

  1. Ngongo

    JamiiForums Tanzania TRA Arusha wametumwa na CHADEMA?

    Tangu jana TRA Arusha,wanasambaza massages kwa wafanyabiashara wote wa Jiji hili la Arusha. Mwisho wa mwezi September 2020 wafanyabiashara wanatakiwa kulipa SDL,VAT & kodi ya mapato awamu ya 3 na kodi za wafanyakazi vinginevyo adhabu kali ikiwemo riba zitatozwa. Biashara ktk mji huu...
  2. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi za Muda Halmashauri ya jiji la Arusha

  3. funaku

    JamiiForums Tanzania Lema ana lolote la kuwaambia wana Arusha kwa kipindi cha miaka yake 10 Arusha?

    Hili ni swali analokutana nalo Aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini ndugu Lema na ameshindwa kulijibu. Yaani hana any tangible issue ya kuelezea ameifanyia nini Arusha? Hii inapelekea ugumu wa kushawishi wana Arusha kuwa atafanya nini?
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU Arusha yathibitisha dawa ya deni ni kulipa

  5. Ngongo

    JamiiForums Tanzania GE2020 Ubunge Arusha sasa upo wazi kwa Godbless Lema

    Heshima sana wanajamvi, Mbio za ubunge katika jiji letu la Arusha sasa zipo wazi kabisa kiasi kwamba hata kipofu ni rahisi kujua na kufahamu nani atashinda ubunge. Mara baada ya Mheshimiwa Mrisho Mashaka Gambo kupitishwa na kamati kuu kugombea ubunge Arusha Mjini kulikuwa na sintofahamu kubwa...
  6. Nyendo

    JamiiForums Tanzania EWURA: Wasambazaji wa bidhaa mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara kuchukua bidhaa kutoka bandari ya Tanga pekee

    EWURA imeagiza wasambazaji wote wa bidhaa za petroli mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara kuanza kuchukua bidhaa hizo kutoka Bandari ya Tanga, na si sehemu nyingine. Atakayekiuka agizo hilo atatozwa faini TZS Milioni 100 au kifungo kisichopungua miaka 10, au vyote.
  7. U

    JamiiForums Tanzania TANZIA Kamanda wa Polisi ACP Jonathan Shana afariki Dunia

    Ni huzuni & majonzi Ameumaliza mwendo Kazi ya Mungu Haina makosa Mshiriki, Mzee wa Kanisa na Muinjilisti wa Kanisa la Waadventista Wasabato Mjini Kati Arusha Alishiriki vema akitoa Zaka na Sadaka Aliishi vizuri sana na washiriki Wenzake Alikuwa Mnyenyekevu na mwenye hofu ya Mungu...
  8. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Godbless Lema kata kwa Kata Arusha ni moto, hii ni kata ya Levolosi

    Unajua tulishasema tangu awali kwamba hakuna mahali popote katika dunia hii ambapo shetani aliwahi kumshinda Mungu , huyu aliyekusanya umati huu anaitwa Godbless Lema , raia aliyewekwa jela kwa miezi minne bila hata kuhukumiwa.
  9. A

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mrisho Gambo, Arusha unapwaya. Lema awasikilizisha Wananchi Audio ya Magufuli akieleza sababu za kutenguea uteuzi wa Gambo

    Nimehudhuria mkutano wa Mgombea Ubunge Arusha Mjini kupiti CHADEMA, Godbless Lema leo, amekuchafua sana, amemwambia DJ aweke sauti ya Rais Magufuli akieleza sababu za kutengua uteuzi wa Gambo Baadae tukamsikia Bashiru wote wamekuuleza wewe kama mtu mchonganishi na hufai kuwa kiongozi. Lema...
  10. Niache Nteseke

    JamiiForums Tanzania Naulizia Chumba Single Self Maeneo ya Usa River Arusha Wakuu

    Heshima kwenu wakuu. Natumai mnaendelea vyema kabisa na majukumu ya kila siku aisee. Well, naulizia chumba maeneo ya Usa River Arusha kiwe Single Self Contained kikiwa na jiko ndani yake, kama kitapatikana chenye sebule ndani yake itapendeza zaidi wakuu. Natanguliza shukrani zangu kwenu...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Hodi hodi Arusha, nyama choma wapi?

