Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Jamani naomba tusaidiane kueleimishana hivi kwa nini tumekuwa tukiwaita wapenzi wetu haya majina haya wakati wanapokuwa wanatoa hiyo mihela ni kwa ajili ya kuboresha mahusiano.
Au ndo maana tunapofanya kosa wakiamua kupiga wanapiga nusu kuua?
Au ndo maana huwa kuna kuwa na migogoro kila kukicha?
Au ndo maana hata kuomba msamaha wakikosa huwa hawaombi kwa kujifanya ni kichwa cha nyumba na wao hawafanyi kosa?
Au ndo maana tunapofanya kosa wakiamua kupiga wanapiga nusu kuua?
Au ndo maana huwa kuna kuwa na migogoro kila kukicha?
Au ndo maana hata kuomba msamaha wakikosa huwa hawaombi kwa kujifanya ni kichwa cha nyumba na wao hawafanyi kosa?