afya

  1. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Sex scandals hit COVID-19 centres as quarantined people engage in sexual acts with strangers

    *Waziri afya Uganda amelaumu kuwa baadhi ya watu waliowekwa karantini wameanzisha mahusiano ya kimapenzi* _Hii africa jamani imejaa kila aina ya vituko 😀😀😀_ --- Ministry of Health permanent secretary has revealed that Ugandans living in institutional quarantine have started having sex with...
  2. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jamani huyu Mama Ntilie hatari kwa afya yangu

    Asalam aleykum. Ni siku ya tatu au nne hivi toka nimeanza kula kwenye huu mgahawa msafi tu baada ya kuhangaika kwa muda kutokana na migahawa mingi ya mess za jeshi na polisi imefungwa ambapo huwa ni karibu ma maeneo yangu kutokana na katazo la kukusanyika na kuepuka misongamano kudhibiti...
  3. Kaduguda

    JamiiForums Tanzania Rais Trump asitisha ufadhili wa Marekani kwa Shirika la Afya Duniani (WHO)

    Rais wa Marekani Donald Trump amesitisha mchango wa kifedha ambao Marekani imekuwa ikiutoa kwa Shirika la Afya Duniani WHO kufuatia namna walivyolichukulia suala la COVID-19. Pia WHO wanalaumiwa kwa kuchelewa kutoa taarifa za mlipuko wa ugonjwa huo kwa mataifa mengine kwa wakati. Amewaambia...
  4. Conwel Ngani

    JamiiForums Tanzania Ili kukabiliana na upungufu wa mask (barakoa) wizara ya afya itoe muongozo wa mask za namna hii kama ikionekana zinaweza kufaa

    Kitendo cha mabeberu kuanza kuibiana mask inaonekana kuna upungufu mkubwa sana wa mask duniani kwa namna hiyo napenda kuwasilisha mawazo yangu kwa wizara ya afya kuangalia mask za namna hii na kutoa muongozo kwa matumizi ya kawaida ya mitaani na majumbani kama ikioneka zinaweza kufaa HASA KUZUIA...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Yafahamu maradhi yanayoshambulia Ini na dalili zake

    Yajuwe maradhi ya ini na dalili zake JE! UNAJUWA KUWA:- Ini ni katika viungo muhimu sana katika mmeng'enyo wa chakula mwilini. Ini husaidia kuondosha sumu za vyakula na katika utunzaji wa glucose ambayo hutumika katika kutupatia nguvu na nishati. Kiungo hiki kinaweza kushambuliwa na maradhi...
  6. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Star TV: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas na Naibu Wazuri wa Afya Dr. Faustine Ndungulile, Wanazungumzia Corona

    Wanabodi tuko Live Karibuni Paskali Rejea za Mandiko ya The Same Author Kuhusu Janga la Corona Mtu kama huyu ni binadamu au shetani? Anaombeaje Corona ifike Tanzania. Kuiombea nchi yako majanga, sio zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani? - JamiiForums Corona: Japo ni janga, pia ni fursa...
  7. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Vita Janga la Corona: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas, Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndungulile, kesho watakuwa live JLNH-Star TV

    Wanabodi, Vita dhidi ya janga la ugonjwa wa Corona, COVID-19, Mapambano yanaendelea, Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas na Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndungulile, kesho asubuhi, watakuwa live ndani ya kipindi cha JLNH (Jicho Letu Ndani ya Habari) kinachorushwa na Star TV, kila...
  8. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kauli za sasa za Waziri wa Afya Ummy Mwalimu kuhusu CORONA zimeshaanza Kuzua 'taharuki' nchini, hivyo ama adhibitiwe au ajiuzuru upesi

    Tunajua na hakuna Mtanzania hasa mfuatiliaji wa Mambo asiyejua kuwa kiukweli COVID-19 ni hatari na ' inapukutisha ' Watu kweli kweli kuanzia Mataifa ya Kitajiri (Ulaya na Marekani) na hata katika baadhi ya nchi zetu za Afrika na kwa Majirani zetu wakubwa Kijiografia Kenya, Uganda na Rwanda...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya choo kidogo na vijiwe katika figo

    MATATIZO YA CHOO KIDOGO NA VIJIWE KATIKA FIGO Figo ni kiungo muhimu katika uchujaji wa Damu na kuondoa sumu na uchafu mwingine na kuutoa nje kupitia mkojo. Kiungo hiki kinakabiliwa na hatari nyingi kama hakitatunzwa vyema. Miongoni mwa athari hizo ni vijiwe vya kwenye figo. Endapo hivi vitatokea...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Bajeti Tamisemi yajikita kwenye afya, elimu

    OFISI ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imeomba bajeti ya Sh trilioni saba kwa mwaka 2020/21 huku ikijikita kuboresha mfumo wa elimu na afya.Akiwasilisha bajeti hiyo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Selemani Jafo, alisema...
  11. J

    JamiiForums Tanzania NEC: Zoezi la kuboresha daftari la Wapiga kura kuendelea tarehe 17/04/2020, kanuni za afya kujikinga na Corona kuzingatiwa.

    Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi Jaji Kaijage amesema zoezi la kuboresha daftari la wapiga kura litaendelea tena tarehe 17 April,2020 Tanzania bara na visiwani. Jaji amesema masharti yote ya kujikinga na Corona yatazingatiwa wakati wa zoezi hilo ikiwemo kunawa mikono. Chanzo: Eatv habari! My...
  12. Geza Ulole

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania As a sign of giving up the fight, Kenyans should prepare themselves for the worst!

  13. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Maboresho kutoka Wizara ya Afya juu ya kujikinga na COVID-19

    Tanzania imeboresha hatua za kuchukuliwa ili kuzuia kusambaa kwa maambukizi ya #CoronaVirus kwa Wasafiri na kujuisha hatua za usafirishaji wa bidhaa na huduma Watanzania na wageni wanaoishi nchini wametakiwa kutosafiri kwenda nchi zilizoathiriwa kama hakuna ulazima. Wasafiri wote watakaoingia...
  14. Jaslaws

    JamiiForums Tanzania Serikali na Wizara ya Afya muwe makini na hizi quarantine mlizotenga kwa ajili ya wagonjwa wa Corona

    Heshima kwenu, Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Kama mwananchi kuna jambo limekuwa likiniumiza sana. Serikali walitenga baadhi ya hoteli kwa ajili ya watu wanaotoka nje kukaa huku wakichunguzwa ugonjwa wa Corona, moja wapo wa hoteli zilizotengwa ni FQ village iko Ukonga Stakishari...
  15. Samedi Amba

    JamiiForums Tanzania System ya Afya (Health Management system) inahitajika

    Habari za asubuhi wanaJF, Majuzi nilipost kuwa nilikuwa nahitaji mtaalam wa kutengeneza health database. Nilipata msaada na asanteni kwa walioniandikia inbox. Leo, nina hitaji lingine: Health Management System (HMS) kwa ajili ya mazingira ya hospitali na zahanati Mteja tunayemfanyia kazi ana...
  16. J

    JamiiForums Tanzania Waziri mkuu: Mtu yoyote atakayetoa taarifa za Corona zaidi ya waziri wa afya na viongozi wakuu wa nchi atakamatwa na polisi

    Mh Kassim Majaliwa amesema ni waziri wa afya pekee mh Ummy Mwalimu ndiye atakayekuwa akitoa taarifa za Corona nchini. Mh Majaliwa amesema itakapolazimu zaidi basi ama yeye Waziri mkuu, Makamu wa Rais au Rais Magufuli ndio watakaozungumza na si vinginevyo. Waziri mkuu amesisitiza kuwa mtu...
  17. Daisy Llilies

    JamiiForums Tanzania Kuna umuhimu wa kuwa wa kweli na wawazi kwenye maswala ya afya

    Dunia imekua kijiji kidogo kutokana na tekinolojia. Binadamu wanapenda ku socialise. Ni rahisi kusafiri kwenda sehemu nyingi duniani. Miaka ya 80-90 Uganda walipata dhoruba kubwa ya UKIMWI, kilicho wasaidia Waganda kupambana na ugonjwa huu ilikuwa ukweli na uwazi. Waliweka idadi ya vifo na...
  18. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania COVID-19 : Naibu Waziri wa Afya aipongeza JamiiForums kwa elimu iliyotukuka

    Dr Faustine Ndungulile ambaye ni Naibu Waziri wa Afya ameipongeza na kuishukuru Jf kwa uchambuzi makini na kuelimisha Jamii kuhusu Ugonjwa wa Corona . Hii ni heshima kubwa sana kwa Wanachama wote wa JF Wito: Tuendelee kuelimisha wananchi wenzetu namna bora ya kujikinga na Corona . Mungu...
  19. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Shirika la afya Duniani lasena chanjo ya Corona itapatikana baada ya mwaka 1 au mwaka 1.6

    Mkurugenzi mkuu wa shirika la Afya duniani amesema kwamba chanjo dhidi ya virusi vya cororna itapatikana ndani ya mwaka 1 au mwaka 1 na nusu. Shirika la Afya duniani (WHO) latoa maelezo kuhuiana na chanjo ya virusi vipya vya Corona Tedros Adhanom Ghebreyesus, mkurugenzi mkuu wa shirika la afya...
  20. J

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Afya: Ni marufuku kabisa kutaja majina ya wagonjwa wa Corona, Mwana FA, Sallam na Isabela walijitangaza wenyewe siyo Serikali

    Waziri wa afya Ummy Mwalimu amesema ni marufuku kwa mtu yeyote kutangaza majina ya wagonjwa wa corona kwani hiyo ni siri kati ya Daktari na mgonjwa. Waziri amesema kutaja taja majina kunaleta unyanyapaa kitu ambacho ni kibaya sana mbele ya jamii na mbele za Mungu. Na zaidi Ummy amesema ndio...
Back
Top Bottom