BW. BERNARD KONGA NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU MAFANIKIO YA MFUKO HUO KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 4 YA SERIKALI YA AWAMU YA TANO LEO DESEMBA 12, 2019*
NHIF imetumia jumla ya Shilingi Bilioni 13.7 katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Tano kuwezesha ukarabati na ununuzi wa vifaa...
Haya ni mambo fikirishi kutokana na experience yangu ya kuona mambo mbalimbali.
Je kama watanzania tumejiandaa vipi kukabiliana na uwezekano wa hali hii?
Ieleweke kuwa Afya ni eneo nyeti katika mustakabali wa nchi na wananchi.
Aidha ni muhimu kujua kuwa vita baridi vinaweza kutumia mbinu...
Habari zenu wadau humu. Nina rafiki yangu ambaye alinifuata akiwa na masikitiko kwa yaliyomtokea baada ya kucheza rafu katika mambo Yale ya burudani ya watu wawili wa jinsia tofauti.Baada ya rafu hizo kaenda hospitali kupima Kama yupo salama au la...
Kila mwaka kuna chama cha diaspora cha US kinaitwa Dicota
DICOTA – Diaspora Council of Tanzanians in America kila mwaka kinafanya tamasha la wataalamu wa Afya kwa lengo kubwa la kusaidia utaalamu na kuongeza ushirikiano Tanzania. Kwa sasa mwenyekiti ni Dr ambaye anafanya kazi zake Yale Medical...
Wakati tunasikia kuwa jiwe ni Rais anayetamaniwa na mataifa ya nje kwa kufanya kazi zilizotukuka. Hebu sikiliza contribution ifuatayo kuhusu standards za elimu na afya Tanzania.
Mataga karibuni kwa hoja. Na ikitokea nikapata jibu lenye mantiki kuanzia saa hiyo nitaacha ku-prove umbumbumbu mlio nao.
Mh. Ummy Mwalimu jana amekanusha uzushi uliokua umesambaa kuhusu ongezeko la makato ya bima ya afya kutoka sh. 18,000 hadi 40,000 akisema swala lipo kisheria mfanyakazi atachangia 3% na mwajiri wake atachangia 3%.
Hii ina maana hiyo 40,000 mwajiri atatoa 20,000 na mfanyakazi atatoa 20,000...
Mada hapo juu yaeleweka vizuri sana. Mnafahamu kiendeleacho nchini hivi sasa. Katavi, Njombe, Mtwara na Tanga hakuna uchaguzi. Hela nyingi zimenusirika kulipa posho za wasimamizi, karatasi, wino, visanduku, usafirishaji nk.
Hata mitaa na vijiji vingi kwingineko hakuna uchaguzi wa serikali y...
Roma Mkatoliki amerudi upya jamani.
Ametoa wimbo mpya unaitwa "Anaitwa Roma".
Ni Roma yule tuliyemzoea enzi za Mrisho akitamba na vibao vyake matata. Je Basata watauacha huu wimbo? Utafute mapema kabla hawajauchukulia hatua.
Katika wimbo huo mimi nimependa mstari fulani hivi unasema;
"Kwetu...
Katika tiba vipimo vya radiolojia ni muhimu sana kwenye uchunguzi wa magonjwa mbalimbali, vipimo vingine hutumika kama tiba. Hivi ni baadhi ya vipimo ambavyo hutumika hospitalini.
NB : Vipimo hutofautiana ufanisi wa kuangalia viungo vya ndani.
1. KIPIMO CHA ULTRASOUND
Ultrasound ni kipimo...
Wakati Dr. Kigwangala akiwa Naibu Waziri wa Afya alituambia ni mwiko kutangaza huduma za afya kupitia vyombo vya habari. Akamfungia Dr. Mwaka kwa sababu hizo hizo za kutangaza huduma za afya ambazo ni mwiko kutangaza sio Tanzania tu bali duniani kote huwa iko hivyo.
Cha kushangaza kuna...
Tamko la kimaslahi, mimi ni nwanachama hai wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hivyo ni takayo yawasilisha hapa ni kwa manufaa ya ustawi wa chama changu CCM na Taifa letu kwa ujumla.
Nimefatilia kwa umakini mchakato mzima wa uchaguzi wa viongozi wetu katika ngazi ya Serika za Mitaa. Hakika...
Wakuu,
Zipo kampuni nyingi zinazotoa huduma za Bima ya Afya nchini lakini zote zina mazuri na kasoro zake.
Mjadala huu unalenga kuzichambua kampuni hizo na kuangalia packages walizo nazo, benefits na changamoto za bima/kampuni husika.
Nawakaribisha kwa mjadala ili tuwasaidie wale wanaotafuta...
Wakati serikali hii ya Rais Magufuli inajisifia kununua ndege na white elephant projects nyingine, World Bank wametoa ushauri kuwa mkazo uwe kwenye elimu na afya ili kuboresha human resources.
Jisomee hapa:
====
Tanzania Needs to Urgently Invest in the Health and Education of its Youth – New...
Nimepata kuwasikiliza wauguzi nikaona wana hoja nzito.
Baraza lao la Uuguzi ni rahisi sana kusababisha migomo Kwa wauguzi kutokana na kufanya maamuzi yasiyowashirikisha wauguzi wenyewe. Mfano, kujenga jengo kubwa Sana la Baraza bila kuonyesha ulazima wa kuwa na jengo kubwa kama hilo...
Wadau;
Kuna tabia moja ni kama umeshazoeleka hususan kwenye mabaa. Kanuni za afya zinawataka wenye mabaa na migahawa kuwa na sink au chombo cha maji safi na sabuni kwa ajili ya wateja kunawa kabla na baada ya kula au baada ya kwenda haja.
Kutokana na utaratibu huo, mabaa mengi huweka ndoo za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.