arusha

  1. Bushmamy

    Arusha imebadilika kabisa

    Wakuu Amani iwe nanyi., Peace and love 😍 wana jf. Jambo ambalo nataka kusema ni kuwa Arusha imebadilika kwa kiasi kikubwa sana tangu hili gonjwa liingie yaani ni balaa. Arusha ni mji uliojaa wazungu kila Kona utafikiri tupo South Africa 🌍 na tushazoea kufanya biashara au mazungumzo ya hapa na...
  2. Elius W Ndabila

    Meya mpya wa Arusha anapatikana?

    Kwa wale wajuzi wa serikali za mitaa, ninaomba kujua kama sheria zinaruhusu kupata Mwenyekiti mwingine kwa muda uliobaki baada ya yule aliyekuwa Mwenyekiti kuunga juhudi. Mwenye majibu yeyote ya kufanyika uchaguzi au kutokufanyika ninaomba anisaidie na vifungu vya sheria vinavyosapoti hoja...
  3. displayname

    Ndege ya shirika la ndege la Kenya Airways (KQ) yatua kwa dharura uwanja wa ndege wa Arusha

    Pana tetesi kwamba ndege ya shirika la ndege ya kenya ikiwa inatokea Lusaka Zambia, imeshindwa kutua uwanja wa ndege Jomokenyatta na hatimae kutua kwa dharura Arusha airport. Wenye kufahamu zaidi hili sakata watujueze isijekuwa kuna namna. Kama ni dharura kwa nini asingetua Mombosa au KIA...
  4. T

    Natafuta mfanyabiashara wa zao la ulezi kutoka Mwanza, Arusha au Kilimanjaro

    Habari za humu? Nina ulezi tani zaidi ya ishirini, natafuta mnunuzi wa uhakika kutoka mikoa ya Arusha, Mwanza au Kilimanjaro. Kama una nia ya kununua nipm tufanye biashara. Hakuna bei fixed, ni maelewano.
  5. K

    Nauza mayai ya kienyeji halisi(pure) siyo chotara - Arusha

    Habari wanabodi, nauza Mayai ya KIENYEJI HALISI- PURE SIYO CHOTARA. BEI NI SHILINGI 13,500/ KWA TREI MOJA. PUNGUZO LIPO KWA ATAKAYECHUKUA MENGI. KWA MAWASILIANO:- *Piga/text/WhatsApp* 0765894955/0693100453 Arusha Tanzania
  6. Jeceel

    Diwani wa Kata ya Ngarenaro jijini Arusha ajiuzulu !

    Tunakisafisha chama
  7. Nemesis

    Lini Viwanja vinavyomilikiwa na CCM vitakuwa chini ya umiliki wa Serikali Kuu au Halmashauri husika?

    Uwanja wa CCM Kirumba ambao unamilikiwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) Enzi za chama kimoja, majengo na maeneo yote ya umma yalikuwa chini ya Serikali. Ujenzi na uendelezaji wa maeneo hayo ulifanya na Serikali kupitia kodi za wananchi, michango, fedha za wafadhili na wahisani mbalimbali. Kwa...
  8. C

    Je niende Arusha au aje Dar?

    Kuna msichana nampenda sana japo tumepotezana kama miaka miwili yeye yupo Arusha mimi nipo Dar. Sasa nikimcheki aje Dar anadai mimi niende Arusha ila naona akija Dar ndio nakuwa confortable kwani nakuwa kwangu kuliko kwenda Arusha. Ushauri wenu wandugu.
  9. F

    Rais Magufuli jenga viwanja vya michezo kama vya majiji ya Mwanza, Arusha, Tanga na Mbeya

    Nimewaza na kuona ni vema tumuombe RAIS wetu wa JMT, pesa kwa ajili ya ujenzi wa viwanja vya michezo kwa majiji ya Mwanza, Arusha, Tanga na Mbeya. Najua DODOMA tulipata ofa za wahisani. Naomba na kushauri hivyo maana namna ya kukuza michezo kwa ngazi za kimataifa ni kuwa na miundo mbinu...
  10. B

    Niulize hivi utaratibu wa Hospitali kwa wagonjwa hapa Mount Meru Arusha umebadilika au kulikoni

    Leo nimefika Hospitali ya Mount Meru kumuona shangazi yangu haki nimechoka sana. Kwa sasa Pale Hospitali ya Mount Meru Arusha, ukilazwa Daktari anakuandikia dawa ukanunue umletee ndio amtibu mgonjwa, utaratibu wa zamani ulikuwa hivi hospitali ina dawa, daktari anakuja na dawa anamtibu mgonjwa...
  11. Jile79

