Buzi;ATM; Saccos;

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Feb 18, 2009
3,930
4,893
Jamani naomba tusaidiane kueleimishana hivi kwa nini tumekuwa tukiwaita wapenzi wetu haya majina haya wakati wanapokuwa wanatoa hiyo mihela ni kwa ajili ya kuboresha mahusiano.

Au ndo maana tunapofanya kosa wakiamua kupiga wanapiga nusu kuua?
Au ndo maana huwa kuna kuwa na migogoro kila kukicha?
Au ndo maana hata kuomba msamaha wakikosa huwa hawaombi kwa kujifanya ni kichwa cha nyumba na wao hawafanyi kosa?
 
Kuna mdau mmoja humu ndani jina lake linaanza na F yeye alikuwa anaitwa na mpenziwe tembo card, jamaa akashtukia deal akala kona, sasa hivi huyo mwanamke anatuma mesage mpaka jamaa amebadili line ya simu.

Actually inauma sana wewe unampenda mtu halafu akikaa na wenzake anakuita ATM ya crdb haigomi gomi, ikiingizwa tu inamwaga mihela
 
Jamani naomba tusaidiane kueleimishana hivi kwa nini tumekuwa tukiwaita wapenzi wetu haya majina haya wakati wanapokuwa wanatoa hiyo mihela ni kwa ajili ya kuboresha mahusiano.

Au ndo maana tunapofanya kosa wakiamua kupiga wanapiga nusu kuua?
Au ndo maana huwa kuna kuwa na migogoro kila kukicha?
Au ndo maana hata kuomba msamaha wakikosa huwa hawaombi kwa kujifanya ni kichwa cha nyumba na wao hawafanyi kosa?

...... We na nani shost?

Kupiga hakuhusiani na hayo, dada anaweza akawa anakupiga hata kama hakupi kitu.

Kifupi ni kwamba hayo mambo uliyoorodhesha hapo hayahusiani kabisa na kuitwa majina hayo!.
 
Kuna mdau mmoja humu ndani jina lake linaanza na F yeye alikuwa anaitwa na mpenziwe tembo card, jamaa akashtukia deal akala kona, sasa hivi huyo mwanamke anatuma mesage mpaka jamaa amebadili line ya simu.

Actually inauma sana wewe unampenda mtu halafu akikaa na wenzake anakuita ATM ya crdb haigomi gomi, ikiingizwa tu inamwaga mihela

SIPO

HUYO MTU ATAKUWA NI FIDEL180.

Huyu rafiki yangu anahonga sana, na wanawake wanampenda kwaajili ya hela zake!

Hapa Juzi kati si alisema kuna mwanamke anamnywa shs 70,000/ kwa wiki kwa ajili ya kuseti nywele?
Anaumizwa sana huyu mwenzetu, sijui tumsaidieje!
 
...... We na nani shost?

Kupiga hakuhusiani na hayo, dada anaweza akawa anakupiga hata kama hakupi kitu.

Kifupi ni kwamba hayo mambo uliyoorodhesha hapo hayahusiani kabisa na kuitwa majina hayo!.

Shost samahani hapo nimegeneralise vibay eti!!!! ila nilikuwa namaanisha majority.
 
Kuna mdau mmoja humu ndani jina lake linaanza na F yeye alikuwa anaitwa na mpenziwe tembo card, jamaa akashtukia deal akala kona, sasa hivi huyo mwanamke anatuma mesage mpaka jamaa amebadili line ya simu.

Actually inauma sana wewe unampenda mtu halafu akikaa na wenzake anakuita ATM ya crdb haigomi gomi, ikiingizwa tu inamwaga mihela

Kweli wanaume wa bongo tunakazi na wanawake wa aina hizi. Tutafika kweli?
 
Shost samahani hapo nimegeneralise vibay eti!!!! ila nilikuwa namaanisha majority.

..... Pole mama usije ukashambuliwa kama PakaJimmy na wanawake wachafu lol

Haya turudi kwenye mada mpenzi
Nilikuwa nakwambia kuwa kama mwanaume ni wa kupiga hata ukiwa unamwita mungu bado atakupiga tu yaani hii haihusiani na kuitwa Buzi -labda kama ulikuwa unamaanisha kukupiga pindi atakapogundua unamwita jina hilo.

Wengine wananyenyekewa kama miungu lakini bado wanakuwa wakorofi.

My take
Mimi nafikiri mwanamke yeyote (au mwanaume kama wapo) anayediriki kumwita mpenziwe jina la aina hiyi huwa hana mapenzi ya dhati. Kitendo cha kumwita hivyo ni kwamba keshamvua ule ubinadamu wake na kumvalisha u-kitegauchumi yaani anakuwa sasa kama vile Bank account ambayo unaipenda pale unapokuwa na uhakika wa kupata pesa (kaka mimi account yangu naipenda unapofika mwisho wa mwezi na si vinginevyo) sasa imagine siku utakapoambiwa account hiyo haitakuwa na uwezo wa kukupatia pesa tena uone kama utaendelea kuikeep- ya kazi gani unaifunga tu. So the same applies kwa wote wenye tabia hii, no pesa, no penzi na siku pesa kwisha, penzi kwisha pia.
 
SIPO

HUYO MTU ATAKUWA NI FIDEL180.

Huyu rafiki yangu anahonga sana, na wanawake wanampenda kwaajili ya hela zake!

Hapa Juzi kati si alisema kuna mwanamke anamnywa shs 70,000/ kwa wiki kwa ajili ya kuseti nywele?
Anaumizwa sana huyu mwenzetu, sijui tumsaidieje!

Kumbe kijana anajifanya humu ndani mjanja kumbe hana lolote,kweli hii maneno haina mpole,mkali,jasiri wala shujaa.hata FIDEL wamemuwekea mirija,mpwa inabidi uje hapa utoe ufafanunuzi.
 
