NDUKI
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 3,422
- 2,418
Habari wakuu.
Hope mko sawa kabisa. Hivi naweza kuskiliza radio iwe ni za hapa nyumbani au nje kwa kutumia laptop kama sina internet mfano nnavyoskiliza kwenye simu...?
Kama naweza nipe njia za kufanya hivyo na kama siwezi ni kwa nini haiwezekani au kwa nini haikuwekwa hiyo kitu...?
Thanks wakuu.
Hope mko sawa kabisa. Hivi naweza kuskiliza radio iwe ni za hapa nyumbani au nje kwa kutumia laptop kama sina internet mfano nnavyoskiliza kwenye simu...?
Kama naweza nipe njia za kufanya hivyo na kama siwezi ni kwa nini haiwezekani au kwa nini haikuwekwa hiyo kitu...?
Thanks wakuu.