Uzinduzi wa kitabu

Uzinduzi wa kitabu

Joined
Sep 19, 2019
Posts
43
Reaction score
383
Kitabu "JUHUDI NA CHANGAMOTO" Kilicho andikwa na Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislaam nchini Sheikh Ponda Issa Ponda kitazinduliwa tarehe 04/09/2022. Uzinduzi wa kitabu hicho utafanyika katika hafla ya Uhamasishaji Uandishi wa Vitabu kwa Viongozi Nchini.

Kitabu kitapatikana kwa Tsh 15,000, wahi nakala ni chache.

Mawasiliano No. 0713118812
 
Back
Top Bottom