Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Jamani mimi nina simu yangu aina ya huawei Y530 ina tatizo moja, nikiwa naiwasha ina andika neno huawei alafu ina andika android na ndio mwisho wake aw kuwaka hapo. Msaada wakuu
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kama kun mtu yoyote mwenye firmware update kwa ajili ya huawei e303h-1 naomba msaada plz.
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Jinsi ya kusoma ujumbe wa Whatsapp kisiri bila ya aliyekutumia kujua kama umesoma ujumbe wake WhatsApp-Last-Seen-Timestamp-on-your-iOS-and-Android-devicesVitiki viwili vya bluu katika Whatsapp...
6 Reactions
27 Replies
17K Views
Wapendwa naomba mnisaidie kwa hilo nihitaji kuhamisha data toka kwenye simu kwenda kwenye pc lakini nikichomeka usb cable inacharge tu na ukienda kwenye setting ya usb imefaint. Karibuni kwa msaada.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wadau natanguliza shukran. kwa yeyyote jukwaani anayeweza kutumia gps ya kwenye simu kupima viwanja basi atupe maujanja. atusaidie namna ya kutambua uwepo wa barabara na open space ktk maeneo...
1 Reactions
12 Replies
9K Views
Wakuu nahitaji kununua moja kati ya simu hizo.... naomba ushauri kuhusu ubora wake plz!!! Ni ipi itakuwa bora zaidi ya nyingine?
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Kmspico inayoweza kuactivate almost all versions of windows i.e 7,8,8.10 na all office 2007,2010.2013 na 2016 anisaidie link
0 Reactions
0 Replies
566 Views
wadau simu yangu aina ya samsung galaxy star pro GT 7262 imekuwa haina sehemu ya kubadili mtandao kwenda 3G au 4G zaidi ya mtandao kusoma E mpaka inanikera ila kuna hii sehemu katika cm yng...
0 Reactions
4 Replies
960 Views
jaman naombeni msada wenu juu ya matumiz ya button iliopo upande wa kulia chin ya button ya kuwashia kwenye hz cm za tecno c5 na c8
1 Reactions
2 Replies
1K Views
simu yangu ya tecno h6 kila nkiweka pattern inakataa kufunguka msaada jns ya kuiunlock..
0 Reactions
1 Replies
659 Views
Jamani wataalamu wa kompyuta mpakato naomba msaada. Nina HP ambayo nilinunua mwaka 2013, first hand. Toka niliponunua sikuwahi peleka kwa Fundi, yeyote zaidi ya kushusha window Mara moja tu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nina Laptop hapa nimeletewa ina tatizo la herfu D na # ukibonyeza hajifanyi kazi ila herfu nyingine zote zinafanya kazi nime jaribu kufungua lakini bado naona bado tatizo lipo msaada wenu naomba...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
1.Naomba mnisaidie jinsi ya kupdate window katika PC natumia window 7 ultimate kwa pc ya toshiba. 2.Charging sytem inasumbua katika PC yangu yani nikiwa nachaji huwa inasema plugged but not...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nilkuwa nahtaj kujua gharama za kujiunga na malipo ya baada postpaid toka tigo na vigezo vyao pia kwa anayejua au kufaham kuhusu hili anisaidie kwa hilo.
2 Reactions
7 Replies
14K Views
Habari wakuu, Najaribu ku-share folder toka linux kwenda windows. Kwenye windows, folders zinaonekana ila hazifunguki. Zinasema you have no right permissions ila nimeweka permission zote. Natumia...
0 Reactions
5 Replies
903 Views
Napenda kujua jina la software inayotumika ku control Projectors. Ambayo inamsaidia mtu ku view videos, Bible verses, etc.. kuna makanisa mengine huwa yanatumia hiyo program
0 Reactions
0 Replies
911 Views
Wakuu habari. Nikiwa kila mara nikiangalia simu mpya na specification zake katika website maarufu duniani www.gsmarena.com sijawahi kuona tecno mobile phones na hata tab zao. Nimejaribu hata...
5 Reactions
133 Replies
19K Views
Points unazopata waweza tumia kununulia apps kwenye play store. Very useful haswa kwa sisi tusiokuwa na credit cards. Tumia hii code 934962 kupata points 200 faster Check out this app. It's...
0 Reactions
0 Replies
611 Views
Wakuu habari, naomba kujuzwa jinsi ya kuweka banners kwenye blogger kupitia HTML CODE au kwa namna rahisi jinsi ya kuweka tangazo kwenye blogger blog, shukrani kwa watakao nifanikisha kujua
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom