Mtaalam
JF-Expert Member
- Oct 1, 2007
- 1,370
- 234
Habari za Weekend waTanzania wenzangu,
Natumaini mwaendelea vyema na shughuli za ujenzi wa Taifa letu.
Nimekua nikifuatilia jinsi wadogo zetu wanavyotaabika na masuala ya kutafuta na kupata vyuo nyumbani Tanzania, wengine hufanikiwa na wengine hushindwa na kuishia kulazimika kupoteza mwaka mzima wa masomo ama kulazimika kufanya course ambazo hawakutwahi fikiria kuja zifanya kwenye maisha yao.
Kwa wale wote wenye kuhitaji kufuatilia namna za kupata vyuo nchi za nje hasa Uingereza, Marekani, Finland, India, France na Uholanzi wanaweza wasiliana nami kwa barua pepe mtaalam4@gmail.com tayari kwa kupata msaada wa hapa na pale na pia kusaidiwa kupata admission kwa ajili yao ama ndugu zao wataabikao kwa course mbalimbali ziwe za masomo ya biashara, udaktari, masomo ya kompyuta, ama u engineer.
Naomba hii iwe kwa wale walio serious tu...
Wenu katika ujenzi wa Taifa.
Mtaalam
Natumaini mwaendelea vyema na shughuli za ujenzi wa Taifa letu.
Nimekua nikifuatilia jinsi wadogo zetu wanavyotaabika na masuala ya kutafuta na kupata vyuo nyumbani Tanzania, wengine hufanikiwa na wengine hushindwa na kuishia kulazimika kupoteza mwaka mzima wa masomo ama kulazimika kufanya course ambazo hawakutwahi fikiria kuja zifanya kwenye maisha yao.
Kwa wale wote wenye kuhitaji kufuatilia namna za kupata vyuo nchi za nje hasa Uingereza, Marekani, Finland, India, France na Uholanzi wanaweza wasiliana nami kwa barua pepe mtaalam4@gmail.com tayari kwa kupata msaada wa hapa na pale na pia kusaidiwa kupata admission kwa ajili yao ama ndugu zao wataabikao kwa course mbalimbali ziwe za masomo ya biashara, udaktari, masomo ya kompyuta, ama u engineer.
Naomba hii iwe kwa wale walio serious tu...
Wenu katika ujenzi wa Taifa.
Mtaalam