Mtaalam
JF-Expert Member
- Oct 1, 2007
- 1,368
- 229
katika pita pita yangu katika blog mbali za watanzania nimekutana na barua hii ya mdau mmojawapo aliyeko india akimpongeza raisi wake..
sasa ninachojiulizaga mie ni watu huwa vipofu wa kufikiri ama viziwi wa kutafakari???ama ukiwa mwana ccm basi hata kufeel ukweli na uchungu juu ya nchi yetu haupo tena??
kweli mtu ambaye ana uchungu wa nchi yetu Tz anaweza dhubutu sifia hilo wakati tukikaa na kutafakari lipi jema serikali hii ililofanya kwa Tz tutabakia kuhesabu moja if not mawili tuu?
sasa ninachojiulizaga mie ni watu huwa vipofu wa kufikiri ama viziwi wa kutafakari???ama ukiwa mwana ccm basi hata kufeel ukweli na uchungu juu ya nchi yetu haupo tena??
kweli mtu ambaye ana uchungu wa nchi yetu Tz anaweza dhubutu sifia hilo wakati tukikaa na kutafakari lipi jema serikali hii ililofanya kwa Tz tutabakia kuhesabu moja if not mawili tuu?