dada mmoja akitoa maoni huko Tunduru_Ruvuma(uandikaji wa katiba mpya)anasema anapendekeza katika katiba mpya mtu akioa/kuolewa hakuna kuachana.
chanzo tbc1 habari
Waungwana wadau, kwanza ninasikitika kwa kutokuepo mkekani kama ilivyo kawaida yangu kwa takriban siku 4-5 kufuatia kufiwa na Mama mdogo wangu J'2 iliopita na tumemzika jana (R.I.P mama). Wadau...
Kuna Binti hapa kaniacha hoi mie labda na nyie atawashangaza .
Huu ni mwaka wa pili sasa yuko kwenye hiyo secret admirer na kaka mmoja.
Kila siku binti anategeshea amuone huyu kaka ndo apande...
Mwaka ndo huo unaisha,
mapenzi yamekufanyia nini?
1.umeumizwa mara ngapi?
2.Umetumia sh ngapi kuhonga na kuwanunulia zawadi mademu,
3.umetumia sh ngapi kila ulipotoka out na demu sometime...
Mimi ni Mtanzania ambaye nina maisha yangu, maisha ya mapenzi yananichanganya sana kwa sababu kuna wanawake zaidi ya watatu wananikubali sana na kila mmoja ana malengo ya kuwa nami..nifanyaje wana...
When volunteers were shown photos of ex-lovers from a recent break-up while lying inside a functional MRI scanner, their brains showed significant activity in the same regions that become aroused...
Habari zinasema kuna kundi la mabinti wezi wa waume za watu wameomba mchana huu maombi rasmi mungu kushusha mvua kesho ati madaraja yakatike watu walalale lodge
nanyi nawapa happynyu yia
Ndugu zangu wa jf, hapo kitambo nilikuwa na girlfriend, mwanzoni mahusiano yetu yalikuwa bomba kabisa na nilitokea kumpenda hasa pale alipofanikiwa kunifanya nisivute sigara,,na kweli baada ya...
Wahenga wanasema ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni....!!!
Rafiki yangu wa karibu sana jana kidogo agongwe na magari baada ya kumfuatilia mke wake kwa umakini zaidi na kugundua kuwa mkewe...
Ilikuwa ni mwaka 1994 wakati nilipoingia kwenye kasheshe kubwa ambayo nusura tu inipeleke jela. Nikiwa ndio nina mwaka wa pili tangu kuanza kazi, nilimpachika binti mmoja mimba. Alikuwa ni binti...
Nawatakia mwaka mpya mwema 2012,kwa wale wenzangu wanaotarajia kuoa mwakani mwezi wa sita kama mimi,nawatakia mapenzi mema kwa wake zenu.nashukuru jf imenisaidia kidogo kudumu na mamsup though...
kitu nachofahamu mimi kuwa binadamu tunapenda na hali ya kupenda ni hisia zilizo ndani ya moyo,lakini linapokuja suala la upande wa pili wa yule uliyempenda huwa tunaamini naye anakupenda kutokana...
Wanajamvi,
Japo huenda ninahitaji kupata fasiri yakinifu ya neno nje ya ndoa na japo waswahili wanasema kitanda hakizai haramu, ningependa kushirikisha hii kadhia ya watoto wanaoitwa...
Jamani Tanzania hali si nzuri hata kidogo.
Mpenzi wangu yupo katika wakati mgumu wa kutafuta ajira,jamaa amemuahidi kazi ipo ila awe tayari kumtolea nguo za ndani.
Nimemshauri aachane nae na...
Wapo wanaosingizia kila kitu mapenzi ya mungu
mpaka jana namuuliza mama didy hivi huyu mungu ana mapenzi mangapi kila mtu akifa
kwa kujitakia mapenzi yake kwa bahati mbaya mapenzi yake ...kwa...
Toka naanza kupata ufahamu, moyo umekuwa ukihusishwa na mambo mengi kama nilivyoyaoredhesha hapo juu. Nilipoenda shule katika somo la biologia ni nikajifunza kwamba kazi ya moyo ni ku-pump damu...
Tangu tumezaliwa tumesikia neno UPENDO,mimi binafsi wazazi wala shule sikuwahi kuambiwa maana ya hili neno!Nilikuja kulitafuta mwenyewe!Nakumbuka kwenye mafundisho ya dini tulikua tunaambiwa...
Ni rahisi sana kwa baadhi ya watu kuwatumia wenzao kupata yale wanayotaka bila kujali hisia za wanaowatumia. Unakuta mtu anamwaminisha mwenzake anampenda kweli ,wengine hufikia hata hatua ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.