Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Wakuu hivi ni halali baada ya kuolewa ukachukuwa kila kitu ulichokuwa nacho nymbani kwenu na kilichokuwa mali yako na kukipeleka kwa makazi yako mapyaTofauti na zile zawadi ulizopewa kwenye Kitchen Party na sendoff?