Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

*_TANZANIA JOIN 2DAYSKY_* Hii ni Kampeni Maalumu ya kumsapoti mwanafunzi wa *_UDOM_* anaeitwa Elisha William anayesoma *College of Informatics*ambaye amefanikiwa kutengeneza mtandao wa...
13 Reactions
78 Replies
13K Views
Habari za mda huu wana jamvi,mimi ni mgeni humu lakini ndo nshaanza kuwa mwenyeji hivyo.Juzi nilikua natafuta laptop nzuri kwa matumizi yangu,katika kupita pita mitandaoni nikakutana na blog moja...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwenye utaalamu na haya mambo jaman msaada maana naona kila nkisearch google napata website kibao sasa sijui kuna usalama huko. Au bora tuu ni download moja kwa moja kutoka kwa hawa official...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau mambo vipi? natumaini wazima! Kuna new social network ambayo bado unupgraded . Wadau hebu pitie www.jamiichat.yooco.org then mfunguke, hapo jamaa alietengeneza aki upgrade na kulipia domain...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Samsung Galaxy s5 Sm-G900A Based version G900AAUCU4CO15 Haina EMEI kabisa, fundi kasema mpaka to root lakini root yake kasema bado.
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu mi naomba kusaidiwa kwa anaejua keywords za kuangalia kama Sony z4 simu ni orijino au laa,
0 Reactions
1 Replies
1K Views
samahani wadau wangu mliotuma sms nikashindwa kuzijibu na post nilikuwa nje na teknology so nime ruditena kwa kasi ya 4g na mkongo wa taifa
1 Reactions
1 Replies
856 Views
Za leo wakuu.. natumai wazima wa afya nyote. Ni muda mrefu umepita tangu kampuni moja ya india, Ringing Bells izundue simu aina ya smartphone Freedom 251 yenye line 2,processor speed 1.3ghz...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Kutumia kisumbusi cha Star times nawezaje kuangalia Euro hii ambayo imeanza jana ?Je ni channel gani itaonyesha kwenye kingamuzi cha Star times?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu wadau kwanza habari zenu naomba msahada kwa anayekumbuka kudownload software mpya baada kuamisha position dish la zuku tafadhali
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama unamaitaji ya applications ndogo ndogo za kampuni au.biashara... Nitakutengenezea kwa bei.nafuu... Example Database applications
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Za leo wana jamvi ningependa ni wajulishe hii app ya mobdro inayo kuwezesha kuangalia tv za Europe na marekani online. Ina channels kibao kama MTV base zote una zo zijua ww na channels zengine...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba mnifahamishe jinsi ya kurudisha old window kwenye PC HP coi5, mwanzo nilikuwa natumia window 7pr nika-upgrade to window 10 so naona inanishinda kutumia, naomba maelekezo ili nirudshe window...
0 Reactions
6 Replies
892 Views
Hi guys , lenovo wamezindua simu za ukwelii!! , inakunjika kama saa Yes!!. pia hardware zake kama battery nazo zinakunjika Ni noma... here
0 Reactions
0 Replies
789 Views
Habari ya Jumamosi wana JF. Miezi miwili iliyopita nilinunua Desktop kwenye duka linaloitwa Alasco Computers lililopo mtaa wa Uhuru Kariakoo. Ndani ya PC waliweka window 8 ambayo ilikuwa ya trial...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu, mwenye key za ms office 2013 naomba anisaidie maana lap top yangu nilinunua na wakanifanyia installation ya ms office, sasa inaniletea sms ya kutaka ni activate na bado siku...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ninapo washa PC yangu kile kifeni knazunguka kwa kutoa saut na mda mwngne hakzunguki naomba msaada
0 Reactions
1 Replies
650 Views
Huo ni ujumbe ninaoupata ninapolocate pointer kwenye icon ya battery, sometimes inacharge na sometimes haicharge. Nimejaribu ku-uninstall and ku~reinstall ACPI nikidhani kuwa inaweza kuwa corrupt...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Jamani mimi nina simu yangu aina ya huawei Y530 ina tatizo moja, nikiwa naiwasha ina andika neno huawei alafu ina andika android na ndio mwisho wake aw kuwaka hapo. Msaada wakuu
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom