afya

  1. Miss Zomboko

    Ligi kuu Uingereza: Sheria moya zaruhusu timu kubadilisha wachezaji 5 katika mechi ili kulinda afya za wachezaji

    Timu zinazoshiriki ligi kuu ya Uingereza, sasa zitakuwa na uwezo wa kufanya mabadiliko ya wachezaji watano, badala ya watatu kama ilivyozoeleka katika mechi, mabadiliko ambayo yataenda hadi mwishoni mwa msimu, baada ya vilabu kuidhinisha sheria hizi mpya. Katika sheria hizi mpya, timu pia...
  2. H

    Je, unaweza kusomea mafunzo ya afya ukiwa JKT?

    Mimi ilikuwa nauliza itokee mtu amemaliza Form Four au Form Six, baadaye akataka kujiunga na JKT, je kule anaweza kusomea mafunzo flani kwa mfano kama udaktari au uhasibu au inakuwa watu wote wanajifunza sawa miaka yote mitatu sasa hivi?
  3. C

    Naombeni mnishauri namna ya kuimarisha afya yangu

    Habarini sana jamvi!! Nilikua naomba ushauri kuhusu afya yangu week kama moja ilo pita nimeugua malaria,typhoid,minyoo,brucella na nilikua nimemaliza dozi ya ghono. Nimetumia Madawa nikaribu nayamaliza ila bado mwili wangu umechoka choka viungo vya mkono na miguu vinachoka usingizi unakua wa...
  4. Kilangi masanja

    Msaada kuhusu Bima ya Afya

    Hello habari, Naomba kufahimishwa kuhusu hili. Iko hivi, nilimtengenezea Bima ya Afya mke wangu mwaka juzi. Kwa bahati mbaya maradhi yakamwondoa. Changamoto nilioipata ni kushindwa kuipata kadi ya bima ya afya baada ya umauti wake. Sasa ninajipanga kuoa tena soon nilikua nataka nitoe...
  5. Victor Mlaki

    Akikaribia kujifungua muandalie begi la kujifungulia "Maternity bag"

    Kama unampenda kweli Dada wa watu uliyempa ujauzito akikaribia kujifungua muandalie begi la kujifungulia " Maternity bag". Ni kweli Serikali imejitahidi sana kuboresha huduma za afya lakini bado wanajamii hatupaswi kubweteka, tujitahidi kugusa pale tunapoweza.
  6. mkiluvya

    Ujerumani: Marekani kutengana na WHO kutaathiri Afya ya Dunia

    Ujerumani imekasirishwa na uamuzi wa rais wa Marekani Donald Trump wa kukata mahusiano na shirika la afya ulimwenguni WHO ikiielezea hatua hiyo kuwa na muvunja moyo na inayorudisha nyuma afya ya dunia. "WHO inahitaji kufanyiwa mageuzi kama linataka kuleta maadiliko yoyote" aliandika Waziri wa...
  7. Roving Journalist

    Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania: Wagonjwa wa COVID19 wamepungua SANA nchini

    Hayo yamesemwa na Dr. Elisha Osati, Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) leo Mei 27, 2020 FULL TEXT: Leo tumekuja kuzungumza nanyi Waandishi wa Habari kuhusu tathmini ya Corona hapa nchini. Ikumbukwe tangu Corona imeingia hapa nchini Mwezi wa tatu kumekuwa na mambo mengi yakiwa...
  8. Influenza

    Uganda yatangaza Visa vipya 31 vya COVID19, visa 16 ni Watanzania

    Uganda imetangaza Wagonjwa 31 wapya wa #COVID19 waliopatikana baada ya sampuli 1,116 kupimwa ndani ya saa 24 zilizopita na kufanya jumla ya maambukizi kufikia 253 Wagonjwa 23 ni kutoka mipakani ambapo sampuli 896 zilichukuliwa na 8 ni waliopimwa wakiwa Karantini baada ya kukutana na madereva...
  9. Jamii Opportunities

    Human Resources and Administrative Officer at Afya Plus

    Afya Plus is a local Non-Governmental Organization registered under NGOs Act no.24 of 2002 in Tanzania. Afya Plus is an affiliate of IntraHealth International Inc, a not-for-profit organization headquartered in Chapel Hill, North Carolina, USA, with more than 40 years of experience in over 100...
  10. Brilucy

    VYUO VYA AFYA.

