Wale wanangu wa Tegeta high school ni Pm nikutumie mahela ila nini nataka nifanye party jangwani sea breeze wale wote wa Tegeta high school na majobless tukutane jangwani sea breeze pale kawe,Tegeta high school 🔥
Hivi inakuaje TV ambao wakristo na waislamu wanaingalia kutwa kupiga nyimbo za injili hii sahihi kweli? Yaani kila siku Saa kumi na mbili asubuhi ITV na startv wao nyimbo za injili tu huuu si ubaguzi huu jameni?
Mbaya zaidi kwenye taarifa za habari au vipindi vyao watangazaji wao wanawafosi...
Hivi ccm inaweza kutoka madarakani? na kama ikitoka ni lini? Nakili kusema ccm kuitoa kupitia Sanduku la maoni tusahau na tusifikiri hata kidogo yaani sio leo wala kesho kwa ccm hii kutoka madarakani.
Kwanza itatokaje? Na kivipi yaani? Kama Rais pia ni mwenekiti wa Chama hapo kuna kutoka...
Ndiyo ukweli halisi huo kuitoa ccm kwenye Uongozi wa nchi msifikirie na wala msiwaze hata kidogo kama nyie wenyewe hata kujiongoza hamuwezi na tunajikuta wanaharakati wa mitandao kwahiyo ndugu zenu au bibi zenu wa bara wanaifahamu Twitter au jamiiforum? Nyie kutwa kazi ya kupiga kelele humu...
Tuendelee na mada zetu za kukera you know how much you know hahahahaha nyie si wazazi wenu si waliamini mjini msingi kiuno? Miaka Ile DDC Mlimani Park walikuwa hawakosekani?
Niwaambie kile kipindi wazazi wa wenzenu walikuwa wananunua Maplot huko kedekede hahahahaha.
Kwangu mimi sina haja hata...
Saludo,
Kila siku naendelea kumshukuru Mungu kwa mafanikio yangu ya kila siku haipiti siku bila kupata kitu ambacho kinanipa furaha maishani japo moment za huzuni zipo but all in all namshukuru mungu for everything.
Hello niwatangazia umma au member wa jamii forums ya kwamba nimepata mchongo I...
Hi,Today 16 November is the premature date which established in 2017 in order to to give awareness about premature day in order to prevent stigma for those baby whose born with this this birth complication!
Todatmy I will give awareness about this baby whose need intensive care from mother...
Aiseee! Tuache utani miaka 61 bado tunaangaika na maji, vyoo, elimu na vitu vidogo vidogo tu aisee! Inanikera mazee! Tumlaumu nani? Nyerere? Sisi wenyewe? Au viongozi wetu?
Na je tukiwapa chadema kura huu upuuzi wa ccm ndiyo itakuwa bye bye? Tutafakari wala sipo na utani wakuu naumia sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.