    Wakuu swali linajieleza. Naomba kujua eneo moto moto kwa nyama choma .
  12. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania GE2020 Lissu kwenda Arusha halafu akashindwa kwenda kumsalimia mwasisi wa Chadema Mzee Mtei alipoenda ni ukosefu wa adabu

    Lissu kwenda Arusha halafu akashindwa kwenda kumsalimia mwasisi wa CHADEMA Mzee Mtei alipoenda ni ukosefu wa adabu. Anagombea urais bila kupata baraka ya mwasisi wa Chadema atashindwa uchaguzi vibaya mno mapema asubuhi.
  13. MzaramoTz

    JamiiForums Tanzania Benki Gani Nzuri Kufungua USD acc na Vigezo Vipoje Wakuu...? Nipo Arusha.

    Heshima kwenu wakuu. Naulizia ni benki gani nzuri kufungua account ya USD na gharama au vigezo vyao vikoje au natakiwa kuwa na nini...? Zipi faida na hasara zake...? Inachukua muda gani kuwa tayari...? Ni kwa ajili ya kuingiziwa mshahara wanatulipa kwa dollar ila wanahitaji uwe na account...
  14. Influenza

    JamiiForums Tanzania Arusha: Watu watatu, wakiwemo wawili wafuasi wa CHADEMA wamekamatwa wakihusishwa na Uchomaji wa Ofisi za CHADEMA

    Polisi Mkoa wa Arusha limewakamata watatu ambapo wawili wakiwa dereva na ofisa uhamasishaji wote wa CHADEMA wanaotuhumiwa kuhusika na tukio la kuchoma moto Ofisi za Chadema Arusha 14 Agosti 2020.
  15. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kiwanda alichoahidi Godbless Lema kukijenga kwa pesa yake Arusha kipindi hiki cha Awamu ya Tano kimefikia wapi?

    Godbless Lema ni mmoja wa wawekezaji ambaye alinunua hadi mitambo ya kujenga kiwanda cha kutengeneza toothpick na leseni ili nchi isiendelee kuagiza toka nje kipindi hiki cha serikali ya Awamu ya Tano. Kama kimeshakamilika ni vizuri akakitumia kueleza mafanikio yake alivyosaidia nchi kwa...
  16. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kampeni zashika kasi, kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Arusha. Shughuli zasimama, wafanyakazi watoroka makazini

    Hii ndio habari inayosambaa kwa kasi Arusha kwa sasa, baadhi ya watu wanaotafuta huduma kwenye maofisi mbalimbali wamelalamika kukosa huduma baada ya maofisa kufika na kusaini kisha kutoroka ili kuwahi Mkutano Mkubwa sana wa Kampeni wa Rais Mtarajiwa Lissu. Endelea kufuatilia hapa hapa JF kwa...
  17. J

    JamiiForums Tanzania GE2020 Godbless Lema: Arusha leo kuna Mechi ya Simba bure na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu Mkutano wa Tundu Lissu

    Mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini Ndg. Godbless Lema amelalamika kuwa CCM inawahujumu kwa kuandaa mechi ya Simba bila kiingilio na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu mkutano wa mgombea urais wa CHADEMA Ndg. Tundu Lissu. Hata hivyo Lema ameapa kuwa leo ndio CCM watajua kwamba CHADEMA ni...
  18. J

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mbowe: CHADEMA inafanya kampeni kimkakati, kesho tutakuwa Arusha na keshokutwa Mwanza

    Mwenyekiti wa CHADEMA mh Freeman Mbowe amesema chama chao kinafanya kampeni za kimkakati na kitovu cha kampeni zao ni jiji la DSM. Mbowe amesema mgombea urais wa CHADEMA kesho atakuwa jijini Arusha na keshokutwa atakuwa jijini Mwanza kwa shughuli za kampeni. Chanzo: ITV habari Maendeleo...
  19. E

    JamiiForums Tanzania GE2020 Lissu Arusha Kesho: Uzinduzi CHADEMA Kanda ya Kaskazini Viwanja vya NMC Relini

    Wana Arusha kuanzia Babati Karatu Monduli Namanga Mto wa Mbu, Usa River Ngaramtoni Mnakaribishwa kesho kwenye viwanja vya NMC RELINI kuanzia saa nne asubuhi. Rais Mtarajiwa Mwanasheria Nguli Barani Afrika na Mpigania Haki TUNDU LISSU pamoja na kipenzi cha Wana Arusha Mbunge G LEMA (Sauti ya...
  20. MzaramoTz

    JamiiForums Tanzania Self-contained room kwa Arusha napata kwa bei gani wadau?

    Habari zenu wadau. Well, naulizia chumba kwa maeneo ya karibu na Chuo cha Nelson Mandela NM-AIST naweza kupata kwa bei gani wadau...? Ningependa kiwe ndani ya fence coz kuna uwezekano wa kuwa na gari ambayo itaweza ku-park ndani. Hata ikiwa ni chumba na sebule pia it's okay. Naomba kujua...
Back
Top Bottom