Kumbe kijana anajifanya humu ndani mjanja kumbe hana lolote,kweli hii maneno haina mpole,mkali,jasiri wala shujaa.hata FIDEL wamemuwekea mirija,mpwa inabidi uje hapa utoe ufafanunuzi.

huyu jamaa naona hayupo hapa, ngoja nimpigie aje bana ajibu hizi tuhuma coz zinamuhusu.
hold on nimpigie.......
 
wakati tunamsubiri mkuu,
ni kwamba wengine tunajitahidi kuwapenda sana wapenzi wetu kwa kuwapa mahaitaji sometimes sio mpaka waombe, just umepita sehemu umeona kitu kinamfaa unamnunulia, au umemtoa kimtindo hata kama hajakuomba unajua tena wengine tunajua sana kujali teh teh heehhh
sasa akienda kwenye vijiwe vya umbea anaanza kujifagilia na kukuponda kwamba wewe ATM!, jamani wanawake wengine sijui wabebejwe!., usipomhudumia anakwambia wewe mkono wa birika, aaarrrrrggggh.
 
Kumbe kijana anajifanya humu ndani mjanja kumbe hana lolote,kweli hii maneno haina mpole,mkali,jasiri wala shujaa.hata FIDEL wamemuwekea mirija,mpwa inabidi uje hapa utoe ufafanunuzi.

Kuna mdau mmoja humu ndani jina lake linaanza na F yeye alikuwa anaitwa na mpenziwe tembo card, jamaa akashtukia deal akala kona, sasa hivi huyo mwanamke anatuma mesage mpaka jamaa amebadili line ya simu.

Actually inauma sana wewe unampenda mtu halafu akikaa na wenzake anakuita ATM ya crdb haigomi gomi, ikiingizwa tu inamwaga mihela

SIPO

HUYO MTU ATAKUWA NI FIDEL180.

Huyu rafiki yangu anahonga sana, na wanawake wanampenda kwaajili ya hela zake!

Hapa Juzi kati si alisema kuna mwanamke anamnywa shs 70,000/ kwa wiki kwa ajili ya kuseti nywele?
Anaumizwa sana huyu mwenzetu, sijui tumsaidieje!

wakuu, muheshimiwa F kasema kwa sasa itakua ngumu kuja kusema chochote kwa kuwa yupo ANAJIEXPRESS kwenye ule mtandao mpana kama kawaida yake, so anaomba mvute subira.
 
Kuna mdau mmoja humu ndani jina lake linaanza na F yeye alikuwa anaitwa na mpenziwe tembo card, jamaa akashtukia deal akala kona, sasa hivi huyo mwanamke anatuma mesage mpaka jamaa amebadili line ya simu.

Actually inauma sana wewe unampenda mtu halafu akikaa na wenzake anakuita ATM ya crdb haigomi gomi, ikiingizwa tu inamwaga mihela


Fidel....lol, alikiona cha moto, mrembo alijivunia na DECI....lol
 
wakati tunamsubiri mkuu,
ni kwamba wengine tunajitahidi kuwapenda sana wapenzi wetu kwa kuwapa mahaitaji sometimes sio mpaka waombe, just umepita sehemu umeona kitu kinamfaa unamnunulia, au umemtoa kimtindo hata kama hajakuomba unajua tena wengine tunajua sana kujali teh teh heehhh
sasa akienda kwenye vijiwe vya umbea anaanza kujifagilia na kukuponda kwamba wewe ATM!, jamani wanawake wengine sijui wabebejwe!., usipomhudumia anakwambia wewe mkono wa birika, aaarrrrrggggh.
Sasa ambavyo haziwatoshi hawa watu,unakuta hata mume wake anampa majina hayo.Akiwa na wenzake unamsikia,ngoja ATM yangu ifike ,utaona.kweli unamwita mumeo ATM kweli.
 
Kumbe kijana anajifanya humu ndani mjanja kumbe hana lolote,kweli hii maneno haina mpole,mkali,jasiri wala shujaa.hata FIDEL wamemuwekea mirija,mpwa inabidi uje hapa utoe ufafanunuzi.



Duh!! Kijana ameumia kwa kweli.... Ajui kama wanawake ni mashetani wakubwa.
 
Wanawake tuwapende tu hivyo hivyo maana maneno yao kwa kweli ukiyasikia unapata kichefuchefu.wengine tunawasaidia mambo muhimu lakini matokeo yake sasa hapo!
 
wakuu, muheshimiwa F kasema kwa sasa itakua ngumu kuja kusema chochote kwa kuwa yupo ANAJIEXPRESS kwenye ule mtandao mpana kama kawaida yake, so anaomba mvute subira.

Fidel nimekuona umeshafika kuna hoja yako inakusubiri na wadau wanasubiria mchango wako
 
Yale yaleee!! kama ni demu anafanya kazi, kwa nini umpe hela? za nini? kama hafanyi kazi/hajishughulishi na chochote, kwa nini? na wewe ni mzembe kiasi gani kuwa na mwanamke asiyejishughulisha na shughuli yoyote ya maendeleo?

Unfortunately siamini sana kwenye kuwa na hawara---mwanake au mwanamme ambaye hamana mpango wowote wa comitment kwa sababu umeshaoa/kuolewa. Kwenye hili nafikiri ndo kuna kuwa na U-ATM.

Kama si girlfriend, hela za nini anahitaji kiasi cha kuitana ATM, coz lazima uwe unazitoa kila anapohitaji na nyingi - na inapofikia hapo, basi unakuwa kama unanunua tu!! haina tofauti, naye anauwa anauza. .......Yale yaleee!!
 
Back
Top Bottom