Mtaalam
JF-Expert Member
- Oct 1, 2007
- 1,370
- 234
nimekuwa nikiwaziaga sana abt watu flani flani katika jamii na leo niliposoma comments za naima , yo yo kwenye big brother thread nkashawishika kuuliza wana jamii forums kwa ujumla abt it..
it goes like this,je ni kwa nini wasichana wale wenye heshima zao na waonekanao ni watu wa dini flani wasio vicheche hawapapatikiwi na wanaume au hata salamu wala kutokewa kwa asilimia kubwa?na hata wanaume wa aina hizo nao kwa ujumla hawapaptikiwi na wanawake hata kidogo lakini wanaopapatikiwa kwa saaana ni wale ambao kwa namna moja au nyingine twaweza sema ni watu ambao hawajatulia?
naomba mnisaidie kwa hilo tuu
it goes like this,je ni kwa nini wasichana wale wenye heshima zao na waonekanao ni watu wa dini flani wasio vicheche hawapapatikiwi na wanaume au hata salamu wala kutokewa kwa asilimia kubwa?na hata wanaume wa aina hizo nao kwa ujumla hawapaptikiwi na wanawake hata kidogo lakini wanaopapatikiwa kwa saaana ni wale ambao kwa namna moja au nyingine twaweza sema ni watu ambao hawajatulia?
naomba mnisaidie kwa hilo tuu