Ibrahimu Zuberi Mkondo
Member
- Sep 19, 2019
- 43
- 383
Bismillahir Rahmaanir Rahiim
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
MASHEIKH WENGINE 11, WAMETOKA ADHUHURI YA LEO 17.06.2021
Awamu ya mwisho ya Masheikh wa “Uamsho”wametoka gerezani leo.
Masheikh 6, kati ya waliobaki wamewasili Bandarini Unguja saa 12:30, jioni ya leo.
Aidha waliobaki wawili watasafirishwa kwa usafiri maalum kutokana na hali zao za kiafya kutokua nzuri na waliosalia tayari wamo ndani ya boti wakielekea Unguja.
Kwakuwa Shura ndio wasimamizi wakuu na wenye habari za kina za mashauri haya ni vema kwa anayetaka kujishughulisha nayo akauliza ili apate kujua.
Ibrahimu Zuberi Mkondo
Msemaji wa Shura ya Maimamu Tz
0713118812
Zaidi, soma: Masheikh wa Uamsho wafutiwa kesi, wawili waachiwa huru huku wengine wakisubiri taratibu za magereza
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
MASHEIKH WENGINE 11, WAMETOKA ADHUHURI YA LEO 17.06.2021
Awamu ya mwisho ya Masheikh wa “Uamsho”wametoka gerezani leo.
Masheikh 6, kati ya waliobaki wamewasili Bandarini Unguja saa 12:30, jioni ya leo.
Aidha waliobaki wawili watasafirishwa kwa usafiri maalum kutokana na hali zao za kiafya kutokua nzuri na waliosalia tayari wamo ndani ya boti wakielekea Unguja.
Kwakuwa Shura ndio wasimamizi wakuu na wenye habari za kina za mashauri haya ni vema kwa anayetaka kujishughulisha nayo akauliza ili apate kujua.
Ibrahimu Zuberi Mkondo
Msemaji wa Shura ya Maimamu Tz
0713118812
Zaidi, soma: Masheikh wa Uamsho wafutiwa kesi, wawili waachiwa huru huku wengine wakisubiri taratibu za magereza