    Samahanini Ndungu..Kwanza Habarin Za Wakati Huu. Mimi Nina Swali.. Hivi Ukitaka Kusomea MD Ni Miaka Mingapi After Kumaliza Form 6. Na Je Ada Yake Inacost Ngapi Kwa Mwaka Kuanzia Mwaka Wa Kwanza. Ufafanuzi Tafadhali.
  11. beth

    Mei 23, Maadhimisho ya Siku ya Fistula Duniani: Waziri wa Afya ahimiza wanawake wenye matatizo kwenda Hospitali na Kutibiwa

    Waziri wa Afya amesema Wanawake wenye matatizo ya Fistula nchini wanatakiwa kuacha tabia ya kujifungia ndani na badala yake amewataka kwenda kupata matibabu katika Hospitali zilizoainishwa na Serikali bila gharama yeyote. Leo ni Siku ya Fistula duniani Tarehe 23 Mei 2020. Waziri Ummy Mwalimu...
  12. Miss Zomboko

    Marekani kuanza kusitisha ufadhili wa fedha kwa WHO ndani ya siku 30 zijazo

    Rais wa Marekani Donald Trump ambaye anakabiliwa na uchaguzi mkuu mwaka huu ambaye amekosolewa jinsi anavyotatua ugonjwa huo nchini Marekani , amelaumu China kwa kujaribu kuziba mlipuko huo na kuilaumu WHO kwa kushindwa kuiwajibisha China. Rais wa Marekani, Donald Trump ametangaza kwamba...
  13. Observer

    CORONA USA: Rais Trump asema anatumia dawa ya Hydrocychloroquine kujikinga na ugonjwa wa Corona, kinyume na ushauri wa wataalam wa afya

    Rais Donald Trump amesema yeye anatumia dawa ya malaria kujilinda dhidi ya ugonjwa wa COVID19, licha ya onyo kutoka kwa serikali yake mwenyewe kwamba inapaswa kutolewa tu kwa ajili ya COVID-19 hospitalini ama katika mazingira ya kiutafiti kutokana na athari mbaya ambazo zinaweza kusababishwa na...
  14. Analogia Malenga

    WHO: Corona Virus inaweza isiondoke

    Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Afya Duniani ‘WHO’ amesema #CoronaVirus wanaweza wakaendelea kuwepo na kujiunga na virusi vingine vinavyoendelea kuua watu duniani Amesema hafananishi virusi hivyo ila ni vyema kujua uhalisia, kwa kuwa hakuna anayeweza kutabiri siku ambayo ugonjwa huo unaweza...
  15. idawa

    Virusi vya corona: Anna Mghwira atangaza malori ya Kenya kutovuka mpaka wa Tanzania wa Holili

    Virusi vya corona: Anna Mghwira atangaza malori ya Kenya kutovuka mpaka wa Holili 17 Mei 2020 Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira amesema kwamba malori ya mizigo kutoka Kenya hayataruhusiwa kupita katika mpaka wa Holili. Katika muongozo mpya unaolenga malori ya mizigo ya mataifa mengine...
  16. K

    Ukistaajabu ya Musa Utaona ya Ndugai. Wanakufa wabunge CCM ila wanalindwa wa Chadema wakapime afya zao

    Siku zote huwa naamini kwenye usemi ule wa kwamba ukiwa na hasira jaribu kujiepusha kufanya maamuzi, kwani unaweza ukaonekana kituko. Hakuna ubishi kuwa wiki hii yote au tokea wabunge wa Chadema waondoke bungeni kwa ajili ya kuji-quarantine kuna mtu mmoja pale bungeni na si mwingine bali Job...
  17. chichiboy1

    GE2020 Ni sahihi bajeti ya kampeni CCM kuelekezwa kwenye huduma za Afya ya Jamii

    Ni dhahiri kwamba kampeni za uchaguzi mkuu huambatana na gharama kubwa sana. Vyama vya siasa vimekuwa vikitumia gharama kubwa kuandaa mikutano, fulana, kofia, vipeperushi, takrima za hapa na pale n.k. Kufuatia janga la Covid19, ambalo linaonekana kuendelea kuwepo katika jamii, napendekeza, kwa...
  18. MK254

    Madereva wengine nane wa Tanzania wazuiwa kuingia Kenya baada ya kugunduliwa kuwa na Corona

    Jana ilikua madereva 23 wa Tanzania, leo ni nane. Halafu ukiwaza wote hawa kabla kufika mpakani na Kenya huko walikotoka wanatema mbegu balaa, natumai kila wanaorudishwa kwao hawaingii mtaani, wanajifungia au kufungiwa sehemu. Sijui lini ndugu zetu wa Kusini watelewa kwamba hiki kitu kipo na...
  19. Sky Eclat

    Jinsi unavyoishi ndiyo matokeo ya afya yako

    Mwezi January maisha yalikuwa tofauti na yalivyo sasa. Covid-19 tuliisikia tu kama hadithi kutoka Wahuan. Nilialikwa kwenye tafrija moja. Nilikutana na mwanaume wa Kitanzania, ni Mhandisi kitaalauma. Yule bwana anavutia sana, hana tumbo na kwa jinsi alivyopangilia mavazi yake, zaidi ya mvi...
Back
Top Bottom