...haya, ukiandika wosia je, ...utamuonyesha jinsi ulivyoigawanya mali?
Interesting...hivi are u supposed to share the details of your will na mkeo? and vice versa? ama kama mke anayo mali...
Cheating husband meets a sticky end after mistresses glue his privates to his belly
By Greig Box Turnbull 4/08/2009
Lovers: Wendy Sewell, Michelle Belliveau and Therese Ziemann
Things got a...
Kwa wale mlio Dar na wale ambao mngependa kushirikiana na mwenzetu...
Kuna mwenzetu (Sinkala) anatarajia kufunga ndoa mwezi huu.
Kwa wale ambao wangependa kushirikiana katika kuiwakilisha JF ama...
Wakuu ni saidieni ni wakati gani mahusiano yanakuwa muhimu sana katika mahusiano?
Je ni wakati wakutongoza/kutafutana?
Je ni wakati mumeshakuwa wapenzi tayari?
Je ni wakati mumeshakuwa wanandoa...
katika kuonge na baadhi ya wanawake mbali mbali wengi wao wanapenda wanaume machachari, ukiwa mpole wanakuita boring, usipowa cheat hata kidogo wana kuona **** na mwishowe wana kucheat wewe...
Wakuu hivi ni halali baada ya kuolewa ukachukuwa kila kitu ulichokuwa nacho nymbani kwenu na kilichokuwa mali yako na kukipeleka kwa makazi yako mapyaTofauti na zile zawadi ulizopewa kwenye...
Men fall in love through sex, women fall in sex through love
Hii ni signature kwenye profile ya Nyamayao kila nikiisoma huwa napata maswali yafuatayo
1, Je ni kweli mwanaume anaweza kumbeba tu...
My friends and I were having a gal talk abt men and sex. They are married wajua napata shule sio kutoka JF tu LOL;). sasa mmoja wao the hubby had been working in Sudan so they wd meet every 1 or 2...
Hii ishu imetokea live!
Nina majirani zangu ambao nyumba zetu zinatazamana hapa Uswahilini!
Kumetokea kituko cha mwaka ndani ya familia yao!
Kuna mabinti wawili wakubwa wa nyumba hiyo ambao...
Jamani naomba tusaidiane kueleimishana hivi kwa nini tumekuwa tukiwaita wapenzi wetu haya majina haya wakati wanapokuwa wanatoa hiyo mihela ni kwa ajili ya kuboresha mahusiano.
Au ndo maana...
Mahusiano, mapenzi, urafiki je mambo haya ni lazima yafuatane au ni vitu vitatu tofauti ,Je kipo kinachoweza kukosekana au kisiwepo au kikawepo kimoja tu na vingine visihusishwe ,Kivipi ?
Kuna jamaa yangu mmoja ananiomba ushauri,nikaona bora nami nipate ushauri wenu ili tumsaidie;
Huyu jamaa ameoa yapata 2yrs now lakini huyu jamaa na mke wote wanafanya kazi posta-Dsm wanakaa...
Daughters Of Men
Rachel Vassel
November 7, 2007
By Sherri McGee McCovey
Too often, we hear about the absence of African American fathers and the negative impact it has on the lives of their...
Swedish teen girls have more sex with one another
More teenage girls than boys have had sex with someone of the same gender, according to a new dissertation from the Sahlgrenska Academy in...
Wakuu hivi kuna haja yakuomba msamaha pale unapoambia kuwa umekosa na wewe huoni kama umefanya hilo kosa au ni bora kukaa kimya kwa kuepusha shari? au ni lazima unapoambia kuwa umekosa hata kama...
kuna binti mmoja kwa jina Lusanji(aka hiyo) kutoka Arusha amekua katika mahusiano ya kimapenzi na kijana kwa muda mrefu sasa.Bahati nzuri wote wamepata nafasi za kwenda kusoma elimu ya juu ila...
Jamani hii tabia tunajua wanaume wengi wanayo. sasa imemtokea my sister in law... mtoto wake wa kiume who is hardly 2 yrs old anapenda sana kushikashika vitu vyake hata hadharani..sasa she does...
Checkup ya Ndoa 2009
Kama mahusiano yangekuwa yanaenda kwa daktari kupata vipimo je, ungepata Tick?
Huu ni mwaka 2009 naamini ni vizuri kujiangalia na kupata ukweli wa mahusiano yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.