jaman mke ni mtu wa pekee katika maisha yetu,
Nikiwa namaliza mwaka ndani ya jiji la mafuriko...hapa nimepg kambi viwanja vya manzese huku nikishuhudia wadada warembo wakijiuza kwa 300,500,1000...
Hii ni siku maalumu kwako. Tumia siku hizi kumshukuru Mungu na kumwomba Mungu kuhusu 2012. Mweleze Yeye mikakati yako yote uliyoipanga na umwombe akufanikishe katika hiyo. Omba kama Mungu...
Nimesoma post kibao.. tena zilizo na maana na nimejaeribu zi apply..... My Lurv wangu ndo kila kukicha bora jana.... Boresha Mapenzi... Nimetumia lugha za kimahaba..... I was there whenever she...
Hii ni siku maalumu kwako. Tumia siku hizi kumshukuru Mungu na kumwomba Mungu kuhusu 2012. Mweleze Yeye mikakati yako yote uliyoipanga na umwombe akufanikishe katika hiyo. Omba kama Mungu...
Natumai wote mu wazima wanaJF.
Jamani kuna kitu chaniogopesha bado niko njia panda nahitaji kujua kwa kina.
Nakaribia kuingia kwenye ndoa,ninampenda huyu husband to be ila kila...
kakaz mi ni mdada wa kawaida tu ila ukishaniona utadhani mi wa ajabu, na natafuta marafiki wa jinsia ya kiume wa kuanzia miaka 31 na kuendelea....! sana sana wafanyabiashara na ambao wanaweza kuni...
Nimebahatika kupata mchumba nadiriki kusema tunapendana ila kunatatizo linamsumbua mchumba wangu huwa baadhi ya usiku huingiliwa usingizini na akiamka huwa na dalili zote za kufanya ngono tena...
Hello,
Huyu msichana ni wiki kadhaa tumekuwa tukiwasiliana alishapewa habari zangu, jinsi nilivyo, na mambo mengine.
Ingawa mimi cjamuona
Cha ajabu amenipenda, ananipigia simu kama hana akili...
Wakuu nimeombwa ushauri na rafiki yangu,naomba mawazo yenu pia...
Ni hivi: Mshikaji alikuwa na uhusiano na msichana wake wa kwanza uliodumu miaka minne hivi,katikati ya mwaka 2010 akakutana na...
Kuna jamaa alikuwa na kesi mahakamani,na wakili wake alimshauri kwamba ategemee fine au akishindwa
kulipa atapelekwa jela,na hukumu imebaki siku 2.
Jamaa alikuwa hana hela,akamkopa boss wake na...
Msamaha ndio kitu muhimu sana katika maisha ya mwanadamu yeyote yule. Hivyo basi tunapaswa kuwasamehe wale wote waliotukosea kwa mwaka uliopita na tuombe kwa Mungu wetu atusamehe. Naye Mungu...
jamani nimeona kuwa kwa sasa ili mwanaume apate utamu basi inabidi tuu mshiko umtoke kwa namna moja au nyingine...kiufupi kuhonga is a must ndio unapata demu
sasa kwa mwaka ujao naona tufuate...
Usiku wa kuamkia leo Member mwenzetu Karachuonyo amepata Baraka ya mtoto wa KIUME ktk hosptali ya Saint Thomas hapa Arusha mjini na Mama na mtoto wanaendelea vizuri kbs! Hongera sana Mr & Mrs...
Hello,
I am looking for a mature( 25-45) ladies for friendship- Not sex.
She should be driving her own car- any. I am not a fun of dropping ladies off in any neighbouhoods. we should not...
Natumaini mwaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku..
Kuna ndugu yangu amesalitiwa na mpnz wake wake wa kike(girlfriend),ana uhakika 100% kwamba amesalitiwa na huyo gal wake kakubali. Huyo...
dada mmoja akitoa maoni huko Tunduru_Ruvuma(uandikaji wa katiba mpya)anasema anapendekeza katika katiba mpya mtu akioa/kuolewa hakuna kuachana.
chanzo tbc1 habari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.