Bongo flava muziki unavuma si mchezo,au siyo bana?
Hapa namaanisha bongo flava inawarusha watu wa kila pande za dunia.
Naomba nyimbo ya mtoto wa kichaga na maneno nawafunza zote za mh.Temba na chama kubwa na wanaume kazini zote za TMK Wanaume Family.Wewe utakaeziweka zile nilizotaja tutamshukuru sana atakuwa ametuburudisha zaidi.
Haya basi masela I think tuko pamoja kama sukari na chai,au vipi?
jamani last week nili attend concert ya Yossour N`Dour na Angelique Kidjo hapa dar.Nadhani wasanii wetu wanahitaji kujifunza sana kutoka kwa hawa legends
hey hizi nyimbo kwenye bongo flavour zimekaa muda saana, hakuna mtu mwenye track mpya aziadd, maana kila siku tukiopen nyimbo namba moja ni ya barnabas na pipi, for like 6 months now.
mimi ni mpenzi sana wa bongo fleava mbona siku nyigi zimepita hamjaupdate nyibo mpya mfano
1.so-so ya amini iwekeni bac naipenda
2.ile ya mwanamuziki Diamond jina limenitoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.