Join instruction za Vyuo vya Serikari vya Afya

Zeru

Senior Member
Jul 20, 2018
186
64
Nilikuwa naomba mnijuze kuhusu Join Instruction za Kozi za Afya kwa Vyuo vya Serikari, je vipi zimetoka au bado kwa anayejua naomba anijuze maan na dogo langu amechaguliwa Chuo cha Afya Kibaha. Pia, nikiangalia kwenye account yake ya NACTE uthibitisho naona hamna kipya asee.
 
Nilikuwa naomba mnijuze kuhusu join instruction za kozi za afya kwa vyuo vya serikari je vipi zimetoka au bado kwa anaejua naomba anijuze,maana nina dogo langu amechaguliwa chuo cha afya Kibaha,pia nikiangalia kwenye account yake ya NACTE uthibitisho naona hmna kipya asee.
 
Nilikuwa naomba mnijuze kuhusu join instruction za kozi za afya kwa vyuo vya serikari je vipi zimetoka au bado kwa anaejua naomba anijuze,maana nina dogo langu amechaguliwa chuo cha afya Kibaha,pia nikiangalia kwenye account yake ya NACTE uthibitisho naona hmna kipya asee.
Kwani wameshachagua? si deadline ni 15/8.
 
Back
Top Bottom