    Kuhusu Wasichana wa Arusha

    Kuna vitu vingi sielewi kuhusu mademu wa Arusha. Hawa mademu wa Arusha wanashida gani? Nipo nakunywa kaunta hapa Kuna demu ndio yupo kaunta. Nimemchombeza kidogo kajimwambafy kinoma na kaniwekea clip fulani ya kibabe sana hata sielewi anataka kunionesha nini aisee. Huku kujiamini kunatokana...
  12. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi The School of St Jude Arusha

    Position: Facilities Officer Ref: TSOSJ/ HR/BO/PR/FT/01/20 Location: Moshono Business Office, Arusha, TANZANIA. Job Summary The School of St Jude is an educational institution, entirely funded by charitable donations, that provides free, high-quality primary and secondary scholarships to...
  13. bucho

    Nauza XBox One, nipo Arusha

    Natafuta mteja wa kumuuliza Xbox One, nipo Arusha . Ina memory ya 500gb pia ina inakuja na pads zake mbili na games tatu. Bei ni 550,000 ila inapungua kdg. Kwa maelezo zaidi njoo PM.
  14. K

    Bei ya mbegu za maboga katika masoko ya Dar es Salaam, Arusha na baadhi ya Mikoa ya Jirani

    Asalaam Wadau, Ni matumaini yangu mko salama na hongereni na kazi! Katika pitapita zangu nimeona kwa Sasa kuna ongezeko kubwa la uhitaji wa Mbegu za maboga baada ya kubainika kuwa zinamsaada mkubwa katika afya zetu na kuwa saidia wenye maradhi ya shinikizo la damu(BP),Wenye kisukari etc. Sasa...
  15. Tanzania Railways Corp

    Treni ya kwanza ya Abiria yawasili Arusha baada ya miaka 30

    Kwa mara ya kwanza Treni ya Abiria kwa ajili ya majaribio ya njia yawasili katika jiji Arusha Leo tarehe 26 Februari 2020. Ni baada ya reli hiyo kuacha kufanya kazi kwa muda wa zaidi ya miaka 30 Sent using Jamii Forums mobile app
  16. BASIASI

    Godbless Lema akipata ubunge Arusha nahama nchi

    Kama kuna wapinzani wanasogeza muda wao wa lala salama ni Mhe. Godbless Lema Namshauri Mhe. Lema yale maneno ya Mhe. Spika kama kweli kakopa hajalipa ajiandae kulipa mapema 2020 asahau ubunge wala udiwani hapo Arusha Vyema nikatoa tahadhari kuliko Kuja kusubiri mpaka Benki Zinaanza kuuza vitu...
  17. Chibudee

    TANZIA: Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, Nsa Kaisi amefariki dunia leo Alhamisi Februari 13, 2020 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili

    Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, Nsa Kaisi amefariki dunia leo Alhamisi Februari 13, 2020 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) alikokuwa akipatiwa matibabu. Kaisi aliyewahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na mkuu wa Wilaya, Mkoa katika Serikali ya Awamu ya Kwanza...
  18. Alhaji24

    Natafuta kiwanda cha madumu Arusha

    Samahan ndugu naomba kuuliza kiwanda cha madumu ya plastic kama litter 3 ,5 na 10 kama mnafaham kilipo plz me nipo Arusha
  19. Mwanahabari Huru

    Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula: Rais Magufuli na 'Mama wa Arusha' je, ni nini kiko nyuma ya matukio kama haya?

    Aliyewahi kuwa Mkuu wa Majeshi ya Israeli, Generali Joab Zeruiah alikuwa ni mtu ambaye hakujiamini katika nafasi aliyokuwa nayo. Kila wakati alihofu kuwa angeliondolewa katika nafasi ile hivyo alitumia njia za hila ili kulinda nafasi na masilahi yake! Kuna wakati alipohofia kuwa Mkuu wa Majeshi...
  20. Analogia Malenga

    Arusha: Askari watano mbaroni kwa tuhuma za rushwa

    Arusha. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Arusha imewakamata askari watano akiwamo mmoja wa Uhamiaji kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa. Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Arusha, Frida Wikesi akizungumza na Mwananchi leo Februari 11, 2020 ofisini kwake amesema polisi hao...
Back
Top Bottom