Ibrahimu Zuberi Mkondo
Member
- Sep 19, 2019
- 43
- 383
Bismillahir Rahmaanir Rahiim
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
MASHEIKH WENGINE WAACHIWA HURU
Watuhumiwa wengine 16 katika kesi iliyokuwa inawakabili Masheikh wa Uamsho wameachiwa leo.
Shura ya Maimamu Tz itaendelea kuwapa taarifa kadiri itakavyo kuwa na baada ya kujiridhisha
Ibrahimu Zuberi Mkondo
Msemaji wa Shura ya Maimamu Tz
0713118812
PIA, SOMA:
- News Alert: - Masheikh wa Uamsho wafutiwa kesi, wawili waachiwa huru huku wengine wakisubiri taratibu za magereza
- Watuhumiwa wengine 16 katika kesi iliyokuwa inawakabili Masheikh wa Uamsho wameachiwa
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
MASHEIKH WENGINE WAACHIWA HURU
Watuhumiwa wengine 16 katika kesi iliyokuwa inawakabili Masheikh wa Uamsho wameachiwa leo.
Shura ya Maimamu Tz itaendelea kuwapa taarifa kadiri itakavyo kuwa na baada ya kujiridhisha
Ibrahimu Zuberi Mkondo
Msemaji wa Shura ya Maimamu Tz
0713118812
PIA, SOMA:
- News Alert: - Masheikh wa Uamsho wafutiwa kesi, wawili waachiwa huru huku wengine wakisubiri taratibu za magereza
- Watuhumiwa wengine 16 katika kesi iliyokuwa inawakabili Masheikh wa Uamsho wameachiwa