Nataka kujua vyuo vya afya vyenye bei nafuu katika ada

kikoozi

JF-Expert Member
Jun 24, 2015
2,030
2,930
Habari za siku, nataka kujua vyuo vya afya vinavyotoa elimu ngazi ya degree (DOCTOR OF MEDICINE) vyenye ada nafuu ukiachana na 1. MUHAS, 2.UDSM, 3. UDOM, 4........., 5........... 6.........
 
ukiondoa vyuo vya serikali ivyo vingine hawajaweka ada mkuu
Lakini si kuna namba zao za simu pale kwenye website kwanini usipige simu direct kwao upate majibu ya uhakika.
Ukiacha hilo kila chuo kina prospectus inaeleza kozi na gharama .
 
Habari za siku, nataka kujua vyuo vya afya vinavyotoa elimu ngazi ya degree (DOCTOR OF MEDICINE) vyenye ada nafuu ukiachana na 1. MUHAS, 2.UDSM, 3. UDOM, 4........., 5........... 6.........



Kuna chuo kingine iko Zanzibar kinaitwa SUZA( State University of Zanzibar) campus of Mbweni tution fees inatofautiana course na course lakin Ina range 2M had 4M.
Jaribu hicho hautojuta... Hila Kam una mpunga mrefu Kairuki kitakufaa tution fees 8M bado accommodation, Registration fees, stationery na mengineo
 
CUHAS tution fees kwa MD Ina range kutoka 4M had 6M iyo Ni statistic fees ya mwaka 2019/2020. Sija jua 2020/2021 itarange wapi.
 
Kuna chuo kingine iko Zanzibar kinaitwa SUZA( State University of Zanzibar) campus of Mbweni tution fees inatofautiana course na course lakin Ina range 2M had 4M.
Jaribu hicho hautojuta... Hila Kam una mpunga mrefu Kairuki kitakufaa tution fees 8M bado accommodation, Registration fees, stationery na mengineo
shukrani mkuu ubarikiwe sana
 
hawajaweka ada
Sorry ukosawa, zamani walikuwa wanaweka ada na pia cut off point za mwaka uliopita. Itabidi ujue vyuo kupitia guide halafu uingie kwenye website zao upate hizo taarifa.
 
Sorry ukosawa, zamani walikuwa wanaweka ada na pia cut off point za mwaka uliopita. Itabidi ujue vyuo kupitia guide halafu uingie kwenye website zao upate hizo taarifa.
Nimejaribu kutafuta sana sana kujua ada zao bila mafanikio yeyote, sasaivi wanaweka cut off point na capacity ya watu wanaowataka tu basi
 
ata kwenye website ya vyuo vyao hawajaweka ada kiasi gani mkuu
 
ata kwenye website ya vyuo vyao hawajaweka ada kiasi gani mkuu

Ingia kwenye website za vyuo husika then utaona Wana pdf file la admission 2020/2021 ukilifungua utaona wameonesha course, ada na capacity ya kuchukua watu katk kozi husika.
 
Ingia kwenye website za vyuo husika then utaona Wana pdf file la admission 2020/2021 ukilifungua utaona wameonesha course, ada na capacity ya kuchukua watu katk kozi husika.
hakuna kitu icho ndugu
 
Kairuki 6.9M, Cuhas 4.3M , KCMUco 3.8M, St. Francis 4.3M lakini ada ya vyuo hubadilika kutokana na mwaka wa masomo inaweza kuwa zaidi ama pungufu ya hapo kikubwa hiyo ni kama avarage na hapo sijaongeza direct cost unazolipa kwa chuo km TCU, NHIF, Hostel, examination fee na mengineyo kikubwa tembelea vyuo husika karibu medicine,,,,,,,,,, kila la kheri
 
Kairuki 6.9M, Cuhas 4.3M , KCMUco 3.8M, St. Francis 4.3M lakini ada ya vyuo hubadilika kutokana na mwaka wa masomo inaweza kuwa zaidi ama pungufu ya hapo kikubwa hiyo ni kama avarage na hapo sijaongeza direct cost unazolipa kwa chuo km TCU, NHIF, Hostel, examination fee na mengineyo kikubwa tembelea vyuo husika karibu medicine,,,,,,,,,, kila la kheri
Mkuu samahani, Kwenye Avatar huyo ni wewe!? Na hilo lote lako au umebeba na la jilani, afu hujawahi kusababisha ajari hata kwa mbalii hv!?
 
Back
Top Bottom