chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
Habari wakuu nasikia kuwa na nimeona kuwa kuna namna ya kuweza kufanya website yako ikasapoti adsense hata kama ina content za kiswahili, sasa sina uhakika unafanyaje je ni kwamba unakuwa unatuma na content za kiingereza au ni masuala gani unafanya
mfano jamiiforums naona kama ni mainly swahili content lakini inasapoti adsense, kuna namna gani unafanya?
asanteni
mfano jamiiforums naona kama ni mainly swahili content lakini inasapoti adsense, kuna namna gani unafanya?
asanteni