Ibrahimu Zuberi Mkondo
Member
- Sep 19, 2019
- 43
- 383
Bismillahir Rahmaanir Rahiim
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
KESI YA MASHEIKH LEO TAREHE 26.05.2021, IMEAKHIRISHWA BAADA YA UPANDE WA JAMUHURI KUOMBA UDHURU TENA
Shauri la Masheikh lililopangwa kuendelea kusikilizwa leo limeakhirishwa baada ya upande wa Jamhuri kuomba kupewa muda kwa sababu ya kutokukamilisha baadhi ya mambo ya kisheria.
Tarehe 20. 05. 2021, Mahakama Kuu iliakhirisha shauri hilo baada ya upande wa Jamhuri kuomba muda ili DPP mpya aweze kushiriki katika shauri hilo kwa ajili ya kuongeza nguvu katika jopo lao.
Mahakama Kuu kwa mara nyingine imekubali ombi la Mawakili wa Jamuhuri hivyo imeakhirisha shauri hilo na kupanga kusikilizwa tena Juma tatu tarehe 31.05.2021
Kwa upande mwingine jopo la Mawakili wa Utetezi lilikua tayari kuendelea na shauri hilo.
Shura ya Maimamu Tanzania inawaomba watanzania kufatilia mwenendo wa mashauri haya kwa karibu.
Ibrahimu Zuberi Mkondo.
Msemaji wa Shura ya Maimamu Tz
0713118812
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
KESI YA MASHEIKH LEO TAREHE 26.05.2021, IMEAKHIRISHWA BAADA YA UPANDE WA JAMUHURI KUOMBA UDHURU TENA
Shauri la Masheikh lililopangwa kuendelea kusikilizwa leo limeakhirishwa baada ya upande wa Jamhuri kuomba kupewa muda kwa sababu ya kutokukamilisha baadhi ya mambo ya kisheria.
Tarehe 20. 05. 2021, Mahakama Kuu iliakhirisha shauri hilo baada ya upande wa Jamhuri kuomba muda ili DPP mpya aweze kushiriki katika shauri hilo kwa ajili ya kuongeza nguvu katika jopo lao.
Mahakama Kuu kwa mara nyingine imekubali ombi la Mawakili wa Jamuhuri hivyo imeakhirisha shauri hilo na kupanga kusikilizwa tena Juma tatu tarehe 31.05.2021
Kwa upande mwingine jopo la Mawakili wa Utetezi lilikua tayari kuendelea na shauri hilo.
Shura ya Maimamu Tanzania inawaomba watanzania kufatilia mwenendo wa mashauri haya kwa karibu.
Ibrahimu Zuberi Mkondo.
Msemaji wa Shura ya Maimamu Tz
0713118812