Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Wakuu hivi kuna haja yakuomba msamaha pale unapoambia kuwa umekosa na wewe huoni kama umefanya hilo kosa au ni bora kukaa kimya kwa kuepusha shari? au ni lazima unapoambia kuwa umekosa hata kama kosa ni la upande wa pili ukubali kuepusha shari na kuomba msamaha??