Kitabu "JUHUDI NA CHANGAMOTO" Kilicho andikwa na Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislaam nchini Sheikh Ponda Issa Ponda kitazinduliwa tarehe 04/09/2022. Uzinduzi wa kitabu hicho utafanyika katika hafla ya Uhamasishaji Uandishi wa Vitabu kwa Viongozi Nchini.
Kitabu kitapatikana kwa Tsh...
KUTOKA MAKTABA KUU
Feb: 15, 2022.
Na Sheikh Ponda Issa Ponda
HOTUBA YA RAIS SAMIA NA PROFESA MALIMA
“Kuna makundi wanayoyafanya ndani ya serikali wanayajua. Makundi hayo yanageuka na kusema Serikali ya awamu ya sita ufisadi umerudi, mambo yako ovyo, kumbe wao ndio wako ovyo. Mambo hayo (ya...
SHEREHE ZA MAPINDUZI ZICHUNGUZWE
Na Sheikh Ponda Issa Ponda
IFIKAPO Januari 12, 2022, tutashuhudi watu wakisherehekea Mapinduzi yaliyofanywa visiwani Zanzibar mwaka 1964. Ni vizuri tujadili japo kwa ufupi tukio hilo.
Zanzibar ilifanya uchaguzi wa nne wa kidemokrasia (wa vyama vingi), Julai...
Shura ya Maimamu Tanzania
TAARIFA YA MASHEIKH WA GEREZA LA ARUSHA LEO 11.10.2021.
Katibu Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania Sheikh Ponda Issa Ponda amefanya ziara leo kuwajua hali Masheikh waliopo katika Gereza Kuu la Arusha Kisongo.
Masheikh hao na waumini wao wapatao 61, walikamatwa mwaka...
Bismillahir Rahmanir Rahiim
JUMUIYA NA TAASISI ZA
KIISLAMU TANZANIA
Barua Pepe- jtkt.tz@gmail.com
S.L.B, 2055, Dar es Salaam
Kumb: JTKT/WKS/B1/21/F-SHR. 31. 08. 2021.
JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
WAZIRI WA SHERIA NA MAMBO YA KATIBA
S.L.P. 315, DODOMA.
YAH: TAMKO LA UHALALI WA NDOA YA...
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
TAMKO LETU KUFUATIA JESHI LA POLISI NCHINI KUWASHIKILIA VIONGOZI WA CHADEMA
Shura ya Maimamu Tanzania tumefuatilia kwa kina tukio la Jeshi la Polisi kuwakamata viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendrleo CHADEMA. Tumejiridhisha tukio hilo ni ukandamizaji wa...
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
*WARAKA WA KUTOLEWA UAMSHO
TAREHE 19 JUNI 2021*
UTANGULIZI:
Suala la kukamatwa Masheikh maarufu kwa jina la “Masheikh wa Uamsho” (2013), na kuachiwa kwao huru (2021), ni tukio kubwa Tanzania. Kwa sababu kadhaa zikiwemo za ubinadamu, haki na nafasi ya Masheikh katika...
Bismillahir Rahmaanir Rahiim
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
MASHEIKH WENGINE 11, WAMETOKA ADHUHURI YA LEO 17.06.2021
Awamu ya mwisho ya Masheikh wa “Uamsho”wametoka gerezani leo.
Masheikh 6, kati ya waliobaki wamewasili Bandarini Unguja saa 12:30, jioni ya leo.
Aidha waliobaki wawili...
GAZETI LA SERIKALI “HABARILEO” HALIJUI KAMA MASHEIKH WAMEACHIWA HURU
Na Sheikh Ponda Issa Ponda
Takriban Magazeti yote makubwa ya leo habari kubwa ni tukio la kuachiwa huru Viongozi wakubwa wa Dini maarufu kwa jina la “Masheikh wa Uamsho”.
Kwa namna ya pekee gazeti la Serikali halina kabisa...
Bismillahir Rahmaanir Rahiim
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
MASHEIKH WENGINE WAACHIWA HURU
Watuhumiwa wengine 16 katika kesi iliyokuwa inawakabili Masheikh wa Uamsho wameachiwa leo.
Shura ya Maimamu Tz itaendelea kuwapa taarifa kadiri itakavyo kuwa na baada ya kujiridhisha
Ibrahimu Zuberi Mkondo...
Bismillahir Rahmaanir Rahiim
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
SHEIKH MSELEM SHEIKH FARID WAKO NYUMBANI ZANZIBAR
Masheikh zetu wawili wako majumbani kwao na familia. Tutaendelea kukupeni taarifa awamu kwa awamu.
Lengo ni kutoa taarifa za kweli na zilizozingatia mambo yote muhimu.
Aidha viongozi wa...
SHEIKH PONDA AMPONGEZA MKURUGENZI MPYA WA MASHTAKA KUKUTANA NA MASHEIKH GEREZANI
Na Ibrahim Mkondo
Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini Sheikh Ponda Issa Ponda amefurahishwa na ziara ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) Sylvester Mwakitalu, katika gereza Kuu Ukonga jijini Dar...
Bismillahir Rahmaanir Rahiim
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
KWA MARA NYINGINE BAADA YA MASHEIKH KUSHINDA MAHAKAMA YA RUFAA, LEO 31. 05. 2021, SHAURI LAO LIMEANZA KUSIKILIZWA MAHAKAMA KUU
Shauri limesikilizwa leo kwa washitakiwa kusomewa mashitaka 11 na kisha kuyajibu. Washitakiwa wameyakana...
Bismillahir Rahmaanir Rahiim
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
KESI YA MASHEIKH LEO TAREHE 26.05.2021, IMEAKHIRISHWA BAADA YA UPANDE WA JAMUHURI KUOMBA UDHURU TENA
Shauri la Masheikh lililopangwa kuendelea kusikilizwa leo limeakhirishwa baada ya upande wa Jamhuri kuomba kupewa muda kwa sababu ya...
Bismillahir Rahmanir Rahiim
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
KESI YA MASHEIKH LEO TEREHE 20.05.2021: UPANDE WA JAMHURI UMETOA UDHURU
Shauri la Masheikh lililomalizika jana katika Mahakama ya Rufani Tanzania, leo limerudishwa Mahakama Kuu kwaajili ya kusikilizwa. Shauri hilo sasa litasikilizwa...
Bismillahir Rahmanir Rahiim
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
MASHEIKH WAPATA USHINDI MKUBWA MAHAKAMA YA RUFAA LEO
Hukumu ya rufaa ya Jamhuri dhidi ya Masheikh imesomwa leo katika Mahakama ya Rufaa Tanzania.
Majaji watatu wa Mahakama hiyo wametupilia mbali rufaa ya upande wa Jamhuri ya kutaka...
Bismillahir Rahmanir Rahiim
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
HUKUMU YA MASHEIKH MAHAKAMA YA RUFAA KESHO
Baada ya Majaji watatu wa Mahakama ya Rufani Tanzania kujipinda kwa siku 11, wakisoma mjadala kati ya Mawakili 11, wa upande wa Jamhuri na Mwakili 9, wanao watetea Masheikh, sasa wamekamilisha...
Shuura ya Maimamu Nchini kwa kushirikiana na Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Nchini, imeandaa Baraza la Eid lililofanyika katika Ukumbi wa ......uliopo katika Masjid Mtambani Kinondoni-Dar es Salaam.
Baraza hilo limehudhuriwa na Waumini wa Dini ya Kiislamu na Masheikh mbalimbali. Miongoni mwa...
Bismillahir Rahmanir Rahiim
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
MAHAKAMA YA RUFAA YA SIKILIZA RUFAA YA JAMHURI DHIDI YA MASHEIKH
Leo tarehe 07/05/2021 Mahakama ya Rufaa chini ya Majaji watu imesikiliza Rufaa ya Jamhuri dhidi ya Masheikh inayo pinga Hukumu ya Mahakama Kuu iliyofuta mashitaka 14 kati ya...
Bismillahir Rahmanir Rahiim
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
MASHEIKH WAITWA MAHAKAMA YA RUFAA TANZANIA
Habari njema. Baada ya Jamhuri kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu wa kuyafuta mashitaka 14, kati ya 25, na kufanya kesi dhidi ya Masheikh ibaki na mashitaka 11, Mahakama ya Rufani leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.