Habarini wapenda mada za mambo yetu..
kwa waliofanikiwa angalia shughuli za ufungwaji wa bunge letu kama walinotice mkuu wa nchi alipotia timu bungeni, aliposhuka tu kwenye gari alipokelewa na mwanajeshi alikua amevaa sare kama ya mkuu wa majeshi, na sio yule mpambe wake..
Aidha kipindi cha...
Location: Dar es salaam mjini kabisaa
Siku za kazi: 6 kwa wiki
Kazi kuanza: hata kesho kwa anayestahili
Pia kuna nafasi za kulala kwa wahudumu wa kike.
Yeyote aliye serious au mwenye mtu atafutae kazi kama hizi ani pm niweze muelekeza namna ya kufanikisha mawasiliano zaidi..
Habari za Weekend waTanzania wenzangu,
Natumaini mwaendelea vyema na shughuli za ujenzi wa Taifa letu.
Nimekua nikifuatilia jinsi wadogo zetu wanavyotaabika na masuala ya kutafuta na kupata vyuo nyumbani Tanzania, wengine hufanikiwa na wengine hushindwa na kuishia kulazimika kupoteza mwaka...
jana nilipokea msg sasa nikashindwa kuielewa niitake as a joke au ndio njia ya kuwakumbuka wapendwa wetu??
it goes like this....
" Huko Mbinguni leo kuna sherehe, vijana Complex na Vivian hatimaye wameamua kufunga ndoa....wageni rasmi ni mwalimu Nyerere na Karume. Mc ni Amina Chifupa...
MSANII maarufu wa Uganda, Jose Chameleon amejirusha kutoka ghorofa ya tatu ya Hoteli ya Impala mjini Arusha na kusababisha kuumia vibaya ikiwa ni pamoja na kuvunjika miguu yote.
Chameleon ambaye amekuwa akitamba na nyimbo za Jamila, Mama Mia na nyingine alijirusha kutoka chumbani kwake...
nimekuwa nikiwaziaga sana abt watu flani flani katika jamii na leo niliposoma comments za naima , yo yo kwenye big brother thread nkashawishika kuuliza wana jamii forums kwa ujumla abt it..
it goes like this,je ni kwa nini wasichana wale wenye heshima zao na waonekanao ni watu wa dini flani...
as tulivyosikia wajimini kuanzia siku hiyo ya ijumaa ya august 1 hamna ruhusa kwa vipanya kutoa huduma jijini kwa ajili ya kupunguza msongamano wa magari jijini,
je is it the right njia mbadala kupunguza msongamano huo??
wil it solve the problem?
and what about shida ya usafiri wa wananchi...
TIMU ya ngumi ya Tanzania iliyokwenda kushiriki michuano ya ngumi ya Ubingwa wa Afrika, wamekamatwa na dawa za kulevya aina ya heroin.
Waliokamatwa ni kocha wa timu ya taifa, Nassor Michael, bondia wa uzito wa feather Petro Mtagwa na bondia pekee aliyefuzu kucheza michezo ya Olimpiki...
I have been hearing tory za vijiweni na news about watu flani flani n now nikisoma habari ya mtu mmoja hapa jf nimekumbuka tena hiyo habari nikaona kwa vile jf ni kama one of da main source ya sio tu information pia hata knowledge kwa baadhi yetu niulize hapa...
swali lenyewe ni hivii ni kweli...
nimeingia kwenye blog mojawapo nimesoma kuna habari kuwa kuna ajali ya ndege wajimini sijui pasua moshi uko tz...wadau mlioko huko hebu tumuvuzishieni habari zaidi
katika pita pita yangu katika blog mbali za watanzania nimekutana na barua hii ya mdau mmojawapo aliyeko india akimpongeza raisi wake..
sasa ninachojiulizaga mie ni watu huwa vipofu wa kufikiri ama viziwi wa kutafakari???ama ukiwa mwana ccm basi hata kufeel ukweli na uchungu juu ya nchi yetu...
nyepesi nyepesi zimetoka kuwa Britney anatoka na mpiga picha wa ki Pakistan na ana mpango wa kubadili dini awe muislamu aitwe Begum Britney na kama hajamaliza habari ana mpango wa kujimuvuzisha na mkandamizaji wake huyo mpya to Pakistan!!!
he he he heeee huyu dada jamani apelekwe Milembe za...
Nimesoma forwarded msg moja kwenye email yangu na nikakuta ina story sijui ni kweli ama nini yasema kuwa kuna mtoto wa miaka 10 alipata ukimwi kupitia tunda nanasi ambapo muuzaji mwenye UKIMWI alikata tunda hilo na kwa bahati mbaya akajikata na damu ikapita kwenye tunda lile na huyo kijana...
To: Mrisho Jakaya Kikwete
Kijana,
Perhaps you are just addicted to fame and popularity, or you just don't know what you are really doing in State House. But whatever it is, you're leading the nation in wrong direction. And as a former statesman, I feel duty-bound to warn you at this time...
wana JF nimeona suala hili likigusiwa kwa juu kwenye thread flani na mie likanigusa as nikiwa Tz kuna wakati i used to fuatilia performance za hizi international schools...sio primary hata secondary yaanii nadhubutu kusema ni mbovu..as hata kwenye mitihani mara nyingi hazifanyi vyema watoto...
Je ndugu zanguni pamoja na kuwa Upinzani umezidi sana kwa kwenda mahakamani mara kwa mara..je kwa kesi ya sasa hivi sababu iliyowapeleka mahakamani mwaionaje??Ni haki uchaguzi kusimamishwa?watashinda kesi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.