Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari wadau, Nimepata majanga baada ya computer yangu ku collapse na kunipotezea baadhi ya software, Naomba msaada wa link ambayo uki bofya inakuwezesha ku pakua (download) program ya adoble...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wadau kuna mtu anahitaji msaada hivyo naombeni mawazo yenu, "Nina blog ambayo ipo hewani ni mwaka wa nne huu ila ipo dormant nataka kuifanyia kazi kila siku kuanzia sasa, je kwa tanzania unaweza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu salama? Kuna mchina nafanya nae kazi ss alienda china akarud na hiyo simu inaitwa Huawei mate8,mm nataka ninunue hyo simu ila naiona km feki hv mana OS yake inaitwa YunOS na si android...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wapendwa. Natumai nyote mu wazima wa afya. Members wenzangu nimekuja kwenu kwa kutaka msaada juu ya vitu viwili. MOSI; Kuna member alieleza jinsi ya ku-download videos bure tthrough...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Simu yangu nikirecord video inatoa video zenye Size kubwa sanaa hadi nashangaa! Sasa Jana nimerecord video yangu ina MB 525 kwa dakika 3,hahitaji kupunguza sanaa hii size bila kupoteza quality ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu nna laki 5,.nataka laptop itakayosukuma games kadhaa kama fifa,call of duty nk. Iwe used au mpya,mnanishauri nichukue yenye vigezo gani kulingana na iyo budget hapo. Hata kama kuna anaeuza...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Kwa wauzaji. Naitaji bei na sehemu inapouzwa.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nilifanya muamala kupitia paypal kwa kadi ya CRDB. Seller kanipa refund ya malipo baada ya biashara kushindikana. Naomba kujuzwa yafuatayo: Je, CRDB wanapokea malipo kutoka paypal? Natakiwa...
0 Reactions
0 Replies
993 Views
Habari wakuu nasikia kuwa na nimeona kuwa kuna namna ya kuweza kufanya website yako ikasapoti adsense hata kama ina content za kiswahili, sasa sina uhakika unafanyaje je ni kwamba unakuwa unatuma...
0 Reactions
0 Replies
727 Views
Jamani kama Kuna mtaalamu wa ku upgrade android version kwa kutumia pc. Tafadhari naomba tuwasiliane. Simu yangu ni samsung s5 sm-g900f. Mawasiliano 0625470735
3 Reactions
196 Replies
22K Views
Hbari wakuu, naombeni msaada wa viswali vifuatavyo! 1. Nin tofauti ya online na offline version? 2. je nikitengenezewa domain/website hapa tz yaan mfano, sungita.co.tz je baaday naweza...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hii ni simu ambayo nimeitumia kwa muda kidogo Hivi karibuni kama wiki moja ilikua haiwezi kurecognise namba zilizopigwa, zilizoingia pamoja na missed call lakini ilikuwa selective kwenye namba...
1 Reactions
26 Replies
8K Views
When diplomacy ends, War begins.-Adolf Hitler. 'Good Night'
2 Reactions
0 Replies
682 Views
Naomba kufahamishwa namna ya kurecharge simcard ya ttcl na kujiunga na vifurushi
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Laptpo imegoma kuitambua simu kwa USB, Nimesumbuka mpaka nimekumbana na virus, asa leo from nowhere nimekutana na kitu inaitwa android wi-fi, very interesting.... Yani una connect internet ya simu...
4 Reactions
61 Replies
6K Views
Nahitaji kununua hiyo simu ila kabla sijafanya hivyo naomba Kujua kwa wale ambao wanazitumia specifications zake zikoje najua ni simu ya mziki ila vipi camera yake, processor, betri charge na...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
wakuu nataka kujua huawei na Samsung nani anafanya simu nzur af kama unajua kampuni nyingine bora nitaarifu
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Kama unahitaji display za laptop size zote(10.1," 14.0", 14.1", 15.6" etc) aina zote (LCD,Ultraslim na LED) Adapter za laptop aina zote na betri zake na spea nyingine za laptop, Nitafute kwa...
0 Reactions
2 Replies
958 Views
Habari wana JF Nahitaji mtaalamu wa kutengeneza website. Anayeweza kazi hiyo ani pm please. Ahsanteni
3 Reactions
7 Replies
853 Views
Habari wakuu. Hope mko sawa kabisa. Hivi naweza kuskiliza radio iwe ni za hapa nyumbani au nje kwa kutumia laptop kama sina internet mfano nnavyoskiliza kwenye simu...? Kama naweza nipe njia za...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Back
Top Bottom