Mtaalam
JF-Expert Member
- Oct 1, 2007
- 1,371
- 259
Habarini wapenda mada za mambo yetu..
kwa waliofanikiwa angalia shughuli za ufungwaji wa bunge letu kama walinotice mkuu wa nchi alipotia timu bungeni, aliposhuka tu kwenye gari alipokelewa na mwanajeshi alikua amevaa sare kama ya mkuu wa majeshi, na sio yule mpambe wake..
Aidha kipindi cha mapicha picha mwanajeshi yule yule au mkuu wa majeshi alikua anacoordinate na walinzi wa mkuu wa nchi na kutoa maelezo..
Limekaaje hili wataalamu?
kwa waliofanikiwa angalia shughuli za ufungwaji wa bunge letu kama walinotice mkuu wa nchi alipotia timu bungeni, aliposhuka tu kwenye gari alipokelewa na mwanajeshi alikua amevaa sare kama ya mkuu wa majeshi, na sio yule mpambe wake..
Aidha kipindi cha mapicha picha mwanajeshi yule yule au mkuu wa majeshi alikua anacoordinate na walinzi wa mkuu wa nchi na kutoa maelezo..
Limekaaje hili wataalamu?