Sipo
JF-Expert Member
- Jul 25, 2008
- 2,139
- 91
Men fall in love through sex, women fall in sex through love
Hii ni signature kwenye profile ya Nyamayao kila nikiisoma huwa napata maswali yafuatayo
1, Je ni kweli mwanaume anaweza kumbeba tu mwanamke amekutana naye somewhere uko baada ya kupewa mtanange then anajikuta ameanza kumpenda kupita kiasi kuliko alivyomuona kwa umbile lake?
2, Je hii ndio sababu ya wanawake wengi kutendwa kwenye masuala ya mapenzi kwasababu huamua kuwapa kwanza mtanange wanaume wanaotaka kuingia nao kwenye mahusiano wakiamini kuwa baada ya kuwapa ndio watawapenda?
3, Je kwa wanaume maumbo au sura, kazi, elimu au pesa siyo ishu kama mwanamke kwenye mtanange atakuwa yuko au hayuko makini kupagawisha huyu mwanaume?
Tulijadili na hili pia
Hii ni signature kwenye profile ya Nyamayao kila nikiisoma huwa napata maswali yafuatayo
1, Je ni kweli mwanaume anaweza kumbeba tu mwanamke amekutana naye somewhere uko baada ya kupewa mtanange then anajikuta ameanza kumpenda kupita kiasi kuliko alivyomuona kwa umbile lake?
2, Je hii ndio sababu ya wanawake wengi kutendwa kwenye masuala ya mapenzi kwasababu huamua kuwapa kwanza mtanange wanaume wanaotaka kuingia nao kwenye mahusiano wakiamini kuwa baada ya kuwapa ndio watawapenda?
3, Je kwa wanaume maumbo au sura, kazi, elimu au pesa siyo ishu kama mwanamke kwenye mtanange atakuwa yuko au hayuko makini kupagawisha huyu mwanaume?
Tulijadili na hili pia