Wiki iliyopita Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ikishirikiana na Chuo Kikuu cha Oxford imetangaza mradi mkubwa wa afya nchini Tanzania.
Mradi huo utakaogharimu shilingi za Kitanzania bilioni 13.5 unalenga kutumia teknolojia ya akili bandia za mifumo ya kompyuta kwa kimombo Artificial...
Rais Paul Kagame wa Rwanda amfuta kazi Waziri wa Afya wa nchi hiyo Dkt Gashumba kwa madai kwamba Waziri huyo alimdanganya juu ya uwepo wa vifaa tiba kwa ajili ya kupima virusi vya Corona, Covid-19.
Akizungumza katika mkutano wa kitaifa wa viongozi kujitathimini, Rais Paul Kagame alisema...
Naibu Waziri Iraj Harirchi ambaye amekuwa mstari wa mbele nchini humo katika kupambana na #coronavirus amegundulika kuambukizwa virusi hiyo
Msemaji wa Wizara hiyo amethibitisha hayo alipokuwa anafanya mahojiano na chaneli ya runinga ya Taifa na kusema Naibu Waziri huyo amewekwa sehemu maalumu...
ORODHA YA JUICE MBALIMBALI (Kwa hisani ya mtandao).
1. Juice ya ukwaju mix na unga wa custard
2. Juice ya carrot na ndimu hii taste inakua kama fanta orange
3. Juice ukwaju tango na zile pipi za kifua
4. Jiuce ya passion na maziwa fresh.
6. Chukua ukwaju loweka then chuja halaf kando chukua...
Shangingi (VX-V8) moja jipya kwa gharama ya sasa ni Tsh milioni 250 (bila kodi) hapa bado gharama za uendeshaji na matengenezo.
Wakati gharama ya ujenzi wa kituo cha afya complete ni kati ya Tshs milioni 400 - 700. Au gharama ya mashine moja MRI mpya kwa bei ya mwaka 2019 ni milioni 600.
Ila...
Mh. Raisi J.P. Magufuli nakusalimu na kukupongeza kwa wazo au ushauri wako kwa Mfuko wa Taifa wa bima ya Afya (NHIF) wa kuwekeza makusanyo yao ya michango ya wateja kwenye sekta ya afya hasa kwenye viwanda vya madawa n.k.
Mimi nilikuwa na ombi moja ktk kuboresha wazo lako. Naomba NHIF itangaze...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 20, Febuari, 2020 anazungumza na Madaktari pamoja na watumishi wa Sekta ya Afya katika Hafla Maadhimisho ya Siku ya Madaktari Nchini inayofanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere...
Kuna muda unashindwa kuelewa kama viongozi waliopo madarakani wapo kwa maslahi ya wananchi na Taifa hili kwa moyo wa dhati, leo asubuhi vyombo vingi vya habari ikiwemo magazeti wameandika na kuzungumzia usambaaji wa kasi wa hii homa ya Ini. Homa ambayo watawala hawajaichukulia kwa uzito wake...
Nimepita sehemu nyingi sana za DSM ambazo kuna wachina , mikocheni, Masaki, nakadhalika.
Hawa jamaa wanavaa Mask za kuzuia Corona. And they are very serious Ni Kama wapo Wuhan, sasa wanatuogopesha wananchi wa kawaida.
Je, wizara ya Afyaimeshauri wananchi wote tuvae haya madude? If not Whats...
Wabunge wametaka Serikali kuacha tabia ya kushikilia miili ya wanaofariki na ndugu zao kushindwa kulipa gharama za matibabu kwa wagonjwa wanaofariki badala yake imetakiwa kusamehe.
Hoja hiyo ilitolewa na Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi (Sugu) na Mussa Mbarouk wa Tanga wakati wakichangia...
Hospitali za serikali zimejaa dawa za wazungu tu.
Waziri wa Afya tunakuuliza ni lini dawa zetu za asili zitakuwa zikipatikana pia kwenye hospitali za Serikali?
Tunataka mtu ukienda hospitali Daktari akuandikie nenda dirisha la dawa kachukue kichupa cha muarobaini nk.
Watu tumechoka kutumia...
Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya Huduma za jamii ameitaka serikali kwenda kujifunza Rwanda ambako raia wote wa nchi hiyo wana Bima za afya.
Serukamba amedai wananchi wanyonge wa Rwanda ambao ni kama 4% ya wananchi wote wanalipiwa bima zao na serikali.
Serukamba amesema hayo wakati akifunga...
Kwenye vyombo vya habari jana kuna taarifa inaonyesha Waziri wa Fedha Philip Mpango akitiliana sahihi kupokea msaada wa USD 600 Million kutoka Taasisi ya The Global Fund ambayo ndiye mfadhili mkubwa wa dawa za Malaria, Kifua Kikuu na Ukoma. Katika makabidhiano ilionekana kuna USD 400,000...
Muono wa Dunia kwenye Afya na usalama tumepewa jina "SUFURI" kwa maana ya kwamba kupunguza vifo, magonjwa na ajali kufikia asilimia sufuri.
Afya na usalama mahali pa kazi ni jambo la muhimu sana ili kuongeza ufanisi, uzalishaji na ubora wa kazi na hili ni lengo mojawapo kwenye Malengo endelevu...
Serikali ya Tanzania itanufaika na msaada wa dola za Marekani milioni 600 zitakazotolewa na Taasisi ya Global Fund mwezi Januari mwakani kwa ajili ya kusaidia kukabiliana na maradhi ya Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria katika kipindi cha miaka mitatu.
Ahadi hiyo imetolewa Jijini Dodoma na Mkuu wa...
Heri ya mwaka mpya wakuu,
Taa za LED zimepata umaarufu miaka ya hivi karibuni kutokana na kuwa na mwanga mkubwa huku ulaji wake wa umeme ukiwa ni kidogo.
Licha ya faida hiyo kutokana na tafiti mbalimbali taa za LED,zimeonekana kuwa na madhara kiafya,licha ya wataalamu wanao unda taa hizi...
Jf inanipa uraibu mbaya Sana nimeshafanya kautafiti Yani kukiwa hakuna nyuzi mpya katika majukwaa yote huwa afya yangu inapata shida .
Mfano mafua makali
Kichwa kuuma
Mwili kuchoka haraka
Kushindwa kufanya maamuzi kwa wakati nk.
Je nifanyaje niondokane na huu uraibu wa jf?
Kuna wakati...
Shirika la afya la ulimwenguni, WHO kwa mara nyingine linataraji kuitisha kikao cha kamati yake ya wataalamu baadae hii leo ili kujadiliana kuhusu iwapo wanaweza kutangaza mripuko wa virusi vyaCorona kama dharura ya afya duniani.
Virusi hivyo tayari vimeshawaua watu zaidi ya 160 na zaidi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.