Video: DC wa Arusha alivyoimba mistari stejini kwa kurap

Video: DC wa Arusha alivyoimba mistari stejini kwa kurap

Usimlinganishe Kihongosi na mambo ya kipuuzi Mkuu
 
Kama ni kweli huyu dogo kashaota mapembe
 
Na ni mzima kweli kweli kwenye muziki ,mimi nadhani alifanya hivyo kuwafanya wanafunzi wawe attentive kumsikiliza kile alichokusudia kufikisha ujumbe kwa walengwa

Bila hivyo nadhani wanafunzi wasingeweza kumsikiliza kwa umakini kwa hiyo ni mbinu tu ya kisaikolojia ya kumlazimisha hata yule ambaye hakuwa tayari kusikiliza alichokuwa akiongea DC kumfanya amfuatilie kwa ukaribu kbs nukta hadi nukta
 
Back
Top Bottom