Uzinduzi wa kitabu

Sep 19, 2019
43
383
Kitabu "JUHUDI NA CHANGAMOTO" Kilicho andikwa na Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislaam nchini Sheikh Ponda Issa Ponda kitazinduliwa tarehe 04/09/2022. Uzinduzi wa kitabu hicho utafanyika katika hafla ya Uhamasishaji Uandishi wa Vitabu kwa Viongozi Nchini.

Kitabu kitapatikana kwa Tsh 15,000, wahi nakala ni chache.

Mawasiliano No. 0713118812
 
Back
Top Bottom