Habari wadau,
Nimepata majanga baada ya computer yangu ku collapse na kunipotezea baadhi ya software,
Naomba msaada wa link ambayo uki bofya inakuwezesha ku pakua (download) program ya adoble...
Wadau kuna mtu anahitaji msaada hivyo naombeni mawazo yenu,
"Nina blog ambayo ipo hewani ni mwaka wa nne huu ila ipo dormant nataka kuifanyia kazi kila siku kuanzia sasa, je kwa tanzania unaweza...
Wakuu salama?
Kuna mchina nafanya nae kazi ss alienda china akarud na hiyo simu inaitwa Huawei mate8,mm nataka ninunue hyo simu ila naiona km feki hv mana OS yake inaitwa YunOS na si android...
Habari zenu wapendwa.
Natumai nyote mu wazima wa afya.
Members wenzangu nimekuja kwenu kwa kutaka msaada juu ya vitu viwili.
MOSI; Kuna member alieleza jinsi ya ku-download videos bure tthrough...
Simu yangu nikirecord video inatoa video zenye Size kubwa sanaa hadi nashangaa! Sasa Jana nimerecord video yangu ina MB 525 kwa dakika 3,hahitaji kupunguza sanaa hii size bila kupoteza quality ya...
Wakuu nna laki 5,.nataka laptop itakayosukuma games kadhaa kama fifa,call of duty nk.
Iwe used au mpya,mnanishauri nichukue yenye vigezo gani kulingana na iyo budget hapo.
Hata kama kuna anaeuza...
Nilifanya muamala kupitia paypal kwa kadi ya CRDB. Seller kanipa refund ya malipo baada ya biashara kushindikana.
Naomba kujuzwa yafuatayo:
Je, CRDB wanapokea malipo kutoka paypal?
Natakiwa...
Habari wakuu nasikia kuwa na nimeona kuwa kuna namna ya kuweza kufanya website yako ikasapoti adsense hata kama ina content za kiswahili, sasa sina uhakika unafanyaje je ni kwamba unakuwa unatuma...
Jamani kama Kuna mtaalamu wa ku upgrade android version kwa kutumia pc. Tafadhari naomba tuwasiliane. Simu yangu ni samsung s5 sm-g900f. Mawasiliano 0625470735
Hbari wakuu, naombeni msaada wa viswali vifuatavyo!
1. Nin tofauti ya online na offline version?
2. je nikitengenezewa domain/website hapa tz yaan mfano, sungita.co.tz je baaday naweza...
Hii ni simu ambayo nimeitumia kwa muda kidogo
Hivi karibuni kama wiki moja ilikua haiwezi kurecognise namba zilizopigwa, zilizoingia pamoja na missed call lakini ilikuwa selective kwenye namba...
Laptpo imegoma kuitambua simu kwa USB, Nimesumbuka mpaka nimekumbana na virus, asa leo from nowhere nimekutana na kitu inaitwa android wi-fi, very interesting....
Yani una connect internet ya simu...
Nahitaji kununua hiyo simu ila kabla sijafanya hivyo naomba Kujua kwa wale ambao wanazitumia specifications zake zikoje najua ni simu ya mziki ila vipi camera yake, processor, betri charge na...
Kama unahitaji display za laptop size zote(10.1," 14.0", 14.1", 15.6" etc) aina zote (LCD,Ultraslim na LED) Adapter za laptop aina zote na betri zake na spea nyingine za laptop, Nitafute kwa...
Habari wakuu.
Hope mko sawa kabisa. Hivi naweza kuskiliza radio iwe ni za hapa nyumbani au nje kwa kutumia laptop kama sina internet mfano nnavyoskiliza kwenye simu...?
Kama naweza nipe njia za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.